Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Tenda wema wendezako usingoje shukurani.
Na hapa umecomment positively kwa sababu kuu mbili.
1. Aliyetoa hiyo offer ni muislamu
2. Ana uhusiano mzuri na magamba!
Tenda wema wendezako usingoje shukurani.
Bashe kama MD ametangaza msibani kuwa mjane ataendelea kupokea mshahara wa mumewe kwa miaka mitano,na dependants wawili wa shule ya msingi na wa chuo wataendelea na masomo kwa hisani ya habari cooperation.
RA anaitaji pongezi kwa ilo
Source :ch ten 19hrs news
tangu kuanguka kwa fisadi nguli na mwarabu wa Iran na baadaye kifo cha 'MHARIRI WA GAZETI LA RAI', lililokuwa kipambe na kipenzi cha kuandika kila lililozuri la RA & Co, nimekuwa na homework ya kukonekti dots.
nitarudi baadaye.
Hapa kuna watu wa habari cooperation, ni jukumu lao kufuatilia ahadi hii maana isije ikawa danganya toto ya kujitutumua msibani.
Pia ni lazima kuwe na utaratibu ambao hiyo familia itaendelea kufaidika na hiyo ahadi hata kama kutakuwa na mabadiliko. miaka mitano ni mingi na hulka ya binadamu ni kuwasahau wafu mapema.
Na hapa umecomment positively kwa sababu kuu mbili.
1. Aliyetoa hiyo offer ni muislamu
2. Ana uhusiano mzuri na magamba!