Obama kuwasafisha Lowassa na Rostam!

Obama kuwasafisha Lowassa na Rostam!

Symbion is an american company, the resident will be visiting an american entity,
 
Rais wa USA- Kamanda Obama, kutembelea mitambo ya Symbion, ambayo ilitokana na Dowans, ilioleta kashfa ya ufisadi na kupelekea waziri mkuu, wakati huu Lowassa kujiuzulu. Je! Hii ni nguvu ya Lowassa na Rostamu?. Je! Ni kutaka kumsafisha? Je! Hafahamu mitamba anayoendelea ilianzia wapi!? Je! Dowans ilikuwa halali!?
Sita na Membe masalia..LOWASA NI JEMBE MA PRESDENT 2015
 
Kachimbe na vyako, unangoja nini? halafu kajiuzie mwenyewe hayo madini yako.

Nikikusoma nakuona kama mtu uliyekubali kuwa huna thamani yoyote, no wonder umeamua kushabikia chama kilichokufa... sina namna ya kukusaidia maana hata namna ya comment zako ni majanga tu.
 
Rais wa USA- Kamanda Obama, kutembelea mitambo ya Symbion, ambayo ilitokana na Dowans, ilioleta kashfa ya ufisadi na kupelekea waziri mkuu, wakati huu Lowassa kujiuzulu.

Je! Hii ni nguvu ya Lowassa na Rostamu?.
Je! Ni kutaka kumsafisha?
Je! Hafahamu mitamba anayoendelea ilianzia wapi!?
Je! Dowans ilikuwa halali!?

mkuu hapa unaongelea symbion na dowans ,ukukmbuke symbion america wana maslahi lakini hawana maslahi na huyu mtu wako
 
:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:..........THIS THREAD HAS HEEN ZOMBALIZED BIG TIME
 
mkuu hapa unaongelea symbion na dowans ,ukukmbuke symbion america wana maslahi lakini hawana maslahi na huyu mtu wako
So Downs ilikuwa kampuni halali siyo? tume ya Mwakyembe ni wazushi!???

kama ni halali, kwa nini Obama asijui historia ya hiyo mitambo???
 
Hiyo ndio nguvu ya Rostam, oppss AlAdawi. Jee unalo zaidi?

Hata mama Clinton aliitembelea, kama hiyo haitoishi, sasa ni Obama.

Jee, zile fitna za Mzee Mwanakijiji ziko wapi? kwa sasa anaishi kama mkibizi USA na akifanya mchezo anakuja hapa kusota, sijui atakuwa mgeni wa nani? maana hata nyumba hana. Na huko alikuwa kutwa kwenye mitandao na hana alijualo akila keki za kusaidiwa.

Usicheze. Kuna vitu havijaribiwi. Hamjasoma yaliyompata Nyerere kwa Tiny Rowlands aka LONRHO.

Kaeni Kikwete awape darsa la diplomasia. Rais pekee wa Afrika na pengine duniani aliyeweza kuwaleta Marais na watu wote mashuhuri duniani, Tanzania, bila jasho.

Slaa, upo?
Obama alipotembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Symbion.....
Kampuni ya symbion inamilikiwa na serikali ya marekani baada ya kuinunua toka kwa kampuni ya Dowans ambayo nayo ilinunua toka kwa Richmond,
Tunakumbuka kampuni ya Richmond ilituhumiwa na kuundiwa tume na bunge ambayo iliongozwa na mwanasheria makini Dk Harrison Mwakyembe pamo na wajumbe wake Lucas Selilii Habibu Mnyaa Eng Stella Manyanya na ndugu Shelukindo,
ambao walisafiri mpaka marekani kusaka ushaidi na kuja na report yao iliyokuwa na madai lukuki kuwa Richmond chini ya mmiliki wake Mohamed Gile ni kampuni ya mfukoni na ya kifisadi ambayo hata marekani haipo kabsa na adress yao inaonyesha kuwa ni Stationary iliyokuwepo marekani na kusema kuwa waziri mkuu ni mmoja aliyoikingia kifua kampuni hyo akishirikiana na waziri Msabaha pamoja na Katibu mkuu wa nishati na madini Athur Mwakapugi na Nazir Karamagi alieamisha mkataba wa richmond kwenda kwa Dowans,pia kamati hyo iliinyooshea vidole Takuru kwamba iliisafisha Richmond kwamba mkataba huo hakuwa na rushwa na ulienda kwa haki,


