zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Wewe una dalili zote za mtu asiye sawa kichwani; Hivi unaweza kuwaambia watu wazima mara ngapi kitu kile kile? Kama hujui msimamo wangu kuhusu Symbion katafute gazeti la Mwanahalisi Toleo la Mei 25, 2011 na usome makala yangu iliyokuwa na kichwa cha habari "Symbion isijiingize tope la Dowans".
Hilo tope ulilokuwa ukilipaka limekuchafua mwenyewe.
Dowans wameshinda kesi ya Kimataifa mliofunguwa wenyewe, fedha wanalipwa, mitambo wameuza na ndiyo inatumika mpaka leo, hawakuwa na dhambi hata chembe kasoro ya zile mlizokuwa mnazibuni watu kama wewe. Mitambo hiyohiyo ikatembelewa na Mama Clinton na jana Kubwa Lao, Rais Barack Hussein Obama.
Kiko wapi? wewe una akili kushinda Obama?