Odinga atia mkono UKAWA

Odinga atia mkono UKAWA

Ccm,kwa kumsingizia Odinga maovu, hawajui kuwa pia wanamchafua na waziri wao Magufuri
 
Railla hafai anawapiganisha wakenya kila siku halafu yeye anakula bata na familia yake atukome kabisa.

Mnalo ndugu zetu,kama vipi hamieni cdm,kwani lazima Kuaga mjumbe wa shina?
 
Ni kweli wewe unaipenda nchi yako. Yakitokea machafuko haohao ndiyo wa kulaumu usalama wa taifa. Hata mbuyu ulianza kama mchicha. USA walimdharau mhabarishaji kwamba ni kichaa jengo kuu la kitega uchumi likalipuliwa. Nchi kwanza vyama baadae. Bila nchi hakuna vyama.

Ni kichaa tu anayeweza kuamini matapishi kama aliyoleta uzi huu.
 
GAZETI RAIAMWEMA TOLEO 272 LA TAREHE 12 DECEMBER 2012

Raila Odinga sasa amponza Magufuli

Raila Odinga sasa amponza Magufuli Mwandishi Wetu Toleo la 272 12 Dec 2012 Debe la kampeni ya urais yazua mambo serikalini, CCM UAMUZI wa Waziri wa Ujenzi wa Tanzania, Dk. John Magufuli kuungana na Waziri Mkuu wa Zimbabwe, Morgan Tsavangirai, kumpigia debe mgombea wa urais wa Kenya, Raila Odinga, katika kinyang'anyiro cha urais nchini humo, umezua mijadala ya chini kwa chini ndani ya chama tawala na kwa baadhi ya maofisa waandamizi wa serikali, Raia Mwema, limeelezwa.

Kwa mujibu wa habari zilizoandikwa na baadhi ya vyombo vya habari Kenya na hapa nchini, Desemba 6, mwaka huu, akiwa jijini Nairobi, Waziri Magufuli, aliwaambia Wakenya Raila anayegombea urais kupitia Chama cha Orange Democratic (ODM), anastahili kuwa Rais wa nchi hiyo. Kwa mujibu wa Magufuli, Raila anazo sifa za uongozi kwa ngazi hiyo ya urais.

Alitoa maelezo hayo katika Mkutano Mkuu wa ODM. Ni kutokana na uamuzi huo wa Magufuli kumpigia debe la wazi Odinga licha ya kuwa kwamba yeye ni waziri wa Serikali ya Tanzania ambayo haijatangaza msimamo wake kuhusu mgombea wanayemuunga mkono Kenya, mijadala ya ukosoaji dhidi ya Magufuli imeanza kushika moto ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na maofisa waandamizi serikalini.

Soma zaidi: Raia Mwema - Raila Odinga sasa amponza Magufuli
- See more at: Raia Mwema - Raila Odinga sasa amponza Magufuli


Chadema wamng'ang'ania Waziri Magufuli kuhusu Raila Omolo Odinga : Gazeti Mwananchi Chadema wamng’ang’ania Waziri Magufuli - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Dr. John Pombe Magufuli & Morgan Tsvangirai Wahudhuria Uzinduzi Kampeni za ODM Kenya https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ia-uzinduzi-kampeni-za-odm-kenya-5-print.html
 
hadithi hii za kusadikika hizi! Ila pongezi umejaribu kutunga
 
Kiongozi wa Muungano wa vyama vya ODM na WHIPER, CORD ya Kenya, RAILA AMOLO ODINGA anadaiwa kutia mkono katika siasa za Tanzania baada ya kuthibitika kuwa anakisaidia CHADEMA namna ya kudhoofisha serikali ya Rais Jakaya Kikwete na hata kukiangusha CCM kutoka madarakani.

Habari zinasema ni ODINGA ndiye alimshauri Mbowe atumie nafasi ya uandikaji wa Katiba Mpya kushawishi vyama vingine kuungana ndipo wanapoweza kukiangusha CCM na kwamba hata ikishindika basi yanaweza kutokea machafuko kama yalivyotokea Kenya ili usuluhishi ufanyike na watu wagawane madaraka na hapo MBOWE anaweza kuwa Waziri Mkuu kama ilivyokuwa ODINGA.

Inasemekana tayari ODINGA ameshatoa kiasi cha fedha Dola 50,000 za kimarekani kwa kiongozi wa CHADEMA kama hatua ya mwanzo na kwamba ameahidi kutoa CHOPA tatu zitakazotumiwa na viongozi wa UKAWA hasa CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuhamasisha wananchi kukubaliana na matakwa ya CHADEMA ya serikali tatu.

