Nyuma ya pazia Bunge live

Nyuma ya pazia Bunge live

mi nilijua bunge ni chombo kinachojitegemea nimeshangaa sana kuwa kinapangiwa majukumu na serikali.
 
Hivi wale wabunge ambao walikuwa wakiongea maneno ya hovyo na matusi kiasi cha kushindwa hata kuangalia bunge ukiwa na mtu unayemuheshimu,ndiyo michango ambayo watu mnataka kuiona kutoka kwa wabunge wenu kwa kuoneshwa bunge live? Huu uoneshaji bunge live una faida zake na hasara zake.
 
Hivi wale wabunge ambao walikuwa wakiongea maneno ya hovyo na matusi kiasi cha kushindwa hata kuangalia bunge ukiwa na mtu unayemuheshimu,ndiyo michango ambayo watu mnataka kuiona kutoka kwa wabunge wenu kwa kuoneshwa bunge live? Huu uoneshaji bunge live una faida zake na hasara zake.

kwahiyo hoja ni ipi sasa?mnaruka ruka kutafuta sababu hata hamueleweki
 
A
Bunge kuonyeshwa au kutokuonyeshwa live, kunawapunguzia nini Wabunge jukumu lao la kuishauri na kuisimamia Serikali?

Wakae ndani humo humo waisimamie Serikali kwa hoja zenye mashiko sio fitina fitina na uchochezi tu, baadhi Wabunge wanataka kugeuza Bunge kama ukumbi wa kufanya siasa ili kujipatia umaarufu mwepesi mwepesi huku wakionekana live.

Sasa tuone kama Bunge lisiporushwa live watatueleza walikwenda Bungeni kuonekana live, au walikwenda kuwasilisha hoja za msingi juu ya matatizo ya wananchi na kuisimamia Serikali kuhakikisha inawajibika?
Akili za kushikiliwa au mmezaliwa ile sikuku ya wajinga
 
Asiyejuwa maana haambiwi maana.
Unazidi kuwa na akili za kijuha wakati mwingine bora ukajinyamazia ili kuficha ujuha wako!
Au unavizia uwenyekiti wa serekali za mtaa!!?
Unatofauti gani na wale wanao aminishwa mungu baba mwana na ...... Kumbuka ipo siku ya malipo jiweke mbali miongoni mwa watu wanaotetea dhuluma !!!
 
Unazidi kuwa na akili za kijuha wakati mwingine bora ukajinyamazia ili kuficha ujuha wako!
Au unavizia uwenyekiti wa serekali za mtaa!!?
Unatofauti gani na wale wanao aminishwa mungu baba mwana na ...... Kumbuka ipo siku ya malipo jiweke mbali miongoni mwa watu wanaotetea dhuluma !!!

Sasa kufungiwa kuona bunge time za kazi ndiyo umedhulumiwa?

Badala ya kushukuru umesaidiwa uende ukafanye kazi za kukuingizia kipato wewe unalialia.
 
Mimi binafsi sijaamini kama serikali na bunge wanaaweza kufanya upuuzi wa namna hii. Hii ni kitu gani? Wanaogopa nini?
 
Hakuna kususa wala mini tutatumia njia nyingine kuwafikia wananchi
 
kwahiyo hoja ni ipi sasa?mnaruka ruka kutafuta sababu hata hamueleweki
Tatizo hili jambo hujadiliwa kwa mitazamo ya CCM na upinzani,tukubaliane tu kwamba kuna ubaya na uzuri wake wa kuonesha bunge live.
 
Mimi binafsi sijaamini kama serikali na bunge wanaaweza kufanya upuuzi wa namna hii. Hii ni kitu gani? Wanaogopa nini?
Kwanini unafikiri wanaogopa?kwani uoneshaji live bunge kwa miaka yote hiyo ulikuwa unawaathiri nini hadi sasa uhisi wanaogopa?
 
CCM wanawanyima watanzania habari za bunge kwa sababu ya muda wa kufanya kazi. sawa...hapa kazi.ni tu!

katika hili serikali ya CCM na wafuasi wake wanatumia kichwa cha panzi kutoa utetezi. ikiwa mijadala ya bunge ya saa 11 (baada ya kazi) huzuiwa, je inakuwaje kipindi cha maswali na majibu kinachofanyika muda wa kazi (saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana) kirushwe laivu? hoja ya MUDA WA KAZI sio sababu. labda mimi nafikiri kwa kutumia viroba. naomba wale wanaofikiri kwa kutumia vichwa mnipe ufafanuzi hapa.

CC: MwanaDiwani, FaizaFoxy, Ritz, Simiyu Yetu, @lizaboni,MUSSA ALLAN (MSALANI), gsu, T 2015 CCM, mjepo
 
Kinachotakiwa kwa vyombo binafsi vya habari ni kususia kutoa habari za bunge basi...utaona kama hawataombwa msamaha
 
Ile clip ya Wenje kwenye Bunge la Serikali iliyopita kuhusu Mkurugenzi Wilson kabwe nadhani utakuwa umeiona leo.Kwa hayo machache tu inatosha wewe kukubali upinzani ni very strong.


kibaya zaid ana makinda alitaka kuipoteza hoja aibu kubwa sana hii yani mtu yupo ktk ripot za cag mama alitaka kumkingia kifua UKIITWA CCM NI MTU MFU KABISA.
 
Sasa kufungiwa kuona bunge time za kazi ndiyo umedhulumiwa?

Badala ya kushukuru umesaidiwa uende ukafanye kazi za kukuingizia kipato wewe unalialia.


huwezi ukajua na kumpangia muda mtu aliejiajiri kufanya kazi hizo radio na tv zipo masaa 24 ni kwa ajili ya nani? waanze kutangaza saa mbili usiku tutimize hapa kazi tu.
 
Back
Top Bottom