Kamati kwenye mapendekezo yake wakataka wote waliousika wachukuliwe hatua kali na iwe fundisho kwa wengine pia walimtaka waziri mkuu apime mwenyewe na kuchukua hatua kwa maslahi ya taifa na kutaka mkataba baina ya Tanesco na Dowans uvunjwe,
Baada ya hatua hiyo Waziri mkuu Edward Lowassa alijiuzuru pamoja na waziri Msabaha na Karamagi na Tanesco ilivunja mkataba wake na Dowans,


Dowans baada ya hapo ilifungua kesi mahakama ya kimataifa na kushinda kesi na hata wanaharakati na Tanesco kukata rufaa mahakama kuu Dowans ilishinda kesi tena na Tanesco kuamuliwa kulipa kiasi cha dola milion 60 na wakati huo huo Dowans ikiwa imeuza tyr mitambo yake kwa wamarekani ambayo bado mpka leo wanaiuzia Tanesco umeme......


Kwenye hili Mwakyembe na Sitta tunataka wawajibike kwa kuwaingiza watanzania kwenye hasara kubwa na kuleta report ya uongo kwa maslahi yao binafsi....
 
Nilikuwa najiuliza: toka ratiba ya mgeni wetu ilipotoka kweli vyombo vya habari havikuweza kufufua swala hili?
 
Tulipinga sana waliokuwa wanashikilia bango hili, kuwa jamani, Al Adawi katowa offer, kabla ya kwenda mahakamani inunuweni, huko mtashindwa, hawakusikia.

Kinara wa kuiponda DOWANS humu JF alikuwa anaejiita Mzee Mwanakijiji, nikamuuliza kiko wapi?

Tukiwaambia humu, usicheze na biashara za Kimataifa, alijaribu Nyerere kucheza na LONRHO ya Tiny Rowlands, akadondokea pua. Hawakutusikia. Nakumbuka hata Zitto Kabwe aliwashauri wainunuwe wakamuona hafai na ni msaliti.

Chadema waliishikia bango kweli hiyo, sasa kamasi jembamba linawatoka puani. Maana kwanza aliitembelea mama Clinton, toka siku hiyo anaejiita Mzee Mwanakijiji akaufyata, sasa kaja kubwa lao, hapo naona ataongelea mvunguni, kwa hili hatutamuona hata kunusa na ufataani wake.
 
narudia tena kusema ni sisi wenye akili ndogo ndo tunafikiri hivi jinsi mtoa mada anavyofikiria kwa ufinyu mdogo. naamini kwa wenye upeo mpana wa fikra suala la lowasa na wenzake na richmond walitakiwa wawe wameshanyongwa siku nyingi na mitambo imetaifishwa na serikali makini tena bure kabisa bila hata thumuni kulipwa kwa dowans
 
Zomba hebu kuwa mtu mzima kidogo acha utoto mitambo kununuliwa na symbion kutoka dowans na kutembelewa na viongozi toka marekani haina maana kamati ya bunge ilikosea si kweli hata kidogo na kuwa lowasa na rostam hawana makosa usiwapotoshe watu jf hata kidogo na hakuna uhusiano.

Hivi ukinunua gari la wizi nduguzo wakakupongeza basi wezi hawakuiba na wezi hawana makosa?

Acha hizo bana.
 
Hiyo ndio nguvu ya Rostam, oppss AlAdawi. Jee unalo zaidi?

Hata mama Clinton aliitembelea, kama hiyo haitoishi, sasa ni Obama.

Jee, zile fitna za Mzee Mwanakijiji ziko wapi? kwa sasa anaishi kama mkibizi USA na akifanya mchezo anakuja hapa kusota, sijui atakuwa mgeni wa nani? maana hata nyumba hana. Na huko alikuwa kutwa kwenye mitandao na hana alijualo akila keki za kusaidiwa.

Usicheze. Kuna vitu havijaribiwi. Hamjasoma yaliyompata Nyerere kwa Tiny Rowlands aka LONRHO.

Kaeni Kikwete awape darsa la diplomasia. Rais pekee wa Afrika na pengine duniani aliyeweza kuwaleta Marais na watu wote mashuhuri duniani, Tanzania, bila jasho.

