Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,358
- 5,845
Habari ya mjini King Kiba amelipwa 5m USD Gavana Joho wa Mombasa kwa ajili ya kampeni..sasa Domo& Co hawajawahi kupata hela ndefu kama hiyo kwa mara moja...na ana mpango wa kununua nyumba zote za Lugumi zinazopigwa mnada...Kiba ndio msanii tajiri kwa sasa East Africa yote...muuza njugu roho inamuuma...mwambieni akamalizie deni la X6 kwa yule mama mjane mke wa Seki.. “Msimtese mjane yeyote wala mvulana asiye na baba.+ 23 Mkimtesa hata kidogo, naye anililie hata kidogo, sitakosa kukisikia kilio chake;+