Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,550
- 21,676
Kama unaendesha Pikipiki au Baiskeli unakutana na nyoka mkubwa kama huyu itabidi usimamae apite ndipo na wewe upite kwa usalama wako.
Sasa si atakufanya kitoweo? Hapo ni Kupiga u-turn na kurudi ulikotoka kwa speed ya Hali ya juu Kuokoa nafsi Tena unahairisha safari kabisa maana huenda anafanya timing ukajua katokomea kumbe yupo around.