Maswali magumu kwa hussein bashe kuhusu kifo cha mwakiteleko.

Alfu Lela Ulela

JF-Expert Member
Oct 29, 2010
1,255
77
Jana nimepata taarifa kupitia vyombo vya habari (Chanel Ten-taarifa ya saa 1jioni na TBC-kwny usiku wa habari), kuhusu mpango wa NEW HABARI CORPORATION kuisaidia familia ya aliyekuwa mhariri msaidizi wa gazeti la RAI marehemu Dany Mwakiteleko.

Miongoni mwa ahadi alizotoa Bashe ni kumlipa mke wa Dany mshahara wa mumewe kwa miaka mitano, na kusomesha watoto wawili wa Dany pamoja na other two depandants hadi level ya University.

Lakini kabla sijapongeza hatua hiyo naomba kumuuliza Bashe maswali kadhaa ya msingi ambayo majibu yake yatatupa taswira ya alichosema jana.

Kwanza,
je kwa mshahara wa miaka mitano atakaolipwa mkewe, inamaanisha kuwa atapoteza stahili zake nyingine alizokuwa nazo Dany kama mwajiriwa? Mbona hatujasikia suala ka pension ya Dany?

Pili,
Je Dany ni mwajiriwa wa kwanza wa NEW HABARI kufariki? Ikiwa sivyo, je aliyemtangulia Dany alifanyiwa hivyo? Kama hakufanyiwa, je ni vigezo gani vimetumika kumpa Dany offer hiyo?

Tatu,
Je utaratibu huu ni kwa Dany pekee au ni wafanyakazi wote wa NEW HABARI? Je akifa mwingine utaratibu utakuwa huohuo?

Nne,
Je mshahara atakaolipwa mkewe Dany utakuwa ukipanda kila mwaka au atalipwa mshahara Dany aliostaafia kwa miaka yote mitano?

Sita,
mtoto mdogo wa Dany yuko darasa la sita. Ameahidiwa kusomeshwa hadi chuo kikuu, je kampuni itakuwepo kwa kipindi chote hicho?
Vipi ikiwa kampuni itakufa mwakani?

Saba,
nani atasimamia utekelezaji wa ahadi hizo?

NB:Ikumbukwe ahadi zilizotolewa ni hisani (courtesy). Hisani hailazimishwi kulipwa. Hakuna mkataba familia ya Dany imesaini ili hayo yaliyoahidiwa yasipotekelezwa familia ichukue hatua.So utekekezaji wake utategemea kudra za NEW HABARI, na Bashe kama MD.

Mwisho natoa rai kwa media houses nyingine (hasa za Reginald Mengi) kuiga mfano waliounesha NEW HABARI.

Mungu ibariki tasnia adhimu ya habari,
Mungu ibariki TZ.
 
Hizo ni ahadi kama za kwenye michango ya harusi . yaani ni favour. Mjumbe hata kama alsema atatoa laki mbili asipotoa au akatoa robo huna la kumfanya.

Zaidi ni mjumbe atakuwa amepata sifa mbele ya kikako
 
Jana nimepata taarifa kupitia vyombo vya habari (Chanel Ten-taarifa ya saa 1jioni na TBC-kwny usiku wa habari), kuhusu mpango wa NEW HABARI CORPORATION kuisaidia familia ya aliyekuwa mhariri msaidizi wa gazeti la RAI marehemu Dany Mwakiteleko.

Miongoni mwa ahadi alizotoa Bashe ni kumlipa mke wa Dany mshahara wa mumewe kwa miaka mitano, na kusomesha watoto wawili wa Dany pamoja na other two depandants hadi level ya University.

Lakini kabla sijapongeza hatua hiyo naomba kumuuliza Bashe maswali kadhaa ya msingi ambayo majibu yake yatatupa taswira ya alichosema jana.

Kwanza,
je kwa mshahara wa miaka mitano atakaolipwa mkewe, inamaanisha kuwa atapoteza stahili zake nyingine alizokuwa nazo Dany kama mwajiriwa? Mbona hatujasikia suala ka pension ya Dany?

Pili,
Je Dany ni mwajiriwa wa kwanza wa NEW HABARI kufariki? Ikiwa sivyo, je aliyemtangulia Dany alifanyiwa hivyo? Kama hakufanyiwa, je ni vigezo gani vimetumika kumpa Dany offer hiyo?

Tatu,
Je utaratibu huu ni kwa Dany pekee au ni wafanyakazi wote wa NEW HABARI? Je akifa mwingine utaratibu utakuwa huohuo?

Nne,
Je mshahara atakaolipwa mkewe Dany utakuwa ukipanda kila mwaka au atalipwa mshahara Dany aliostaafia kwa miaka yote mitano?


