TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Nyoka ili akudhuru ni lazima muwe mnagombania njia, umchokoze au umkanyage,Simba ni mnyama mtata sana!Koboko huyo!!!! Tunao wengi sana huku kwetu Katavi. Bora ukutane na simba Ila si huyo jamaa.