Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Habari ya mjini King Kiba amelipwa 5m USD Gavana Joho wa Mombasa kwa ajili ya kampeni..sasa Domo& Co hawajawahi kupata hela ndefu kama hiyo kwa mara moja...na ana mpango wa kununua nyumba zote za Lugumi zinazopigwa mnada...Kiba ndio msanii tajiri kwa sasa East Africa yote...muuza njugu roho inamuuma...mwambieni akamalizie deni la X6 kwa yule mama mjane mke wa Seki.. “Msimtese mjane yeyote wala mvulana asiye na baba.+ 23 Mkimtesa hata kidogo, naye anililie hata kidogo, sitakosa kukisikia kilio chake;+
 
huyu jamaa sijui vp huwa anawaangusha sana team kibakuli, hv unaanzaje kutoa nyimbo mbovu, video nyeusi, wakati unajua mpinzani wako ametoa eneka,poleni sana team kibakuli, ndo maana huwa anachelewa kutoa kumbe huwa anaogopa
 
Kaimba nyimbo nzuri kuliko zote alizowahi imba diamond kwa mwaka huu, ila ubovu wa huu wimbo unaponzwa na video mbovu chini ya kiwango, wengi hawajui kutofautisha uzuri wa audio na video ndio maana wanasema mbaya vinginevyo ni chuki ya timu ya chibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetumia kigezo gani kusema kaimba wimbo mzuri kuliko alizoimba diamond?
 
Asante kwa kujua vitu vizuri
Naona kibakuli umekuja mwenyewe kujipa promo, kiufupi nyimbo mbayaaa, nimewekea watoto kuangalia, mwanangu mkubwa kasema hicho nini baba, toa mi sitaki liwimbo libayaaaaa

Siasa basi
 
Jamani mliozoea singeli Seduce hamuwezi kuuelewa. Kiba yuko kimataifa zaidi ana ladha ya pekee yake hacopy Nigeria.
Kimataifa kwa matapishi hayo, acheni kushabikia vitu vya kijinga, nafsi yenyewe inakiri kuwa nyimbo mbovu, utimu ndio unakusumbua

Siasa basi
 
Nyimbo nzima kajisifia tu, hakuna alichokiimba, yooooo, wananiita kipusa, yooo, wananiita misifa, nagawa madinga, sijui pasua kichwa upuuuuzi mtupu

Siasa basi
 
Nyimbo nzima kajisifia tu, hakuna alichokiimba, yooooo, wananiita kipusa, yooo, wananiita misifa, nagawa madinga, sijui pasua kichwa upuuuuzi mtupu

Siasa basi
Mtu anajisifia nyimbo nzima wakat mashabik zake wanadai jamaa hapendagi sifa
 
Habari ya mjini King Kiba amelipwa 5m USD Gavana Joho wa Mombasa kwa ajili ya kampeni..sasa Domo& Co hawajawahi kupata hela ndefu kama hiyo kwa mara moja...na ana mpango wa kununua nyumba zote za Lugumi zinazopigwa mnada...Kiba ndio msanii tajiri kwa sasa East Africa yote...muuza njugu roho inamuuma...mwambieni akamalizie deni la X6 kwa yule mama mjane mke wa Seki.. “Msimtese mjane yeyote wala mvulana asiye na baba.+ 23 Mkimtesa hata kidogo, naye anililie hata kidogo, sitakosa kukisikia kilio chake;+
Unaona humu wote watoto kama wewe sio?? Ulishawah kuiona licha ya kuishika hiyo M 5 USD?? We mtoto pumbavu kweli, ushabiki mwingine wa kijinga. Kwa taarifa yako kibakuli alilipwa milion 10 tu za kitanzania, sasa unakuja kudanganya nani hapa.

Siasa basi
 
Sidhani kama Alikiba hakujua kama anatoa hit song,hivyo hata Fans wake wamekubal ni hit

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Habari ya mjini King Kiba amelipwa 5m USD Gavana Joho wa Mombasa kwa ajili ya kampeni..sasa Domo& Co hawajawahi kupata hela ndefu kama hiyo kwa mara moja...na ana mpango wa kununua nyumba zote za Lugumi zinazopigwa mnada...Kiba ndio msanii tajiri kwa sasa East Africa yote...muuza njugu roho inamuuma...mwambieni akamalizie deni la X6 kwa yule mama mjane mke wa Seki.. “Msimtese mjane yeyote wala mvulana asiye na baba.+ 23 Mkimtesa hata kidogo, naye anililie hata kidogo, sitakosa kukisikia kilio chake;+
Unaona humu wote watoto kama wewe sio?? Ulishawah kuiona licha ya kuishika hiyo M 5 USD?? We mtoto pumbavu kweli, ushabiki mwingine wa kijinga. Kwa taarifa yako kibakuli alilipwa milion 10 tu za kitanzania, sasa unakuja kudanganya nani hapa.

Siasa basi
 
Kiukweli kwa alichotuonyesha kiba leo katika video yake mpya ya Seduce me ni majanga matupu

1.Video mbovu

2.Rangi kwenye video hazieleweki yani hovyo hovyo

3.yupo rafu tu mchafu mchafu hadi kuangalia kichefuchefu

4.nyimbo ni mbovu haijawahi tokea kiba kutoa nyimbo mbovu hivi

Alikiba ametutia aibu sio kwa nyimbo kimeo hivi tena umekaa mwaka mzima ndio umeleta balaa hili?



Sent using Jamii Forums mobile app

Tunga Yako Tuisikie ... Pambana Na Hali Yko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anajisifia nyimbo nzima wakat mashabik zake wanadai jamaa hapendagi sifa
Mimi nilichokisikia nyimbo nzima ni yoooooo wananiita kipusa, mzee wa kugawa mandinga na madola bandia, yooooooo wananiita mzee misifa, yoooooo seduce me,[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Siasa basi
 
Mimi nilichokisikia nyimbo nzima ni yoooooo wananiita kipusa, mzee wa kugawa mandinga na madola bandia, yooooooo wananiita mzee misifa, yoooooo seduce me,[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Siasa basi
Baba yenu dimond amezimia
Maana seduce tu ni sheeeda
Sasa subirini nyingine 2 zinafuata
 
Unaona humu wote watoto kama wewe sio?? Ulishawah kuiona licha ya kuishika hiyo M 5 USD?? We mtoto pumbavu kweli, ushabiki mwingine wa kijinga. Kwa taarifa yako kibakuli alilipwa milion 10 tu za kitanzania, sasa unakuja kudanganya nani hapa.

Siasa basi
Ulikuwa nae fala wewe
Kamtumikie mumeo daimondi huko
 
huyu jamaa sijui vp huwa anawaangusha sana team kibakuli, hv unaanzaje kutoa nyimbo mbovu, video nyeusi, wakati unajua mpinzani wako ametoa eneka,poleni sana team kibakuli, ndo maana huwa anachelewa kutoa kumbe huwa anaogopa
Eneka imeshapotea ndugu sijui unaishi wapi
Hata boda boda hawaupigi
 
Back
Top Bottom