ODINGA anafanya hivyo kulipa fadhila kwa CHADEMA kufuatia chama hicho kukisaidia chama chake cha CORD katika kampeni za uchaguzi wa chama hicho mwaka jana ambapo CHADEMA ilipeleka magari matatu aina ya FUSO na wasanii wakiongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, FULGENCE MAPUNDA.

VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA VYA TANZANIA
habari zaidi zinasema vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania tayari vimemtumia salaam Raila Odinga na kumfahamisha kuwa, mchezo anao ucheza tayari unajulikana na kumshauri kuacha mara moja kuingilia siasa za nchi huru kama Tanzania.

VYAMA VYA CUF NA NCCR-MAGEUZI
Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema vyama vya NCCR-MAGEUZI na CUF vilivyoungana na CHADEMA kuunda UKAWA havijui siri iliyoko ndani bali hupelekwa tu kama bendera inavyofuata upepo

Itakumbukwa kuwa baada ya uchaguzi mkuu nchini KENYA mwaka 2007 nchi hiyo iliingia katika machafuko makubwa ya umwagaji damu na kusababisha vifo vya watu zaidi 1,000 huku wengine makumi na mamia wakiachwa bila makazi hadi pale ilipoitishwa meza ya mazungumzo na kuhitimishwa kwa kugawana madaraka ambapo Raila Odinga alitawazwa kuwa Waziri Mkuu na Mwai Kibaki akiwa Rais.

source: SAUTI HURU

Kama ni kweli Raila Amechangia kiasi hiko cha fedha kwa minajili ya kumng'oa ibilisi CCM madarakani Mungu ata mbariki sana yeye na uzao wake wote.
CCM ni janga,tushirikiane kuitokomeza na tuwa support wale wote watakao jitokeza kusaidia ibilisi huyu kung'oka,hata kama ni Boko haram, Al-Qaeda, Alshabab, Janjaweed,karubuni sana mtusaidie.
 
Hivi tukio la Mbowe gari lake la KUB kutelekezwa na kukamatwa Mombasa Kenya wakati mwenyewe ameenda Nairobi mbma hadi leo sijapata maana yake?
 
Kwaili linaukweli... ......... Mbowe nimloo wahela sana....mbona huyu jamaa anaweza kuunza hata watoto wake huyu..
 
Hivi tukio la Mbowe gari lake la KUB kutelekezwa na kukamatwa Mombasa Kenya wakati mwenyewe ameenda Nairobi mbma hadi leo sijapata maana yake?

Connect dots.......redbrigade......mbowe.....chadema......raila odinga......odm......milipuko ya mabomu sehem mblmbali tz..........milipuko kenya........... Wote wanashare common interest ya kutaka urais kwa mbinu zozote.
 
Kiongozi wa Muungano wa vyama vya ODM na WHIPER, CORD ya Kenya, RAILA AMOLO ODINGA anadaiwa kutia mkono katika siasa za Tanzania baada ya kuthibitika kuwa anakisaidia CHADEMA namna ya kudhoofisha serikali ya Rais Jakaya Kikwete na hata kukiangusha CCM kutoka madarakani.

Habari zinasema ni ODINGA ndiye alimshauri Mbowe atumie nafasi ya uandikaji wa Katiba Mpya kushawishi vyama vingine kuungana ndipo wanapoweza kukiangusha CCM na kwamba hata ikishindika basi yanaweza kutokea machafuko kama yalivyotokea Kenya ili usuluhishi ufanyike na watu wagawane madaraka na hapo MBOWE anaweza kuwa Waziri Mkuu kama ilivyokuwa ODINGA.

Inasemekana tayari ODINGA ameshatoa kiasi cha fedha Dola 50,000 za kimarekani kwa kiongozi wa CHADEMA kama hatua ya mwanzo na kwamba ameahidi kutoa CHOPA tatu zitakazotumiwa na viongozi wa UKAWA hasa CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuhamasisha wananchi kukubaliana na matakwa ya CHADEMA ya serikali tatu.

ODINGA anafanya hivyo kulipa fadhila kwa CHADEMA kufuatia chama hicho kukisaidia chama chake cha CORD katika kampeni za uchaguzi wa chama hicho mwaka jana ambapo CHADEMA ilipeleka magari matatu aina ya FUSO na wasanii wakiongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, FULGENCE MAPUNDA.

VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA VYA TANZANIA
habari zaidi zinasema vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania tayari vimemtumia salaam Raila Odinga na kumfahamisha kuwa, mchezo anao ucheza tayari unajulikana na kumshauri kuacha mara moja kuingilia siasa za nchi huru kama Tanzania.

