Odinga atia mkono UKAWA

Odinga atia mkono UKAWA

mkuu, hili siyo la kuchukulia mzaha,kenya wanapuuzia taarifa kama hizi mwishoe zinawagharimu.

Kenya sio Tanzania. Odinga ana majanga yake haya mengine watu wanataka kumpachikia.
 
Habari ya kufikilika. Mhandish ametumwa. Nchi zingine angefunguliwa kesi ya uhaini. Ndani ya habari anatumia maneno ya "inasemekana" kisheria hii ni ' hear say' analeta hofu isiyodhibitika. Akamatwe ili adhibitishe uchochezi wake akishindwa afungwe liwe funzo kwa wengine
 
Hata wale viongozi wa CCM walio mfuata Maalim seif walionyesha kukerwa na ushirika wao na Chadema......Hhahahahahahaha wameshikwa pabaya!
 
Back
Top Bottom