Anasumu Kali na ana hasira kweli. Anaua hadi ng'ombe 50 kwa mpigo. Huyo nyoka sikia na muone kwenye picha kama unavyomuona hapo.
Hata yule mwenye jicho moja pia wamwogopa?
aaa salama aleiku walahi!kweli nafuu ya simba au kiboko...Anasumu Kali na ana hasira kweli. Anaua hadi ng'ombe 50 kwa mpigo. Huyo nyoka sikia na muone kwenye picha kama unavyomuona hapo.
Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
mmmmh!mnawafuga kwa minajili ya matumizi yapi mkuu...Huku kwetu tunawafuga!!!!kuna snake kabisa ya mikitu hii!!!!!!wengine wakubwa mithili ya anaconda
Huku kwetu tunawafuga!!!!kuna snake kabisa ya mikitu hii!!!!!!wengine wakubwa mithili ya anaconda
Huku kwetu tunawafuga!!!!kuna snake kabisa ya mikitu hii!!!!!!wengine wakubwa mithili ya anaconda
Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
Kwao snake parkKwenu wapi mkuu?
Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.
ingetokea gari imkanyage
Mkuu huyo nyoka ni jamii ya chatu au koboko?
yule ana sumu kali kuliko black mamba
anakusababisha tumbo linavimba
Kakosa nini hata akanyagwe na gari?