tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Mkuu hukuiona ile kampeni ya Mdada wa Insta ameanzisha seduceme challenge. Hilo sio la kushangaa. Ila kipindi Fulani nilimsikia omy kuwa views zinanunuliwa.
Bu yenu basiMkuu hukuiona ile kampeni ya Mdada wa Insta ameanzisha seduceme challenge. Hilo sio la kushangaa. Ila kipindi Fulani nilimsikia omy kuwa views zinanunuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuishi na watu vizuri kuna faida
Hauwezi kununua views kwenye Official Account ya Youtube VEVO. Hiyo inawezekana kwenye free YouTube accounts tu. Kwenye Official YouTube VEVO kuna security access ambazo haziwezi kuruhusu computer generated (robotic) views, kule ni mwendo wa IP address moja counts 1 view, huko zote ni real views tu. Kumbuka kuna payment anapata kwa kila idadi fulani ya views, hawawezi kukubali false views, coz zingewafilisi.Mkuu hukuiona ile kampeni ya Mdada wa Insta ameanzisha seduceme challenge. Hilo sio la kushangaa. Ila kipindi Fulani nilimsikia omy kuwa views zinanunuliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
yes,naona Mange naye kanunuliwa ndo mana kampa promo sana,Mange mwenyewe ni kama kichaa,hana la kufanya USA daily anafatilia local event hapa tz,she's too cheap kununuliwa na Alikiba
No nasikia Diamond tu ndio ananunua...wao hawanunui.
Nmeipenda mkuu
Hahaha, achana na yule dada! Team ya diamond kwa mange hawapumui kabisaaaa wanakuja huku kulalamika ila wananyoooshwa sawasawa. Saivi mange ni queen wa Instagram maana anajua kuwaendesha sio kidogoKampeni ya huu wimbo sijapata kuona! Kwa nini usiachwe ujiuze wenyewe kama Aje , maana ile ya Mange ni zaid ya Kampeni
Shukran na je wakfka let's 1m ukalipwa $2000 ni kila mwezi au unalipwa mara moja basiKwenye kila viewers 1000 malipo ni dola 2 mpaka 5....
Hivyo basi minimum amount ni (1000000÷1000)x$2=$2000
Kwahiyo kiwango cha chini kwa kila 1m views ni $2000..