unamuwahi kabla hajakuwahi
Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
Hatari sana, kumbe imetokea kweli huku kwetu........ Patrickn umeipata hii??Yes hiii picha ilipigwa na Wana Chadema huko Sumbawanga na nilitumiwa kwa WhatsApp. Hilo dude si mchezo. Jamaa wanasema walipaki gari kwanza wakamsubiri avuke ndio wakaendelea na safari
Wapo kiasi ila huyo kaongeza chumvi....
Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
Sio chatu huyu jamani?
Ngombe 50 mmmh si wanasema nyoka akigonga maramoja nguv kwisha ? Au ndo story za vijiweni?
Kuna aina ya nyoka wanaitwa black mamba hao wana uwezo wa kuua ngombe zaidi ya hao 50 mana yeye akikungonga hangoi meno,ila hawi mkubwa kama huyo wa pichaSio chatu huyu jamani?
Ngombe 50 mmmh si wanasema nyoka akigonga maramoja nguv kwisha ? Au ndo story za vijiweni?
Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
We mrembo, sikujua kuwa wewe ni katiri kiasi hiki; kwani amekukosea nini? hujui kuwa hapo alipo ni makazi yake sahihi? Unajua kharifa " Abu Bakr al Bagdad angeona huo mpasuko kwenye nywele zako angekuhukumu kuuawa kwa kupigwa mawe kama siyo kukatwa shingo kwa jambia kali!!!!!!????, wewe huna trofauti naye.ingetokea gari imkanyage
Kuna aina ya nyoka wanaitwa black mamba hao wana uwezo wa kuua ngombe zaidi ya hao 50 mana yeye akikungonga hangoi meno,ila hawi mkubwa kama huyo wa picha
Kaka rasta ziko aina nyingi na ukubwa tofauti sana, zipo rough road na kwenye lami pia!!!!
Zipi unaongelea???!!
Rasta ni non reactive, huyo nyoka kwa ukubwa huo tahadhari lazima iwepo sio "given" outcome hapo!!!
Hata mkiiva nani atakayewala....!!!