Sita,
mtoto mdogo wa Dany yuko darasa la sita. Ameahidiwa kusomeshwa hadi chuo kikuu, je kampuni itakuwepo kwa kipindi chote hicho?
Vipi ikiwa kampuni itakufa mwakani?

Saba,
nani atasimamia utekelezaji wa ahadi hizo?

NB:Ikumbukwe ahadi zilizotolewa ni hisani (courtesy). Hisani hailazimishwi kulipwa. Hakuna mkataba familia ya Dany imesaini ili hayo yaliyoahidiwa yasipotekelezwa familia ichukue hatua.So utekekezaji wake utategemea kudra za NEW HABARI, na Bashe kama MD.

Mwisho natoa rai kwa media houses nyingine (hasa za Reginald Mengi) kuiga mfano waliounesha NEW HABARI.

Mungu ibariki tasnia adhimu ya habari,
Mungu ibariki TZ.


Kwenye nyekundu humo mna maswali ya msingi sana.
 
Jana nimepata taarifa kupitia vyombo vya habari (Chanel Ten-taarifa ya saa 1jioni na TBC-kwny usiku wa habari), kuhusu mpango wa NEW HABARI CORPORATION kuisaidia familia ya aliyekuwa mhariri msaidizi wa gazeti la RAI marehemu Dany Mwakiteleko.

Miongoni mwa ahadi alizotoa Bashe ni kumlipa mke wa Dany mshahara wa mumewe kwa miaka mitano, na kusomesha watoto wawili wa Dany pamoja na other two depandants hadi level ya University.

Lakini kabla sijapongeza hatua hiyo naomba kumuuliza Bashe maswali kadhaa ya msingi ambayo majibu yake yatatupa taswira ya alichosema jana.

Kwanza,
je kwa mshahara wa miaka mitano atakaolipwa mkewe, inamaanisha kuwa atapoteza stahili zake nyingine alizokuwa nazo Dany kama mwajiriwa? Mbona hatujasikia suala ka pension ya Dany?

Pili,
Je Dany ni mwajiriwa wa kwanza wa NEW HABARI kufariki? Ikiwa sivyo, je aliyemtangulia Dany alifanyiwa hivyo? Kama hakufanyiwa, je ni vigezo gani vimetumika kumpa Dany offer hiyo?

Tatu,
Je utaratibu huu ni kwa Dany pekee au ni wafanyakazi wote wa NEW HABARI? Je akifa mwingine utaratibu utakuwa huohuo?

Nne,
Je mshahara atakaolipwa mkewe Dany utakuwa ukipanda kila mwaka au atalipwa mshahara Dany aliostaafia kwa miaka yote mitano?

Sita,
mtoto mdogo wa Dany yuko darasa la sita. Ameahidiwa kusomeshwa hadi chuo kikuu, je kampuni itakuwepo kwa kipindi chote hicho?
Vipi ikiwa kampuni itakufa mwakani?

Saba,
nani atasimamia utekelezaji wa ahadi hizo?

NB:Ikumbukwe ahadi zilizotolewa ni hisani (courtesy). Hisani hailazimishwi kulipwa. Hakuna mkataba familia ya Dany imesaini ili hayo yaliyoahidiwa yasipotekelezwa familia ichukue hatua.So utekekezaji wake utategemea kudra za NEW HABARI, na Bashe kama MD.

Mwisho natoa rai kwa media houses nyingine (hasa za Reginald Mengi) kuiga mfano waliounesha NEW HABARI.

Mungu ibariki tasnia adhimu ya habari,
Mungu ibariki TZ.
Ni kweli kuna v2 vya msingi mf.. penye red.....
 
Hizo ni ahadi kama za kwenye michango ya harusi . yaani ni favour. Mjumbe hata kama alsema atatoa laki mbili asipotoa au akatoa robo huna la kumfanya. Zaidi ni mjumbe atakuwa amepata sifa mbele ya kikako
na hilo ndilo lililonipa wasiwasi na kulazimika kuhoji. Isije ikawa RA na Bashe wakajipatia ujiko mbele ya jamii then ahadi zikaishia kuwa story za tom na jerry.
 