Slaa, upo?

Umenena, baelezee
 
Hiyo ndio nguvu ya Rostam, oppss AlAdawi. Jee unalo zaidi?

Hata mama Clinton aliitembelea, kama hiyo haitoishi, sasa ni Obama.

Jee, zile fitna za Mzee Mwanakijiji ziko wapi? kwa sasa anaishi kama mkibizi USA na akifanya mchezo anakuja hapa kusota, sijui atakuwa mgeni wa nani? maana hata nyumba hana. Na huko alikuwa kutwa kwenye mitandao na hana alijualo akila keki za kusaidiwa.

Usicheze. Kuna vitu havijaribiwi. Hamjasoma yaliyompata Nyerere kwa Tiny Rowlands aka LONRHO.

Kaeni Kikwete awape darsa la diplomasia. Rais pekee wa Afrika na pengine duniani aliyeweza kuwaleta Marais na watu wote mashuhuri duniani, Tanzania, bila jasho.

Slaa, upo?



Ridhiwani unafurahisha wakati mwingine. We endelea kucheza Ze comedy tu, si kosa lako.
 
Tulipinga sana waliokuwa wanashikilia bango hili, kuwa jamani, Al Adawi katowa offer, kabla ya kwenda mahakamani inunuweni, huko mtashindwa, hawakusikia.

Kinara wa kuiponda DOWANS humu JF alikuwa anaejiita Mzee Mwanakijiji, nikamuuliza kiko wapi?

Tukiwaambia humu, usicheze na biashara za Kimataifa, alijaribu Nyerere kucheza na LONRHO ya Tiny Rowlands, akadondokea pua. Hawakutusikia. Nakumbuka hata Zitto Kabwe aliwashauri wainunuwe wakamuona hafai na ni msaliti.

Chadema waliishikia bango kweli hiyo, sasa kamasi jembamba linawatoka puani. Maana kwanza aliitembelea mama Clinton, toka siku hiyo anaejiita Mzee Mwanakijiji akaufyata, sasa kaja kubwa lao, hapo naona ataongelea mvunguni, kwa hili hatutamuona hata kunusa na ufataani wake.

Wewe una dalili zote za mtu asiye sawa kichwani; Hivi unaweza kuwaambia watu wazima mara ngapi kitu kile kile? Kama hujui msimamo wangu kuhusu Symbion katafute gazeti la Mwanahalisi Toleo la Mei 25, 2011 na usome makala yangu iliyokuwa na kichwa cha habari "Symbion isijiingize tope la Dowans".
 
Tulipinga sana waliokuwa wanashikilia bango hili, kuwa jamani, Al Adawi katowa offer, kabla ya kwenda mahakamani inunuweni, huko mtashindwa, hawakusikia.

Kinara wa kuiponda DOWANS humu JF alikuwa anaejiita Mzee Mwanakijiji, nikamuuliza kiko wapi?

Tukiwaambia humu, usicheze na biashara za Kimataifa, alijaribu Nyerere kucheza na LONRHO ya Tiny Rowlands, akadondokea pua. Hawakutusikia. Nakumbuka hata Zitto Kabwe aliwashauri wainunuwe wakamuona hafai na ni msaliti.

Chadema waliishikia bango kweli hiyo, sasa kamasi jembamba linawatoka puani. Maana kwanza aliitembelea mama Clinton, toka siku hiyo anaejiita Mzee Mwanakijiji akaufyata, sasa kaja kubwa lao, hapo naona ataongelea mvunguni, kwa hili hatutamuona hata kunusa na ufataani wake.
Mzee Mwanakijiji akamatwe na kushtakiwa
 
Last edited by a moderator:
Wewe una dalili zote za mtu asiye sawa kichwani; Hivi unaweza kuwaambia watu wazima mara ngapi kitu kile kile? Kama hujui msimamo wangu kuhusu Symbion katafute gazeti la Mwanahalisi Toleo la Mei 25, 2011 na usome makala yangu iliyokuwa na kichwa cha habari "Symbion isijiingize tope la Dowans".

Hon Mwana kijiji tupia links ya hiyo makala tuisome 2011 mbali sana mkuu
 
Ilikua mitambo chakavu na isiyofaa ,leo kanunua mmarekani hiyo mitambo ghafla inafaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom