Mara nyingi watu ambao wao kwanza ni chama
na taifa baadae ndo huwa na matatizo ya kiufahamu. Mfano bunge lililopita baadhi ya wabunge walipaza sauti wakisema mikataba ya
gase ni mibovu hivyo isisainiwe; kwa ushabiki wa kichama watu fulani aidha kwa kujua au kufuata mkumbo wa chama, wakasema wapinzani ni waongo na wachochezi.
Haya wakaambiwa tena escrow ni hela za umma chama chetu kikasema hamna siyo za umma na watu washangilia eti wapinzani ni waongo!!
wakaambiwa tena elimu yetu imeharibiwa na big result now! tena wakasema hayo ni mambo ya upinzani tu; waakambiwa tena serikalini kunaufisadi mkubwa unafanyika; wakasema wapinzani ni wakupuuzwa!!
katika yote hayo wabunge wa chama chetu walikuwa "ndiyoooooooooooooo"
Sasa majipu yanatumbuliwa eti nao tena wamegeuka "heeee raisi anafanya kazi nzuri" wakati majipu hayo yamekuwepo mda wote wa miaka tangu uhuru hadi leo lakini mda wote chama chetu na wabunge wake "ndiyoooooooooooo"
Leo wanachama wetu nao eti wanashangilia utumbuaji majipu!! ama kweli ni wafuata upepo misili ya nyumbu,
Ikitokea raisi akasema wote waliotumbuliwa warudi kazini hawana makosa, utawasikia wanachama wetu "ndiyooooooooooooooo"
sasa hapo ndo ujue watanzania hawana ufahamu bali chama chetu kidumu hata kama kitaamua kutuuza ni sawa tu si ndiyo chama chetu jamani utaifa baadaye.
na taifa baadae ndo huwa na matatizo ya kiufahamu. Mfano bunge lililopita baadhi ya wabunge walipaza sauti wakisema mikataba ya
gase ni mibovu hivyo isisainiwe; kwa ushabiki wa kichama watu fulani aidha kwa kujua au kufuata mkumbo wa chama, wakasema wapinzani ni waongo na wachochezi.
Haya wakaambiwa tena escrow ni hela za umma chama chetu kikasema hamna siyo za umma na watu washangilia eti wapinzani ni waongo!!
wakaambiwa tena elimu yetu imeharibiwa na big result now! tena wakasema hayo ni mambo ya upinzani tu; waakambiwa tena serikalini kunaufisadi mkubwa unafanyika; wakasema wapinzani ni wakupuuzwa!!
katika yote hayo wabunge wa chama chetu walikuwa "ndiyoooooooooooooo"
Sasa majipu yanatumbuliwa eti nao tena wamegeuka "heeee raisi anafanya kazi nzuri" wakati majipu hayo yamekuwepo mda wote wa miaka tangu uhuru hadi leo lakini mda wote chama chetu na wabunge wake "ndiyoooooooooooo"
Leo wanachama wetu nao eti wanashangilia utumbuaji majipu!! ama kweli ni wafuata upepo misili ya nyumbu,
Ikitokea raisi akasema wote waliotumbuliwa warudi kazini hawana makosa, utawasikia wanachama wetu "ndiyooooooooooooooo"
sasa hapo ndo ujue watanzania hawana ufahamu bali chama chetu kidumu hata kama kitaamua kutuuza ni sawa tu si ndiyo chama chetu jamani utaifa baadaye.