Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Tutauelewa tu mbele kwa mbele lakin me kwenye kiitikio hapo, aaaah burudaaan.. Napapenda kusema ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetokea kuupenda ghafla ,lkn first time na usikiliza jamaa nilijua katoa boko.hahahahaha now nimeweka repeat nafkri mpaka asubuhi,kiitikio na midundo kaua kiba.japokuwa mistari aliyoimba sio mizuri kivilee
 
Nimeanza kuielewa sasa hivi hiyo nyimbo,Mara ya kwanza kuisikia niliona ipo hovyo,now nimeweka repeat nakula midundo iliyotulia.ili uenjoy isikilize kwenye sabufa.vinginevyo hutaielewa wala kutamani kuisikiliza tena na tena
Huuu wimbo mkuu kama ni mpenzi wa singeli huwezi kueleza ila uweke kwenye Music system like Sony utauludia zaidi ya Mara5.Pia ni ajabu wimbo haujamaliza 24hours una views wengi mno.Kama watu wataupenda Bas utakuwa ni wimbo bora wa mwaka sio kwa Mashairi ila kwa Melody.

Sent using Iphone 7+
 
Kila nikipitia comments zipo negative basi wacha nisipoteze bundle langu kuucheck
 
Gavana Joh basi atakuwa ni chizi sana na wala asingelikuwa anagombea u gavana...Kwanza unahitaji kuwa na mtindio wa ubongo kuamini mwenye akili timamu anaweza toa hiyo hela kwa Alikiba...
Hivi kweli Alikiba ana hadhi ya kulipwa hiyo pesa? Alikiba kwenye hiyo show akilipwa sana ni tshs 10million...
Kwa wimbo wa hovyo namna hii unahitaji kupimwa akili kutoa pesa kama hiyo....
Alie na hadhi ni domond
Kakojoe ulale
This is king kiba
 
aeb00440a9421bdc6c37a320a7ce218c.jpg
 
Mwimbo video ya majambazi kuiba inaendanaje na hayo maneno na mahaba.. nisaidieni as wengine inatuzima stimuli kwa kuona ujambazo kwanza. Duh!!!

Ila hiyo anajingezea maneno kujisifia eeeeh kaka hayatoki moyoni yamejaa uwoga..

Haya napita mimi... sikutegemea quality iwe ya chini pia.. na amesainiwa nani tena?
24/7 hrs nakuonaaa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUHUSU "SEDUCE ME"

☆ Wimbo umetulia,unakupa mood ya kurelax...hakuna makelele na upayukaji wa kinaijeria
☆ Production nzuri hasa eneo la sound mixing
☆ Video nzuri, simpicity, originality, colour toning....clear resolution....less boobs, nudity, marangi rangi na ming'aoming'ao isiyo ya lazima
☆ Wimbo una mada inayoeleweka.
☆ Probable critisism kwa wimbo huu ni kwenda tofauti na upepo uvumao kwa sasa...uandishi wa kinaija..beat ya kinaija...na slow tempo...watu sasa wanapenda nyimbo zenye kasi ya singeli or something close enough to that...ndiyo maana wengi wanawaza itakua vipi Kiba akifanya show CCM Kirumba ataamsha mashabiki na wimbo huu? Mziki ni vibes tu ndiyo maana haishangazi kuona R. Kelly anaamsha mashabiki kwa kwaya yake ya "Storm Is Over" au The Passengers na "Let It Go".
☆ Athari za team zinafanya kusiwepo na uhalisia wa judgement za kazi za sanaa hasa kwa Daimond na Ali Kiba, kwenye uwepo wa team basi hutokea kitu kinaitwa ligi...na lengo la ligi ni team flani kua mshindi..sasa nani awe looser? Hapo ndipo kazi ilipo
 
Back
Top Bottom