Obama kuwasafisha Lowassa na Rostam!

Obama kuwasafisha Lowassa na Rostam!

Huyo obama hata afanyeje lowasa na rostam hawasafishiki hata wakipelekwa kiwanda cha omo wao ndo wakawa material
 
Marais wengine hawakuwaleta lakini.mikataba yote yakibwege waliingia wao. Ila mikataba ya Jk yote ua wazi na tunaijua. Kumbe Rais asipowaleta wageni hapa ndo mjanja? Huyo ayakua mijinga hataki kuitangaza nchi kwa wawekezaji. Ujio wa obama Dunia nzima wataijua tanzania na lazima watajua tanzania kuna kitu ndo maana kaja. So investors kibao watakuja ambao sio uchwara. Muhimu mikataba iwe wazi na sisi tujue kinachofanyika.
 
Kaeni Kikwete awape darsa la diplomasia. Rais pekee wa Afrika na pengine duniani aliyeweza kuwaleta Marais na watu wote mashuhuri duniani, Tanzania, bila jasho.

Slaa, upo?

Kama Taifa tumenufaika vipi na hizo ziara za Marais waliotutembelea bila Jasho??
 
Hiyo ndio nguvu ya Rostam, oppss AlAdawi. Jee unalo zaidi?

Hata mama Clinton aliitembelea, kama hiyo haitoishi, sasa ni Obama.

Jee, zile fitna za
Mzee Mwanakijiji ziko wapi? kwa sasa anaishi kama mkibizi USA na akifanya mchezo anakuja hapa kusota, sijui atakuwa mgeni wa nani? maana hata nyumba hana. Na huko alikuwa kutwa kwenye mitandao na hana alijualo akila keki za kusaidiw

Usicheze. Kuna vitu havijaribiwi. Hamjasoma yaliyompata Nyerere kwa Tiny Rowlands aka LONRHO.

Kaeni Kikwete awape darsa la diplomasia. Rais pekee wa Afrika na pengine duniani aliyeweza kuwaleta Marais na watu wote mashuhuri duniani, Tanzania, bila jasho.

Slaa, upo?

Hawaletwi na Kikwete wewee, huko kwao wapo wenye sura nzuri kuliko yeye, kinachowaleta ni Gas na Uranium yetu ya chee, watavipata kwa kutupatia vyandarua na vijisenti kidogo tu baas!!
 
Duuh nimeamini bado watu wana fikra duni ila bora mmejiunga humu mtapunguza uvivu wa kufikir kidogo...mwingine hajui chochote ili mradi ameandika tu kisa halipii kodi..eti "mitambo ya symbion ndo iliyokuwa richmond" huyu mtu hawez kuwa timam
 
Hiyo ndio nguvu ya Rostam, oppss AlAdawi. Jee unalo zaidi?

Hata mama Clinton aliitembelea, kama hiyo haitoishi, sasa ni Obama.

Jee, zile fitna za Mzee Mwanakijiji ziko wapi? kwa sasa anaishi kama mkibizi USA na akifanya mchezo anakuja hapa kusota, sijui atakuwa mgeni wa nani? maana hata nyumba hana. Na huko alikuwa kutwa kwenye mitandao na hana alijualo akila keki za kusaidiwa.

Usicheze. Kuna vitu havijaribiwi. Hamjasoma yaliyompata Nyerere kwa Tiny Rowlands aka LONRHO.

Kaeni Kikwete awape darsa la diplomasia. Rais pekee wa Afrika na pengine duniani aliyeweza kuwaleta Marais na watu wote mashuhuri duniani, Tanzania, bila jasho.

Slaa, upo?

we jamaa huna akili... yaani raisi anabadilisha madini na vyandarua wewe unamwona mjanja? umesahau yule twiga wetu aliyepandishwa ndege? umesahau tulivyowahonga wachina gesi yetu ili mtoto wa raisi asiuwawe kwa kukamatwa na madawa ya kulevya china? umesahau deep green na kagoda ambayo bungu liliambiwa lisijadili kwa kuwa ni mambo ya usalama? umesahau richmond ambayo lowassa ameshakiri kuwa walishirikiana na bwana mkubwa? umeshau bwana mkubwa alivyopewa rushwa ya suti na kuwasaliti watanzania juu ya mali zao? USISAHAU HISTORIA BABA/MAMA!
 
....Kikwete awape darsa la diplomasia. Rais pekee wa Afrika na pengine duniani aliyeweza kuwaleta Marais na watu wote mashuhuri duniani....
Na kisha nchi yake ikafaidi nini? Mikataba ya shanga huku yeye akinunuliwa suti?!
 
We nae kituko!!!Eti bila jasho???Soni huna!,Mtu anatupatupa mali kama akina Mangungo wewe unakenua na kupiga vigelegele."kumbuka {shanga na vioo = chandarua na dawa za malaria}.

Kumbuka pia kuwa kulikuwa kuna dhiki ya umeme na mlisha-likoroga na hao kina Al Adawi ndio wakaja ku-rescue.


Hilo la shanga na vioo ni daima. Jee, unanini cha kujivunia ambacho wewe utakibania? Kama ni madini, kachimbe na vidole, kama ni gas kachimbe na kucha, kama ni mafuta kachimbe na sururu.

Mnafikiri zile scholarship mnazopewa za bure? Tazama wangapi wanarudi?> na hao wanaorudi ujuwe hawajafanya la maana, wale wenyee maana hawawachiwi kurudi.

Nyie mnazikimbilia, kama si shanga zile ni nini? huwa mnajiona mmepata tena kuzigombania na kujisifia kwa majirani, oohh mwanangu kapata scholarship, kumbe mmeveshwa shanga bila kujijuwa wala kujitambuwa.

Bado, si kwako, hata kwa wajukuu wa wajukuu wa jukuu zako itakuwa bado.
 
Na kisha nchi yake ikafaidi nini? Mikataba ya shanga huku yeye akinunuliwa suti?!

Ufaidi nini wewe bila kujituma?

Nenda kazione fursa wakati wa Kikwete, hazijawahi kutokea wakati wowote ule. Miradi mikubwa ya kila namna.

Wewe lala ungoje kufaidi, wenzako wanafanya kweli. Huoni basi hata husikii wala kuhisi?
 
Hiyo ndio nguvu ya Rostam, oppss AlAdawi. Jee unalo zaidi?

Hata mama Clinton aliitembelea, kama hiyo haitoishi, sasa ni Obama.

Jee, zile fitna za Mzee Mwanakijiji ziko wapi? kwa sasa anaishi kama mkibizi USA na akifanya mchezo anakuja hapa kusota, sijui atakuwa mgeni wa nani? maana hata nyumba hana. Na huko alikuwa kutwa kwenye mitandao na hana alijualo akila keki za kusaidiwa.

Usicheze. Kuna vitu havijaribiwi. Hamjasoma yaliyompata Nyerere kwa Tiny Rowlands aka LONRHO.

Kaeni Kikwete awape darsa la diplomasia. Rais pekee wa Afrika na pengine duniani aliyeweza kuwaleta Marais na watu wote mashuhuri duniani, Tanzania, bila jasho.

Slaa, upo?

Vyombo vyao(USA) vinaandika anafwata nyayo za wachina. Wewe unaleta UPINDA hapa?

Eti kaalikwa nyoooooooo
 
we jamaa huna akili... yaani raisi anabadilisha madini na vyandarua wewe unamwona mjanja? umesahau yule twiga wetu aliyepandishwa ndege? umesahau tulivyowahonga wachina gesi yetu ili mtoto wa raisi asiuwawe kwa kukamatwa na madawa ya kulevya china? umesahau deep green na kagoda ambayo bungu liliambiwa lisijadili kwa kuwa ni mambo ya usalama? umesahau richmond ambayo lowassa ameshakiri kuwa walishirikiana na bwana mkubwa? umeshau bwana mkubwa alivyopewa rushwa ya suti na kuwasaliti watanzania juu ya mali zao? USISAHAU HISTORIA BABA/MAMA!

Nani aliyekuzuwia wewe kwenda kuchimba madini? uchumi unao unaukalia, wenzako wakifanya kweli wewe unalalamika.

Nenda kaone Watanzania wenzako huko wanavyochimba madini. Wewe kaa ulalamike ungoje kuletewa nyumbani. Kalagabaho.

Tanzania inatowa fursa kwa kila Mtanzania kuweza kuchimba apendacho, nenda nchi zingine uone kama kila mmoja ana fursa hiyo, nenda Botswana tu ukutwe na almasi kama hujatandikwa risasi kisheria, leo Tanzania kachimbe madini yoyote ni ruksa halafu kauze mitaani, peleka nje, ruksa. Hujasikia ya kina Mrema Arusha? huwaoni matajiri wa Kitanzania wa Tanzanite? huwaoni matajiri wa dhahabu?

Wewe lala na ulalame tumu humu JF, yatakufata hayo madini chumbani kwako. Ngoja chandarua.
 
Vyombo vyao(USA) vinaandika anafwata nyayo za wachina. Wewe unaleta UPINDA hapa?

Eti kaalikwa nyoooooooo

Nyie kaeni na kijiba cha roho, mwenzenu ndio anakuja, afate nyayo za Mchina au Mtanzania.

Wachina mpaka njugu wanauza Kariakoo, nyie mnalalamikia umaskini wakati uchumi mnao mnaukalia, wacha tunaoziona fursa tujichotee kabla hamjaamka kwenye usingizi mzito.

Nyie kaeni, tutawagawia vyandarua, mkisha toka kwenye mbege mlale kwa starehe, msiliwe na mbu kesho mje tuwape kazi mkiwa wazima.
 
