Nyoka Mkubwa avuka barabara

Nyoka Mkubwa avuka barabara

Nyoka ili akudhuru ni lazima muwe mnagombania njia, umchokoze au umkanyage,Simba ni mnyama mtata sana!
Ni kweli mkuu nyoka aina ya black mamba(koboko) ni hatari ila hawezi kuwa hatari zaidi ya simba
1:Akikugonga una dakika 20 hadi 30 za kupata matibabu sahihi au unakufa,
2:Akikukomalia anakukimbiza na anakupata sio lazima ajiviringishe sehemu ili akugonge
3:Nyoka wengi akikugonga anaacha meno ila huyo bwana haachi
4:Kiboko yake ni nguchiro,anapiga chenga mpaka nyoka anachoka halafu anamuwahi kichwa
 
Tulishawahi kumkanyaga nyoka wa namna hii kwa gari, nakumbuka uncle ndo alikuwa anendesha tulimpitia tukiwa kama kwenye spidi 80 hivi, gari liliyumba kidogo wakati tunamkanyaga ila tulipogeuka nyuma hatukumuona kumbe alikuwa amenasia chini ya gari GHAFLA kwa spidi ya ajabu ambayo sijawahi kuiona alikigonga kioo cha gari cha dirishani nilipokuwa nimekaa mimi, kioo kilipasuka na yeye kichwa chake kilipasuka palepale...Nashukuru tulikuwa tumefunga vioo maana kama vingekuwa wazi nadhani angenikata kichwa changu kwa ile spidi...usithubutu kumkanyaga na gari umkutapo nyoka wa namna hii.

Duuuh.......
 
We mrembo, sikujua kuwa wewe ni katiri kiasi hiki; kwani amekukosea nini? hujui kuwa hapo alipo ni makazi yake sahihi? Unajua kharifa " Abu Bakr al Bagdad angeona huo mpasuko kwenye nywele zako angekuhukumu kuuawa kwa kupigwa mawe kama siyo kukatwa shingo kwa jambia kali!!!!!!????, wewe huna trofauti naye.

hahaa nyoka ni katili zaidi afu hawana faida
 
mm ningemwona ningezimika nawaogopa sana nyoka na kinyonga hawa viumbe nikiwaona basi mwili mzma nashtuka'
 
koboko hawezi kufikia ukubwa huo,koboko ni mdogo kikomo chake ni kama unene wa mkono ila anasumu kali,akikugonga unakufa ndani ya dak 5,uwa anapenda kuhang juu ya mti anayepita chini ugongwa,kama ni ng'ombe 20 lazima awepe dozi,kumuua huyu nyoka huwa tunachemsha pumba kwenye chungu kikubwa iwe ya moto sana,kisha tunajitwik kichwani tunapita eneo alipo akiona kile chungu anagonga.akigonga anakutana na mchemsho huo na kifo hapo hapo,ni nyoka hatari uwa anagonga chochote hasa anapenda kugonga kichwani.SO HUYO SIO KOBOKO NI CHATU ANAYEMEZA.


Duu ..... hakuna njia mbadala/nyingine ya kuweza kukabiliana nae ? Maana hii ya kujitwika chungu cha moto inahitaji uwe na ujasiri wa ziada.......je akigonga hicho chungu hakipasuki ? nini madhara kwa mbebaji wa hicho chungu ???
 
Tulishawahi kumkanyaga nyoka wa namna hii kwa gari, nakumbuka uncle ndo alikuwa anendesha tulimpitia tukiwa kama kwenye spidi 80 hivi, gari liliyumba kidogo wakati tunamkanyaga ila tulipogeuka nyuma hatukumuona kumbe alikuwa amenasia chini ya gari GHAFLA kwa spidi ya ajabu ambayo sijawahi kuiona alikigonga kioo cha gari cha dirishani nilipokuwa nimekaa mimi, kioo kilipasuka na yeye kichwa chake kilipasuka palepale...Nashukuru tulikuwa tumefunga vioo maana kama vingekuwa wazi nadhani angenikata kichwa changu kwa ile spidi...usithubutu kumkanyaga na gari umkutapo nyoka wa namna hii.

Jf huwa kuna tamthiliya tamu sana.
 
Duu ..... hakuna njia mbadala/nyingine ya kuweza kukabiliana nae ? Maana hii ya kujitwika chungu cha moto inahitaji uwe na ujasiri wa ziada.......je akigonga hicho chungu hakipasuki ? nini madhara kwa mbebaji wa hicho chungu ???
Njia nyingine wanatumia hawa watu wanaokamata nyoka kwa ajili ya masomo na kazi nyingine ,ila unatakiwa uwe mjasiri..Wanatumia kioo kikubwa ,nyoka anagonga kioo akifikiri anakugonga wewe mpaka anachoka.
 
Back
Top Bottom