Odinga atia mkono UKAWA

propaganda zingine hata hazina mashiko,pia tambua kuna vyama rafiki ,mfano ni chama cha Anc cha Africa kusini,miaka ya nyuma walishawai kuitembelea ccm na kutoa msaada.
pia chama tawala cha china,wote tunafahamu wana share same political ideologies na ccm,though ccm wao wame base sana kunyonya wananchi sio kama wenzao wa china.
sioni tatizo cord kushirikiana na cdm...acheni woga ccm,adui yenu ni wananchi ambao wamesaulika na serikali yao,wala so chadema.
 
Nonesense...!

Kwanza hakuna mjumbe wa Kamati Kuu wa CHADEMA mwenye jina la Fulgence Mapunda

Pili,Wangeweka wazi ni akaunti ipi hizo fedha zililipwa

Achana nao hao. Sasa hivi wanatupoteza kwenye lengo kuu la mgomo wa UKAWA Na maelezo ya 200B za IPTL. ukiona mwizi anapiga gitaa usidhani ana nia ya kukuburudisha bali anakuzuga.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
mbowe hata ashauriwe vp hawez kufanikiwa. IQ yake ni ndogo, u DJ ulikuwa unamfaa sijui kwa nin analazmisha siasa

Wewe mburura kweli,iq ya mtu unaipimaje?Huwezi kamwe kumlinganisha Mbowe na viongozi wa ccm,huwezi hata siku moja,Mbowe ni greda na vi ccm ni vijembe,angalia ujengaji hoja,usiimamizi na uongozi,chama hadi leo ni imara sana chini ya uongozi wake pamoja na propaganda chafu za ccm nyiingi!mtakufa kwa pressure siku moja
 
Maccm yaache yakalie propaganda tu, UKAWA wanasonga mbele, hata mtumie magazeti ya kucha..mbia bado moto ni ule ule, Mnatafuta namna ya kuchonganisha wana UKAWA lakini kabla hawajajiunga walishajua hilo mapema,
 
Kama CHADEMA walimsaidia akagonga mwamba, ni imani ya watanzania kuwa hata huku watagonga mwamba tu.

Hakika maana Magufuli yupo CHADEMA
Letter+addressed+to+Hon.+Magufuli.jpg

 
mkuu, hili siyo la kuchukulia mzaha,kenya wanapuuzia taarifa kama hizi mwishoe zinawagharimu.

Acheni upuuzi vipi mmeona kumtumia msajili wa vyama haitoshi sasa mmeamua kumwingiza Odinga kwenye uchafu wenu.
 
Huu ni upuuzi mtupu! Mwandishi nakaaa mezani anaota ndoto anandika na watu wanafuata kama kondoo?
 
Kwani Odinga nchini kenya alifanya kosa gani?
Kwani yeye ndo alikuwa akiuwa raia wasokuwa na hatia?
Au serikali ya kenya baada yakulazimisha matokeo wanayoyataka wao
au baada ya kumchakachua odinga??
Hata Tz wakiendelea na uchakachuzi wa matokeo wakati wa uchagizi hapatatulia kabsa!!!
Na kama Odinga ndo mwenye makosa mbona hajashtakiwa mpaka sasa???
 
Kiongozi wa Muungano wa vyama vya ODM na WHIPER, CORD ya Kenya, RAILA AMOLO ODINGA anadaiwa kutia mkono katika siasa za Tanzania baada ya kuthibitika kuwa anakisaidia CHADEMA namna ya kudhoofisha serikali ya Rais Jakaya Kikwete na hata kukiangusha CCM kutoka madarakani.

Habari zinasema ni ODINGA ndiye alimshauri Mbowe atumie nafasi ya uandikaji wa Katiba Mpya kushawishi vyama vingine kuungana ndipo wanapoweza kukiangusha CCM na kwamba hata ikishindika basi yanaweza kutokea machafuko kama yalivyotokea Kenya ili usuluhishi ufanyike na watu wagawane madaraka na hapo MBOWE anaweza kuwa Waziri Mkuu kama ilivyokuwa ODINGA.

Inasemekana tayari ODINGA ameshatoa kiasi cha fedha Dola 50,000 za kimarekani kwa kiongozi wa CHADEMA kama hatua ya mwanzo na kwamba ameahidi kutoa CHOPA tatu zitakazotumiwa na viongozi wa UKAWA hasa CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuhamasisha wananchi kukubaliana na matakwa ya CHADEMA ya serikali tatu.

ODINGA anafanya hivyo kulipa fadhila kwa CHADEMA kufuatia chama hicho kukisaidia chama chake cha CORD katika kampeni za uchaguzi wa chama hicho mwaka jana ambapo CHADEMA ilipeleka magari matatu aina ya FUSO na wasanii wakiongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, FULGENCE MAPUNDA.

VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA VYA TANZANIA
habari zaidi zinasema vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania tayari vimemtumia salaam Raila Odinga na kumfahamisha kuwa, mchezo anao ucheza tayari unajulikana na kumshauri kuacha mara moja kuingilia siasa za nchi huru kama Tanzania.

