Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

kichwa chako kigumu sana mtu wangu.
umeshaambiwa ina wezekana kwenye free account. kiba na mond wa kwanza kuingia vivo ni kiba dai hana hata miezi4 tangu afungue account huko.... usasahau mapovu aliyoyatoa siku kiba anatangaza vevo yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakwanza kuwa na akaunti vevo ni kiba!?pia Umesema dai tangu awe na akaunti vevo hata miezi minne haifiki. Mkuu hivi ile Mary you ya neyo ilitoka lini. Nina waswasi na ufuatiliaji wako wa mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiba inabidi amuombe mkulu ampatanishe na Mondi kama alivyofanya kwa Makonda na Ruge vinginevyo atapotea kabisa kwenye game

''Aut Vincere Aut Mori''
Hawezi potea coz wenye roho za kimasikin nchi hii ni wengi na ndo wanaombeba, hivi tuseme tu ukweli kiba anamweza diamond kwa kipi. Labda uzuri wa sura tu.
 
Kiba ametisha sana lakini mange nae ni nyoko sio kwa kampeni ile. She is the queen of social media hapa east Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kampa sana kampani bwana mdogo kosa walilofanya WCB ni kutoa wimbo siku mmoja na jamaa ili kumharibia kiba na hii ime prove kuwa kuna poor management sasa hiv viongoz na mameneja hawapo smart sana
 
images-21.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wa Kiba wamekuwa na kampeni huko Instagram kushinda wanaingia na kutoka tangu jana usiku. Wameweza
Prove hapa hatutak maneno ya kuhisia , na vip huko kenya mbona inafanya vizur sana ina trend 1 huko . muzik mzuri ule bhana
 
IKUMBUKWE
Seduce me by alikiba uko kwenye account ya VEVO!
ni msanii wa kwanza kwa Afrika Mashariki kufikisha views 1m ndani ya masaa 38!!
(I mean hakuna msanii ambaye wimbo wake uliwekwa VEVO ukafikisha views 1m kwa muda mfupi hivyo!!hata ule wa Marry you wa diamond ft neyo(international artist haukufikisha views 1m ndani ya muda mchache hivyo).
Keep the good music alive!
Facts mkuu afu kwa kuongezea tu kule hakuna ujanja ujanja . na ndiyo maana mond kule naona kakimbia hapost sana nyimbo
 
Kwenye kila viewers 1000 malipo ni dola 2 mpaka 5....
Hivyo basi minimum amount ni (1000000÷1000)x$2=$2000

Kwahiyo kiwango cha chini kwa kila 1m views ni $2000..
Ungesema kbs na hiyo $2000 kwa Tsh ingemsaidia sn kujua umhimu wa viewers ambao siyo wa kununua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom