zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Zomba, mbona unang'ata na kupuliza unaogopa kung'olewa kucha, meno bila ganzi?
Hakuna cha kung'ta na kupuliza. kuna watu humu kazi yao kalalamika tu, hawaoni, hawasikii, wamelala usingizi mnono, na tutawaongezea vyandarua.
Hawaioni mi fursa iliyojaa Tanzania, wao kazi kulalamika tu.
Wajinga ndio waliwao.