johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Hayati Membe aliwahi Kulalamika kuwa Shujaa Magufuli hakuridhia Yeye akagombee nafasi ya juu kule Jumuiya ya Madola na hivyo Tanzania tukapoteza
Hapo Kenya mahasimu Wawili Rais Ruto kinara wa Kenya Kwanza na Raila kinara wa Azimio wameunda Timu ya Kampeni kuhakikisha Odinga anakuwa Mtendaji Mkuu wa Umoja wa Africa
Ndani ya Timu ya Kampeni yumo Obasanjo wa Nigeria
Bongo sijui tunafeli Wapi, ngoja tuone Timu ya naniliu kama Chadema wamo 😀😀
Hapo Kenya mahasimu Wawili Rais Ruto kinara wa Kenya Kwanza na Raila kinara wa Azimio wameunda Timu ya Kampeni kuhakikisha Odinga anakuwa Mtendaji Mkuu wa Umoja wa Africa
Ndani ya Timu ya Kampeni yumo Obasanjo wa Nigeria
Bongo sijui tunafeli Wapi, ngoja tuone Timu ya naniliu kama Chadema wamo 😀😀