Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Habari ya mjini King Kiba amelipwa 5m USD Gavana Joho wa Mombasa kwa ajili ya kampeni..sasa Domo& Co hawajawahi kupata hela ndefu kama hiyo kwa mara moja...na ana mpango wa kununua nyumba zote za Lugumi zinazopigwa mnada...Kiba ndio msanii tajiri kwa sasa East Africa yote...muuza njugu roho inamuuma...mwambieni akamalizie deni la X6 kwa yule mama mjane mke wa Seki.. “Msimtese mjane yeyote wala mvulana asiye na baba.+ 23 Mkimtesa hata kidogo, naye anililie hata kidogo, sitakosa kukisikia kilio chake;+
Gavana Joh basi atakuwa ni chizi sana na wala asingelikuwa anagombea u gavana...Kwanza unahitaji kuwa na mtindio wa ubongo kuamini mwenye akili timamu anaweza toa hiyo hela kwa Alikiba...
Hivi kweli Alikiba ana hadhi ya kulipwa hiyo pesa? Alikiba kwenye hiyo show akilipwa sana ni tshs 10million...
Kwa wimbo wa hovyo namna hii unahitaji kupimwa akili kutoa pesa kama hiyo....
 
Nilichogundua kwa watanzania wamevurugika akili na mziki wa Nigeria ndio maana siku zote kwao nyimbo nzur ni ile yenye mahadhi ya huko. Kwenye video wanayoona wao nzur ni mpaka uweke magari au nyumba za kifahari. Madem wakiwa naked na mambo ya kiasherati ndio mziki mzur. Jamaa anajarib kuwa tofaut ukiangali nyimbo zake nying anajarb kuwa kama yeye na mziki wake. Kwa wanaojua mziki huu wimbo ni mzur majungu hayajengi wazee. Kanye west angekua mtanzania sidhan kama angefika pale alipofika maana ana video mbovu kwa vigezo vya wabongo unaeza kusema toka aanze mziki hajawah kutoa kideo kizur.
Ila hii ni namna ya watanzania tulivyo ni watu wa copy an pest. We cant make our own symbol.
Big up kiba and keep it up!!
hahahah yani maneno mengi kisa una tetea vibovu...huu wimbo ungekuwa mzuri usingeli andika hili fungu zima la nyanya..
Huu wimbo ni mbovu ndio maana mnapata shida sana..
Huu ni wimbo wa hovyo sana kuwai kuimbwa na King Kiba
 
Je umeshajigundua kuwa ww ni kilaza?

Cha kucheka hapo nn nn wakati umeulizwa?
unatamani kunikera mwenyewe!!
Nna raha zangu mia nane!!
HANGAIKA TU NA HASIRA ZAKO ZA KULAZIMIKA KUSIFIA UOZO!!
wala hunipati
 
Chat ya MTV base, juzi tu imeingi top 10 Eneka
Eneka huyo anashika nafasi ya 1 , kwa baadhi ya vituo vya luninga huko west Africa na baadhi vituo yupo Top 10, bado anaonekana king'ang'anizi sana..... !
Tukiacha unafiki jamaaa yupo strategic sanaa kwa kazizake.
Uyo ndio eneka.
Acha uongo dogo
 
Kiukweli kwa alichotuonyesha kiba leo katika video yake mpya ya Seduce me ni majanga matupu

1.Video mbovu

2.Rangi kwenye video hazieleweki yani hovyo hovyo

3.yupo rafu tu mchafu mchafu hadi kuangalia kichefuchefu

4.nyimbo ni mbovu haijawahi tokea kiba kutoa nyimbo mbovu hivi

Alikiba ametutia aibu sio kwa nyimbo kimeo hivi tena umekaa mwaka mzima ndio umeleta balaa hili?



Sent using Jamii Forums mobile app

Toa ushamba...tatizo Lenu mmezoea singeli..mpaka Mrushe makalio ndio mburudike... This song has class.. International rhythm waswahili Kama wewe huezi kuelewa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
eeafc2c9b86e0470bc904da9093acee6.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha yani bora kusikiliza papa ya Gigy kuliko hii taka taka aliyoileta Alikiba.
Mimi si shabiki wa Alikiba kabisa lakini kuna nyimbo zake ni nzuri nazikubali kama Aje,Cheketua,Lupela...
Kwakweli Alikiba anapaswa kuendelea kuamshwa na Diamond ili apate show lake kwa muziki tuu hana ubavu.

Bwahahaaaaaa,we jamaa humkubali huyu jamaa kama mimi vile,kijamaa hakijui ila hakijui kama hakijui
 
Wimbo mbaya sijapata kuona..!
Hizi views ni mashabiki walikua na shauku ya kuiona kazi ya jamaa,ila wimbo ni mbovu haijapata kutokea..!
 
HAHAHA king kimbaa Leo kanyaa...! Mitaa yote hewani inanukaa..[emoji23]
Aiseee hii ni hatarii, nimejaribu kujipigia promo Ili nielewe lakini sikio limegomaa aisee...!
Vedeo qeen kama harmorapaa .....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Gafla cm ikazimaa.
Toa ushamba...tatizo Lenu mmezoea singeli..mpaka Mrushe makalio ndio mburudike... This song has class.. International rhythm waswahili Kama wewe huezi kuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudos Kiba!

This is international Standards tunazotaka wasanii wetu wafikie.

I bet this song itamwongezea mashabiki lukuki Africa na duniani kwa ujumla.

Tukutane kwenye tuzo mbalimbali za kimataifa!
 
Daaah umejitahidi sana kukonvinsi lakn ukweli unabki kuwa palepale mwana katoa boko.

Bora at kisela ya vmoney kuliko huu utumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
all in all kaka listen to your heart kaka ukweli unajua moyo wako ali kiba always is the best sina team yoyote ila i love good music and ali kiba always create good music always kwa tanzania hapa ukicompare these two guys lazima ali kiba come first and then diamong come second kaka
 
katika maisha ukiface the reality and accept it maisha kwako yatukuwa marahisi saaana ndio maana nkakwambia i love good music sina mambo ya team wala nini ila this guy alikiba is killing softly
my regards
 
Back
Top Bottom