Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Watanzania tunaitaji mamlaka sasa kukemea na kuamuru nyumba ndogo zote ama wale waanaotembea na wanaume wa watu ama wake za watu damu ya YESU kristo ikawachome na kuwateteketeza..Roho wa MUNGU akawasambaratishe kabisa na kuelekea kuzimu na kuwaacha nyumba za watu ama ndoa za watu zikiwa na furaaha..tunakemea leo hii mchana huu saa tisa kamili mchana yawezekana wewe ni mmoja wapo unayeteseka na nyumba ndoo najua umejitahidi kuacha umeshindwa kataa kiri moyoni naweza kuacha omba mungu akurehemu ku=wa kutoka nje ya ndoa....pepo wachafu wakuhame in jesus name..kama unaendelea na nyumba ndogo MCHANA WA LEO NATANGAZA FUMANIZI LA AJABU MUNGU WEWE USIE SHINDWA UKAMWAIBISHE MTU HUYU WATU WAKISHUHUDIA ANAVYOIBIA NDOA YAKE KWA JINA LA YESU ..WIKI MOJA ISIZIDI SHUSHA ANGUKO LA FUMANIIZ BWANA NA KAA AMESOMA NA KUKURUDIA WEWE MSAMHE BWANA YESU...NAKUTAKIA FAMILIA NJEMA
KAMA WAAMINI KUKIRI NAKUTANGAZIA BARAKA ZA FAMILIA IN JESUS NAME
KAMA WAAMINI KUKIRI NAKUTANGAZIA BARAKA ZA FAMILIA IN JESUS NAME