VYAMA VYA CUF NA NCCR-MAGEUZI
Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema vyama vya NCCR-MAGEUZI na CUF vilivyoungana na CHADEMA kuunda UKAWA havijui siri iliyoko ndani bali hupelekwa tu kama bendera inavyofuata upepo

Itakumbukwa kuwa baada ya uchaguzi mkuu nchini KENYA mwaka 2007 nchi hiyo iliingia katika machafuko makubwa ya umwagaji damu na kusababisha vifo vya watu zaidi 1,000 huku wengine makumi na mamia wakiachwa bila makazi hadi pale ilipoitishwa meza ya mazungumzo na kuhitimishwa kwa kugawana madaraka ambapo Raila Odinga alitawazwa kuwa Waziri Mkuu na Mwai Kibaki akiwa Rais.

source: SAUTI HURU

Kumbe ni sauti huru! Wapikaji wa habari! Washamba wa propaganda! alah!
 
Kiongozi wa Muungano wa vyama vya ODM na WHIPER, CORD ya Kenya, RAILA AMOLO ODINGA anadaiwa kutia mkono katika siasa za Tanzania baada ya kuthibitika kuwa anakisaidia CHADEMA namna ya kudhoofisha serikali ya Rais Jakaya Kikwete na hata kukiangusha CCM kutoka madarakani.

Habari zinasema ni ODINGA ndiye alimshauri Mbowe atumie nafasi ya uandikaji wa Katiba Mpya kushawishi vyama vingine kuungana ndipo wanapoweza kukiangusha CCM na kwamba hata ikishindika basi yanaweza kutokea machafuko kama yalivyotokea Kenya ili usuluhishi ufanyike na watu wagawane madaraka na hapo MBOWE anaweza kuwa Waziri Mkuu kama ilivyokuwa ODINGA.

Inasemekana tayari ODINGA ameshatoa kiasi cha fedha Dola 50,000 za kimarekani kwa kiongozi wa CHADEMA kama hatua ya mwanzo na kwamba ameahidi kutoa CHOPA tatu zitakazotumiwa na viongozi wa UKAWA hasa CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuhamasisha wananchi kukubaliana na matakwa ya CHADEMA ya serikali tatu.

ODINGA anafanya hivyo kulipa fadhila kwa CHADEMA kufuatia chama hicho kukisaidia chama chake cha CORD katika kampeni za uchaguzi wa chama hicho mwaka jana ambapo CHADEMA ilipeleka magari matatu aina ya FUSO na wasanii wakiongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, FULGENCE MAPUNDA.

VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA VYA TANZANIA
habari zaidi zinasema vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania tayari vimemtumia salaam Raila Odinga na kumfahamisha kuwa, mchezo anao ucheza tayari unajulikana na kumshauri kuacha mara moja kuingilia siasa za nchi huru kama Tanzania.

VYAMA VYA CUF NA NCCR-MAGEUZI
Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema vyama vya NCCR-MAGEUZI na CUF vilivyoungana na CHADEMA kuunda UKAWA havijui siri iliyoko ndani bali hupelekwa tu kama bendera inavyofuata upepo

Itakumbukwa kuwa baada ya uchaguzi mkuu nchini KENYA mwaka 2007 nchi hiyo iliingia katika machafuko makubwa ya umwagaji damu na kusababisha vifo vya watu zaidi 1,000 huku wengine makumi na mamia wakiachwa bila makazi hadi pale ilipoitishwa meza ya mazungumzo na kuhitimishwa kwa kugawana madaraka ambapo Raila Odinga alitawazwa kuwa Waziri Mkuu na Mwai Kibaki akiwa Rais.

source: SAUTI HURU

umoja wa vichaa ccm naona mko kazini,viongozi wenu wanaongoza nchi kwa propoganda na nyie mnawajibika kila mda mitandaoni mkieneza uzushi mkidhani kuna kundi litashawishika ama kiwaunga mkono,hapa mtabaki nyie kwa nyie mliosaini kufanya kazi isyotumia akili.
 
Mfa maji haishi kutapatapa mnalo mwaka huu na mwakan mpaka kieleweke, magamba lazima yavuke tu
 
Railla hafai anawapiganisha wakenya kila siku halafu yeye anakula bata na familia yake atukome kabisa.
 
vp chama tawala nchini msumbiji FRELIMO kilivyokisaidia chama cha mapinduzi Kwa kukipa magari pia kuarika viongozi Wa vyama mbalimbali nchi jirani katika mikutano yake kama vile KANU cha Kenya ZANU PF cha Zimbabwe nk
 
Mfa maji haishi kutapatapa mnalo mwaka huu na mwakan mpaka kieleweke, magamba lazima yavuke tu

sasa we bavicha unajitambua kweli kwa mawazo yako ukawa ni chombo cha kukukomboa wewe na kumaliza matatizo kweli.
 
Acheni upuuzi vipi mmeona kumtumia msajili wa vyama haitoshi sasa mmeamua kumwingiza Odinga kwenye uchafu wenu.

mmevurugwa mpaka hamjitambui kabisa kweli bila maombi nyie mtaharibikiwa pakubwa sana rudini kule bagamoyo kwa waganga wenu.
 
Chondechonde ukawa msitie maguu dodoma, waachie maccm watunge katiba yao ya kiccm huku wakiendekeza ufisadi wao wa laki 3 kwa siku huko dodoma!
 
Back
Top Bottom