Jana nimepata taarifa kupitia vyombo vya habari (Chanel Ten-taarifa ya saa 1jioni na TBC-kwny usiku wa habari), kuhusu mpango wa NEW HABARI CORPORATION kuisaidia familia ya aliyekuwa mhariri msaidizi wa gazeti la RAI marehemu Dany Mwakiteleko.Miongoni mwa ahadi alizotoa Bashe ni kumlipa mke wa Dany mshahara wa mumewe kwa miaka mitano, na kusomesha watoto wawili wa Dany pamoja na other two depandants hadi level ya University.Lakini kabla sijapongeza hatua hiyo naomba kumuuliza Bashe maswali kadhaa ya msingi ambayo majibu yake yatatupa taswira ya alichosema jana.Kwanza,je kwa mshahara wa miaka mitano atakaolipwa mkewe, inamaanisha kuwa atapoteza stahili zake nyingine alizokuwa nazo Dany kama mwajiriwa? Mbona hatujasikia suala ka pension ya Dany?Pili,Je Dany ni mwajiriwa wa kwanza wa NEW HABARI kufariki? Ikiwa sivyo, je aliyemtangulia Dany alifanyiwa hivyo? Kama hakufanyiwa, je ni vigezo gani vimetumika kumpa Dany offer hiyo?Tatu,Je utaratibu huu ni kwa Dany pekee au ni wafanyakazi wote wa NEW HABARI? Je akifa mwingine utaratib.
Mkuu umeuliza maswali mazuri sana,i hope the message is delivered and read...
 
Wataka sifa tu hao. Mbona wafanyakazi wengi wa New Habari hadi leo wanadai mishahara yao ya Agosti, Septemba na Oktoba? Hata wale waliocha kazi hawajalipiwa mafao yao ya NSSF, PPF. Hapo Rostam na Bashe wametaka cheap popularity ya kisiasa. Si ulimuona Lowassa msibani?
 
Umenifurahsha sana,umeuliza vitu makini sana..You speak my Language!!Ila Mungu anisamehe!ila Danny Alimsafisha sana Lowasa na RA....Mpaka Mtanzania na Rai zikawa kama Uhuru na Mzalendo...Lakn hakuna mwenye hak mbele za bwana,wote tu wadhambi!Mwenyez Mungu ampokee
 
I apprrecite your concern. Hope the msg delivered!

Kwa mtu mwenye akili Timamu,.. Hayo maswali yajibiwe si kwa maneno tu, bali kwenye maandishi tena advocate awepo na wahusika wasaini mbele yake na hayo mafaili kopi kwa kampuni, kopi nyingine kwa advocate na familia ipewe original kopi...
 
mkuu hayo ni maswali ya msingi ambayo kila mtanzania lazima ajiulize,
kwangu mimi namwona huyo msomali anataka ubunge kwa nguvu
jamani tumechoka na wageni kutuongoza msikubali hilo
 
mkuu hayo ni maswali ya msingi ambayo kila mtanzania lazima ajiulize,kwangu mimi namwona huyo msomali anataka ubunge kwa nguvujamani tumechoka na wageni kutuongoza msikubali hilo
unanifurahisha mkuu,ama kuhusu ubunge it might be true.!
 
Nimesoma hiki kichekesho. Kwa bahati. Mbaya hawa wsanii hawajashikishwa adobe kujua kuheshimu mambo yasiyo ya utani. Tatizo lingine ni ujinga wa haw a wasanii wa aina ya Bashe ya kutokujua kwamba it is only pension funds na BIMA sinazowewza kufanya hilo wanalosema. Kama wanaubavu wangemkatia Danny na wafqnyakazi wq aina yake bima ama kuwaingiza kwenye mifuko ya pension ambayo mpaka wanafariki ama hawajaandikishwa AMA moaka Leo makato yao hayajawakilishwa mpaka Leo. Bashe asijaribu hat a Kidogo kutaka kuidhalilisha familia ya Danny kwa kujaribu kufivhq makucha yao ya namna walivyoshindwa kuwjibika katika kuwatayarishia watumishi wake maisha ya baadae si tu kwa kifo, bali hat a ajali na mambo yanayofnana na hayo. Pamoja na nia njema ya Bashe na kampuni yake, hii ahadi ni BATILI, ni ajabu kuona wadanganyika wakishusha lundo la pongezi humu. Familia ya Mwakiteleko haihitji usanii kwa sasa, wanachohitaji ni counseling na kujiweka saw a kwa maisha bila bread earner, maisha sustainable sio upumbavu wa hadithi za wakina Bashe ambao hat a wao hatima yao na hiyo kampuni yao haieleweki. Hawajua watanzania wanafikiria nini juu ya hatma yao katika nchi ugenini.
 
