Nimeusikiliza wimbo mpya wa Ali Kiba, ukweli nimesikitika sana. Sikutegemea kama mwaka mzima aliokaa kimya msanii kama Kiba anaweza kutoa wimbo wa kiwango duni kama huu.
Bonge la song.
Bonge la ngoma dadeki.
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Ali Kiba, ukweli nimesikitika sana. Sikutegemea kama mwaka mzima aliokaa kimya msanii kama Kiba anaweza kutoa wimbo wa kiwango duni kama huu.
Bonge la ngoma dadeki.
Mi nachoona Mond sio poseur, licha ya kuwa tajiri, ila amekubali kuwa you cant take the hood out of him, ndo ukweli huo! Hivyo yuko genuine!Tofauti ya kiba na mond ni moja tu. IQ mond akiweza hili basi
Hakuna fire wala eneka,simply seduce me.niceeeeeeBonge la song.
Bonge la ngoma dadeki.
Wimbo wa kiba hauna radha kabisa makelele tu, km alkua anaimba choon hiviTatizo ni tafsiri za watu, mnajiumiza sana kuunganisha dots zisizo na logic, hata angepost yuko toilet mngetafsiri kivyenu!
Mwisho wa siku songi la Kiba ni baya, namshauri atoe remix yake na aipake rangi angalau.
Mkuu classic nyoosha maneno wimbo huu ni wa hovyo kabisa ...hivi unafikiri watu hatuna nyimbo za Alikiba tunazo zipenda?Kitu kimoja nilichogundua kuhusu mziki wa bongo hususani kwa mashabiki wa diamond na ally kiba ni kutegema anachofanya huyu na mwingine afanye hivyo hivyo.
Wengi nadhani walitarajia mbwembwe nyingi na nyimbo yenye tempo kubwa kwenye nyimbo hii mpya ya alikiba
This is good music simply bcoz unachezeka na hauna zile mbwembwe zetu za kusifia mwanamke.
Sio lazima wote tusifie mwanamke
Usiwekee mategemeo kwa kitu ambacho sio cha kwako
By
Classic
Sent using Jamii Forums mobile app
kwan eneka si nasikia DAVIDO analalamika???Ila Kiba hapana mashabiki wake mna kazi sana[emoji3][emoji3][emoji3] nyimbo ni mbayaaaa acha niendelee kusikiliza Eneka mieee!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo? inazuia nini mimi kuipenda..[emoji3]kwan eneka si nasikia DAVIDO analalamika???
Hii haitamaliza ata week inazikwaTeam dimondi naona mnaumiza vichwa maana baba yenu kaishiwa maana nyimbo zote 3 zimepotea kwenye midia
Akaamua kumpa ujauzito kabisaTEAM DIAMOND NA YULE MWANAMKE WAKE ALIYEMGEUZA INKYUBETA
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Watu wakiacha mihemko ya uteam HII nyimbo ni KALI NA HAIFANANI NA YA MSANII YEYOTE WALA HAIFANANI N.A. NGOMA ZAKE ZA AWALI.
HONGERA KWA MANWATER
HONGERA KWA ALIKIBA
SIO kama hautuhitaji kwenda international LA ila kama tunakwenda international twende na Vya KWETU KAMA AJE NA SEDUCE ME....
Akikujibu nitagMkuu classic nyoosha maneno wimbo huu ni wa hovyo kabisa ...hivi unafikiri watu hatuna nyimbo za Alikiba tunazo zipenda?
Daaah umejitahidi sana kukonvinsi lakn ukweli unabki kuwa palepale mwana katoa boko.honestly sipo team yoyote ile ila i love good music,ila we human beings especially Tanzanians ie we Tanzanian sometimes we are to face the reality sometimes we are to face the truth and accept it.Mtu akifanya vizuri mpongeze mimi nasema this is the best song and international song kama mnabisha wait tuone kwenye chart Africa itafanyaje.
this is the best song and international song ambayo hata p.didy,jay z au drake au any international artist anaweza sikiliza tuache mambo ya kukataa ukweli hayana maana ndugu zangu.huu wimbo hauwezi kuulinganisha na either eneka or fire THIS IS THE BEST SONG AND INTERNATIONAL SONG
MY REGARDS.
SOMETIMES WE ARE TO FACE THE REALITY AND ACCEPT THE REALITY.