Nyoka Mkubwa avuka barabara

Nyoka Mkubwa avuka barabara

Anasumu Kali na ana hasira kweli. Anaua hadi ng'ombe 50 kwa mpigo. Huyo nyoka sikia na muone kwenye picha kama unavyomuona hapo.

Sio chatu huyu jamani?
Ngombe 50 mmmh si wanasema nyoka akigonga maramoja nguv kwisha ? Au ndo story za vijiweni?
 
Teh teh tej,inategemea na aina ya gari,kama ni hivi vitz,lazima upate madhara!

Hapo sasa sawa mkuu maana huyu mdudu nasikia ana misuli ina nguvu balaa sasa maumivu ya kukanyagwa na tairi za mbele say una pick up akiwa uvunguni akahamaki inakiwa salama kiasi gani maana asije kunila kwa hasira zaid!!!!
 
Unafanyaje ukiwa na spidi halafu mbele yako unakuta rasta??

Kaka rasta ziko aina nyingi na ukubwa tofauti sana, zipo rough road na kwenye lami pia!!!!
Zipi unaongelea???!!
Rasta ni non reactive, huyo nyoka kwa ukubwa huo tahadhari lazima iwepo sio "given" outcome hapo!!!
 
Back
Top Bottom