Duuh nimeamini bado watu wana fikra duni ila bora mmejiunga humu mtapunguza uvivu wa kufikir kidogo...mwingine hajui chochote ili mradi ameandika tu kisa halipii kodi..eti "mitambo ya symbion ndo iliyokuwa richmond" huyu mtu hawez kuwa timam

Richmond hawakuweza kuleta mtambo kwa wakati. Dowans wakanunuwa huo mkataba na kuleta mitambo kwa wakati na mitambo hiyo hiyo ndio ya Symbion kwa sasa na ikatembelewa na mama Clinton, Na ndipo Mzee Mwanakijiji akakaa kimya, hakunyanyua tena kauli wala kumfatilia Al Adawi.

Isitoshe, Dowans wakashinda kesi zote na wameshaanza kulipwa fedha zao kwa kuleta mitambo na kwa kukaa bure na wameshawauzia Symbion kwa fedha nzuri tu, na inachapa kazi mpaka leo na Symbion wanaongezewa mikataba.

Wewe kaa upate darsa hapa, huna ulijuwalo.
 
Last edited by a moderator:
Hawaletwi na Kikwete wewee, huko kwao wapo wenye sura nzuri kuliko yeye, kinachowaleta ni Gas na Uranium yetu ya chee, watavipata kwa kutupatia vyandarua na vijisenti kidogo tu baas!!

Nenda wewe kaichimbe Uranium utengeneze nuclear bomb. Utaanzia wapi na hauna elimu hata ya kutengeneza kufuli, mpaka uletewe.

Jitazame kwanza ulichovaa, kipi cha kwako ulichokitengeneza mwenyewe hapa Tanzania? halafu tazama hiyo simu au laptop unayoitumia kuingilia JF,. Halafu ukitoka nje, Tazama ni kipi cha kwako? Kisha njoo hapa unambie, hiyo Uranium kama hawajaja kuichukuwa wenye uwezo wa kuitumia na kukuwachia wewe mashimo utaichimba kwa kucha? maana hizo kucha ndio unaweza kujivunia kuwa ni zako, hata rangi unayopaka kwenye hizo kucha hujui kuitengeneza halafu unataka kuleta ujuba?
 
Huo ndio upuuzi wooote ulioko kichwani kwako!!!!! Kaaaazi kweli kweli!!!!

Na wako ndio huo? unalalamika naibiwa wakati mali iko nyumbani kwako huioni. Tuwaxheni tunaoiona tufaidike, wewe usiokuwa na upuuzi kichwani mwako tutakupatia vyandarua ulale usingizi mnono. Vikianza kuitoboka kafugie kukuku, wewe tutakuongeza vingine vipya, kiwanda kipo tumewawekea Arusha.
 
Hiyo ndio nguvu ya Rostam, oppss AlAdawi. Jee unalo zaidi?

Hata mama Clinton aliitembelea, kama hiyo haitoishi, sasa ni Obama.

Jee, zile fitna za Mzee Mwanakijiji ziko wapi? kwa sasa anaishi kama mkibizi USA na akifanya mchezo anakuja hapa kusota, sijui atakuwa mgeni wa nani? maana hata nyumba hana. Na huko alikuwa kutwa kwenye mitandao na hana alijualo akila keki za kusaidiwa.

Usicheze. Kuna vitu havijaribiwi. Hamjasoma yaliyompata Nyerere kwa Tiny Rowlands aka LONRHO.

Kaeni Kikwete awape darsa la diplomasia. Rais pekee wa Afrika na pengine duniani aliyeweza kuwaleta Marais na watu wote mashuhuri duniani, Tanzania, bila jasho.

Slaa, upo?
Mzee Mwanakijiji. ni janga la taifa
 
Last edited by a moderator:
Sijui nikuweke kwenye kundi gani la uwezo wa kufikiri... Uwezo wako mdogo sana, au unafanya haya kama mchango wako kwenye Lumumba project. Kama vipi rudi darasani ukasome historia na namna nchi yetu ilivyoingia kwenye ukoloni mkongwe. Baada ya hapo ubongo wako utaweza kufikiri hila za wazungu katika nchi za dunia ya tatu!

Ulitawaliwa na wakoloni kwa shanga na vioo, sasa unatawaliwa na wakoloni kwa pombe na ulevi. Kama unabisha tazama ulovyojaziwa viwanda vya pombe, unaletewa mpaka viroba ili usipate taabu ya kunywa na kuvibeba, pombe rahisi kuliko nchi yoyote duniani. Ukishalewa chukuwa chandarua ulale usingizi mnono.

Kalgabaho.
 
Ulitawaliwa na wakoloni kwa shanga na vioo, sasa unatawaliwa na wakoloni kwa pombe na ulevi. Kama unabisha tazama ulovyojaziwa viwanda vya pombe, unaletewa mpaka viroba ili usipate taabu ya kunywa na kuvibeba, pombe rahisi kuliko nchi yoyote duniani. Ukishalewa chukuwa chandarua ulale usingizi mnono.

Kalgabaho.

Tena mbu huwa wanapenda zaidi
kuwang'ata walevi na ndio maana wakapewa msaada wa vyandarua
Source: Why Do Mosquitoes Bite Some People More Than Others? - mobile wiseGEEK
 
Zomba, mbona unang'ata na kupuliza unaogopa kung'olewa kucha, meno bila ganzi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom