Nyuma ya pazia Bunge live

Nyuma ya pazia Bunge live

Sasa kufungiwa kuona bunge time za kazi ndiyo umedhulumiwa?

Badala ya kushukuru umesaidiwa uende ukafanye kazi za kukuingizia kipato wewe unalialia.
Vipi Hawa Waandishi Wanaoandamana Na Wakuu Wa Wilaya, Mikoa Na Hata Mawaziri Kufanya Political Show Off Hawaongezi Gharama Kwa Serikali?
double standard
 
Mahitaji na shauku za binadamu hubadilika, leo watanzania wengi wanashauku ya kuona mafisadi wote wanatumbuliwa. Je, shauku hii haitaisha? Ikitokea mafisadi wote wametumbuliwa na kufia gerezani watanzania watakaa kusherekea miaka yote? jibu HAPANA watadai maisha bora. Baada ya maisha bora watadai uhuru! Kuna nchi watu wake walilipiwa hata gharama ya harusi zao na serikali yake lakini walipokosa uhuru kilichotokea wote tunakijua. Mtu yeyote anayefikiri binadamu anahitaji maisha bora bila uhuru atakuwa anakosea!
umeeleza vyema
 
Naona bado wanahaha kuwaridhisha wananchi kukubaliana na mpango wao ovu
 
tunaelekea kubaya,hawa wanaoshangilia wanaona wanawakomoa upinzani bila kujua mwananchi ndiye anayepiganiwa haki zake

haki zip hizo zinazopiganiwa yaani mambo ya hovyohovyo ndo unaona yanamgusa mwananchi ni wapi umesikia posho zikipiganiwa zipunguzwe , juzi tu zimetolewa 6b, msigwa na mbowe wakaanza kubweka , kuwa wanaingiliwa na serikali
 
Shame on me? No, shame on u brother, kwani hakuna namna nyingine ya sisi kujulishwa kilichokuwa kikiendelea Bungeni iwe na Wabunge wetu au hizo Media, badala ya watu kukaa mwanzo mwisho wanaangalia live, nyinyi hamna kazi za kufanya?
Nasubiri viwanda vifufuliwe nikaombe kazi.
 
Nimecheka sana, serikali ya viwanda iko shida
001c749c846dc5b7673735a8be396adc.jpg
tunasubiri viwanda
 
Mimi namshangaa Ngosha anachoogopa ni nii? Kama anasema tumuombee sisi watanzania huku anatuwekea ukungu kwenye mambo yanayotuhusu si muelewi vile!


Fisiem watamuombea aendelee kutetea uozo wao! Huwezi kutuambia sisi tukuombee wakati unayofanya hayaonyeshi nia ya kutaka maombi yetu!! Unatetea uovu na unataka tukuombee!! Hata Mungu atatushangaa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Bunge kuonyeshwa au kutokuonyeshwa live, kunawapunguzia nini Wabunge jukumu lao la kuishauri na kuisimamia Serikali?

Wakae ndani humo humo waisimamie Serikali kwa hoja zenye mashiko sio fitina fitina na uchochezi tu, baadhi Wabunge wanataka kugeuza Bunge kama ukumbi wa kufanya siasa ili kujipatia umaarufu mwepesi mwepesi huku wakionekana live.

Sasa tuone kama Bunge lisiporushwa live watatueleza walikwenda Bungeni kuonekana live, au walikwenda kuwasilisha hoja za msingi juu ya matatizo ya wananchi na kuisimamia Serikali kuhakikisha inawajibika?

Hebu futa kwanza matongotongo ndo uje huku jukwaan mkuu!!


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kanisome tena.

Wenje yupo bungeni?

We sijui unafikiria kwa kutumia nini! Kutokuwa bungeni leo hakufuti alichozungumza alipokuwa bungeni! Nyie watu wafia ccm acheni kujitia ujinga, ina maana kwa kuwa JK hayupo ikulu leo, alichokifanya alipokua ikulu kimeondoka nae au?! The same apply to Wenje! Akili yako yote ipo tumbon mkuu.


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kweli mkuu,wapinzani walioko bungeni wameingia kwa uwezo wao binafsi.Wengi ni wapambanaji hodari,si kama ccm ambako kuna wabunge mpaka unashangaa kapitaje,hawezi hata kujenga hoja ikaeleweka.

Agness Marwa!! Kwa hili naomba Mungu atunusuru, maana TZ ya viwanda ni sawa na kuwaza kwenda anga za mbali kwa mguu, kwa kuwaiga wamarekani ambao wana technologia ya kutosha!!


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Waitara huyu anayeongea na Milard akikutana na Waitara naibu waziri wanaweza kupigana kabisa
 
Back
Top Bottom