Bado nalia na Tanzania yangu
mie nitamkumbuka kwa ngoma yake ya 'Ghetto Langu',,,hii ngoma Ngwea kabla ajaipeleka radio enzi izo nilikuwa mmoja kati ya watu wa kwanza kabisa kuiskiliza sikuamini kama ingekuwa kubwa kama ilivyokuja kumtoa mazima..
na ile remix ya Clubbin aliyofanya kwa D-money inanikumbusha demu wangu wa udogoni haswa pale anapochana verse ya Joe Burden....RIP NGWEA hadi machozi yananitoka kama naiskia ile sauti yako unamaliza track unasema 'e bwana eeh niko around mazee'
mie nitamkumbuka kwa ngoma yake ya 'Ghetto Langu',,,hii ngoma Ngwea kabla ajaipeleka radio enzi izo nilikuwa mmoja kati ya watu wa kwanza kabisa kuiskiliza sikuamini kama ingekuwa kubwa kama ilivyokuja kumtoa mazima..
na ile remix ya Clubbin aliyofanya kwa D-money inanikumbusha demu wangu wa udogoni haswa pale anapochana verse ya Joe Burden....RIP NGWEA hadi machozi yananitoka kama naiskia ile sauti yako unamaliza track unasema 'e bwana eeh niko around mazee'
dah! sijui hata kwanini dada. kila nikiona id yako moyo wangu huwa unapiga kwa nguvu PAAAAA!!
Mkuu umekua gagigoko siku hizi.
umeniwacha njia panda mkuu, gagigoko ndio nini?
mie nitamkumbuka kwa ngoma yake ya 'Ghetto Langu',,,hii ngoma Ngwea kabla ajaipeleka radio enzi izo nilikuwa mmoja kati ya watu wa kwanza kabisa kuiskiliza sikuamini kama ingekuwa kubwa kama ilivyokuja kumtoa mazima..
na ile remix ya Clubbin aliyofanya kwa D-money inanikumbusha demu wangu wa udogoni haswa pale anapochana verse ya Joe Burden....RIP NGWEA hadi machozi yananitoka kama naiskia ile sauti yako unamaliza track unasema 'e bwana eeh niko around mazee'