VYAMA VYA CUF NA NCCR-MAGEUZI
Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema vyama vya NCCR-MAGEUZI na CUF vilivyoungana na CHADEMA kuunda UKAWA havijui siri iliyoko ndani bali hupelekwa tu kama bendera inavyofuata upepo

Itakumbukwa kuwa baada ya uchaguzi mkuu nchini KENYA mwaka 2007 nchi hiyo iliingia katika machafuko makubwa ya umwagaji damu na kusababisha vifo vya watu zaidi 1,000 huku wengine makumi na mamia wakiachwa bila makazi hadi pale ilipoitishwa meza ya mazungumzo na kuhitimishwa kwa kugawana madaraka ambapo Raila Odinga alitawazwa kuwa Waziri Mkuu na Mwai Kibaki akiwa Rais.

source: SAUTI HURU

Lengo la Habari hii mwandishi alitaka kufikisha salaam na hisia zake katika conclusion yake. Hivi wanapataka wapi confidence ya kujaza watu hofu na chuki dhidi ya mageuzi?
 
Invisible, kama kuna jukwaa la hadithi nafikiri ni vizuri hii ikahamishiwa huko. Hadithi za Shigongo hazitakiwi kuwa na nafasi kwenye jukwaa la siasa!!

Unahangaika tu habari ikowazi na umewekewa na chanzo.tatizo liko wapi?
 
Last edited by a moderator:
Lini umeanza kuwa mganga wa kienyeji? Huu ni uchafu!

Kiongozi wa Muungano wa vyama vya ODM na WHIPER, CORD ya Kenya, RAILA AMOLO ODINGA anadaiwa kutia mkono katika siasa za Tanzania baada ya kuthibitika kuwa anakisaidia CHADEMA namna ya kudhoofisha serikali ya Rais Jakaya Kikwete na hata kukiangusha CCM kutoka madarakani.

Habari zinasema ni ODINGA ndiye alimshauri Mbowe atumie nafasi ya uandikaji wa Katiba Mpya kushawishi vyama vingine kuungana ndipo wanapoweza kukiangusha CCM na kwamba hata ikishindika basi yanaweza kutokea machafuko kama yalivyotokea Kenya ili usuluhishi ufanyike na watu wagawane madaraka na hapo MBOWE anaweza kuwa Waziri Mkuu kama ilivyokuwa ODINGA.

Inasemekana tayari ODINGA ameshatoa kiasi cha fedha Dola 50,000 za kimarekani kwa kiongozi wa CHADEMA kama hatua ya mwanzo na kwamba ameahidi kutoa CHOPA tatu zitakazotumiwa na viongozi wa UKAWA hasa CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuhamasisha wananchi kukubaliana na matakwa ya CHADEMA ya serikali tatu.

ODINGA anafanya hivyo kulipa fadhila kwa CHADEMA kufuatia chama hicho kukisaidia chama chake cha CORD katika kampeni za uchaguzi wa chama hicho mwaka jana ambapo CHADEMA ilipeleka magari matatu aina ya FUSO na wasanii wakiongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, FULGENCE MAPUNDA.

VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA VYA TANZANIA
habari zaidi zinasema vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania tayari vimemtumia salaam Raila Odinga na kumfahamisha kuwa, mchezo anao ucheza tayari unajulikana na kumshauri kuacha mara moja kuingilia siasa za nchi huru kama Tanzania.

VYAMA VYA CUF NA NCCR-MAGEUZI
Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema vyama vya NCCR-MAGEUZI na CUF vilivyoungana na CHADEMA kuunda UKAWA havijui siri iliyoko ndani bali hupelekwa tu kama bendera inavyofuata upepo

Itakumbukwa kuwa baada ya uchaguzi mkuu nchini KENYA mwaka 2007 nchi hiyo iliingia katika machafuko makubwa ya umwagaji damu na kusababisha vifo vya watu zaidi 1,000 huku wengine makumi na mamia wakiachwa bila makazi hadi pale ilipoitishwa meza ya mazungumzo na kuhitimishwa kwa kugawana madaraka ambapo Raila Odinga alitawazwa kuwa Waziri Mkuu na Mwai Kibaki akiwa Rais.

source: SAUTI HURU
 
Uliishia darasa la ngapi? Unashindwa kuandika japo sentensi moja tu ya kiswahili iliyonyoka!!

Kwaili linaukweli... ......... Mbowe nimloo wahela sana....mbona huyu jamaa anaweza kuunza hata watoto wake huyu..
 
Kuna watu au kikundi cha watu kina dhambi sana, yaani kila kukikucha hawaoni raha bila kuzusha uongo dhidi ya wengine. NI DHAMBI KUBWA HII.
Watu kama hawa ndo walioanzisha mambo na kukawa na TENSION kubwa kati ya Tanzania na Rwanda
 
Hatakuwa dj wa kwanza kuwa rais wapo madj kibao ni maraisi. Mambo kama ya madagascar? Papa alikuwa baunsa ikoje hiyo?
 
Back
Top Bottom