Umenifurahsha sana,umeuliza vitu makini sana..You speak my Language!!Ila Mungu anisamehe!ila Danny Alimsafisha sana Lowasa na RA....Mpaka Mtanzania na Rai zikawa kama Uhuru na Mzalendo...Lakn hakuna mwenye hak mbele za bwana,wote tu wadhambi!Mwenyez Mungu ampokee
You are absolutely correct mkuu. Japokuwa hatuwezi wala hatupaswi kuhukumu, lakini ni ukweli ulio wazi kuwa Dany alimtumikia RA kwa moyo na akili yake yote.Hata katika mazingira mengine alikiuka maadili ya kazi yake ili kumfurahisha his master (RA). Kwa kushirikiana na Bashe pamoja na Manyerere Jackton waliyafanya magazeti ya RAI na MTANZANIA kupoteza hadhi kabisa mbele ya wanajamii (hasa wasomi).Binafsi nimewahi kuingia nao kwenye mgogoro baada ya kuhoji issue fulani, waliyotoa kwenye Mtanzamia (December last year) bila kuwa na ushahidi.Katika taarifa ile hakukuwa na objectivity wala fairness maana tuhuma zilitolewa bila kufanya attribution kwa mtuhumiwa.Nilipompigia Jacton alishindwa kudhibitisha but after some minutes wakanitext kuwa natumiwa na CHADEMA.Nilishangaa kuwa wao wanaotumiwa na RA hawajioni, wanabaki kugase wengine. Nikajaribu kuwaelewesha kuwa im arguing on proffesionalism b'se i also posses degree of the same proffesion but hawakunielewa tukaishia kulumbana.So it is true kuwa Dany na wenzake walimtumikia RA for their all energy hata wakati mwingine kupindisha ukweli. Hatupaswi kuhukumu but to be honest Dany alipaswa kuiomba jamii radhi kabla hajatwaliwa ktk haya mavumbi.Sina hakika kama alitubu kwa Mungu wake, lakini nina hakika hakutubu kwa WATANZANIA. Nasikitika amekufa na deni hilo. Eeeh Mungu mrehemu Daniel Mwakiteleko apumzike kwa amani.
 
Jana nimepata taarifa kupitia vyombo vya habari (Chanel Ten-taarifa ya saa 1jioni na TBC-kwny usiku wa habari), kuhusu mpango wa NEW HABARI CORPORATION kuisaidia familia ya aliyekuwa mhariri msaidizi wa gazeti la RAI marehemu Dany Mwakiteleko.

Miongoni mwa ahadi alizotoa Bashe ni kumlipa mke wa Dany mshahara wa mumewe kwa miaka mitano, na kusomesha watoto wawili wa Dany pamoja na other two depandants hadi level ya University.

Lakini kabla sijapongeza hatua hiyo naomba kumuuliza Bashe maswali kadhaa ya msingi ambayo majibu yake yatatupa taswira ya alichosema jana.

Kwanza,
je kwa mshahara wa miaka mitano atakaolipwa mkewe, inamaanisha kuwa atapoteza stahili zake nyingine alizokuwa nazo Dany kama mwajiriwa? Mbona hatujasikia suala ka pension ya Dany?

Pili,
Je Dany ni mwajiriwa wa kwanza wa NEW HABARI kufariki? Ikiwa sivyo, je aliyemtangulia Dany alifanyiwa hivyo? Kama hakufanyiwa, je ni vigezo gani vimetumika kumpa Dany offer hiyo?

Tatu,
Je utaratibu huu ni kwa Dany pekee au ni wafanyakazi wote wa NEW HABARI? Je akifa mwingine utaratibu utakuwa huohuo?

Nne,
Je mshahara atakaolipwa mkewe Dany utakuwa ukipanda kila mwaka au atalipwa mshahara Dany aliostaafia kwa miaka yote mitano?

Sita,
mtoto mdogo wa Dany yuko darasa la sita. Ameahidiwa kusomeshwa hadi chuo kikuu, je kampuni itakuwepo kwa kipindi chote hicho?
Vipi ikiwa kampuni itakufa mwakani?

Saba,
nani atasimamia utekelezaji wa ahadi hizo?

NB:Ikumbukwe ahadi zilizotolewa ni hisani (courtesy). Hisani hailazimishwi kulipwa. Hakuna mkataba familia ya Dany imesaini ili hayo yaliyoahidiwa yasipotekelezwa familia ichukue hatua.So utekekezaji wake utategemea kudra za NEW HABARI, na Bashe kama MD.

Mwisho natoa rai kwa media houses nyingine (hasa za Reginald Mengi) kuiga mfano waliounesha NEW HABARI.

Mungu ibariki tasnia adhimu ya habari,
Mungu ibariki TZ.

Maswali yako ni ya muhimu lakini umeyaweka pasipo, sijui unategemea nini au bangi?

Nakushauri mwandikie Bashe Barua na copy ndio uteletee hapa JF kama upo serious na hayo maswali.
 
Back
Top Bottom