brAin cRacker
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 996
- 1,534
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] demo tenaBila shaka hii itakuwa ni demo tu. Tusubir nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] demo tenaBila shaka hii itakuwa ni demo tu. Tusubir nyingine
mbona upo uzi wenu wa Ali kiba special threadEmbu mashabiki wa kiba tutengenezeni uzi wetu wa timu kiba, tujue tunamsaidiaje kiukweli anatutia aibu sana mtaani, yani anatuangusha vilivyo. Tunajtahidi kumpa sapot lakni wapi. Embu tonane tujue anakosea wapi.
Uso wangu sijui hata niuweke wapi aibu hii.
Wananiita [HASHTAG]#Heartbreakers[/HASHTAG],Kipusa Kiba sio level za malkia wa nguvuNashkuru kwa kunisaidia mkuu! Maana hiyo nyimbo nilikuwa sielewi,bongoflava sio bongoflava,nikawa najiuliza asili yake wapi? Yawezekana jamaa ametoa kwa ajili ya mashabiki wa nje,kama anavyofanya diamond.maana kuna nyimbo nyengine diamond anatoa ndani ya nchi hazieleweki lkn nje ya nchi zinapata airtime ya kutosha na kupendwa
kiba hashindani na mtu mkuukiba ataandamwa sana kwa hii ngoma.........
Kunduva mmmmhDiamond endelea kumtandikia Kiba alale Hakuna namna Fire, Eneka ziko mbaaalii Sana hii Seduce me bado Kiba anasafar ndefu
Bora niitwe mfua boxer wa Domo.
Umeongea point kijana, kachukue balimi nakuja kulipiaSIJUI HATA KWANINI HUWA MNAMUONA KIBA MSANII, KIBA ALIKUA ZAMANI NA ALISHAKWISHA KAMA KINA FERUZI, TEMBA, JUMA NATURE,DUDU BAYA, MR.NICE N.K, Kinachomweka mjini ni mashabiki wasiompenda Diamond ambao wameamua kumuoverrate Kiba na kumfananisha na Diamond, ila kiuhalisia Kiba hana kitu sasa
Hahahaaaa povu hilo sasa badal uongelee ngoma ya kiba ubaingiza maswala ya eneka daah kwa hii mpuyango ni shidaMy View
Nyimbo ni nzuri ila video ndo iko hatua chache kutoka wimbo ulipo
Wabongo wamehabibiwa na video za kung'aa ng'aa sana
Alikiba and diamond are the best artists in Tz everyone has his unique melody tusitake Domo awe na sauti kama alikiba na tusitake alikiba aimbe vitu visivyoeleweka just tu entertainment kama mwenzake anavyofanya kwa kufanya collabo zisizo na macho wala mkia
Kuanzia diamond aanze kuforce collabo ndo amepotea na nyimbo inayoshikilia huo utumbo ni eneka haina kichwa wala mkia
Nyimbo ishatoka, nendeni ktk acc yake ya VEVO, nyimbo inaitwa seduce me, mm naipa 6/10
Nzurii sanaaaakwani ina shida gani?