Me too...mimi naipenda sana ile "km ni demu sikiliza" na gheto langu
Kati ya Wanafuzi wa MAZENGO sec sasa St.John University walioingia Form One(MwakaMmoja) na ALBERT,Alikuwa Mmoja ya Wanafunzi BRAVE na wenye marks nyingi sana katika ufaulu wa kuingia kidato cha kwanza. He was Genius..Though alikuja kuangukia katika Muziki..bt too was Genius katika Uso wangu.
a.k.a MIMI was HIT Ntayoikumbuka sana Coz tulikuwa tunagombana sana na Bro wangu..Kuhusu Sauti ya Music!!Na week hii Nilikuwa naisikiliza sana..Nakuanza Ku'reminisce zile fights zangu na Bro huku NIkicheka. Sikujua kwamba The Guy was.......Rip Albert.
mkuu iyo ngoma mpaka sasa ninayo katika simu yangu nikiisikiliza mzuka unapanda e bwana ngwea ametoa song nyingi na zitaendelea ku hit r.i.p ngwea
nitumie email yako nikatumia au give your facebook adresskaka fanya kile unacho weza uiweke hapa jamii forum kwa ku i attach io ngoma ni idownload naipenda kinoma nimeitafta sana.
Sidhani kama wengi wanaijua,nyimbo inaitwa Clubin rmx ya Marquiz Houston,Ngwair aliifanya kwa kiswahili ilikuwa poa sana.
Pia album nzima ya aka mimi kwangu bado ni the best album in bongo fleva.
mkuu iyo ngoma mpaka sasa ninayo katika simu yangu nikiisikiliza mzuka unapanda e bwana ngwea ametoa song nyingi na zitaendelea ku hit r.i.p ngwea
kaa mtego wa kula subiri nikutumie ya ngwea clubin ok mkuuyah mkuu pamoja,wanasema vizuri havidumu
dakika moja naipenda sana