eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
Nafikiri akina eneka ameelewaNilichogundua kwa watanzania wamevurugika akili na mziki wa Nigeria ndio maana siku zote kwao nyimbo nzur ni ile yenye mahadhi ya huko. Kwenye video wanayoona wao nzur ni mpaka uweke magari au nyumba za kifahari. Madem wakiwa naked na mambo ya kiasherati ndio mziki mzur. Jamaa anajarib kuwa tofaut ukiangali nyimbo zake nying anajarb kuwa kama yeye na mziki wake. Kwa wanaojua mziki huu wimbo ni mzur majungu hayajengi wazee. Kanye west angekua mtanzania sidhan kama angefika pale alipofika maana ana video mbovu kwa vigezo vya wabongo unaeza kusema toka aanze mziki hajawah kutoa kideo kizur.
Ila hii ni namna ya watanzania tulivyo ni watu wa copy an pest. We cant make our own symbol.
Big up kiba and keep it up!!
Kaiga biti ya Davido lakini eneka imepotea
Fall ya Davido inatamba
Watu tunataka muziki mzuri
Nitampata wapi
Salome japo alikopi nilizipenda mno lakini hizi tatu alizotoa zimepotea bila taarifa