Nyimbo ipi ya Ngwea itakayokufanya umkumbuke daima???

Nyimbo ipi ya Ngwea itakayokufanya umkumbuke daima???

matumbo

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
7,224
Reaction score
3,960
Mie nitamkumbuka kwa ngoma yake ya 'Ghetto Langu', hii ngoma Ngwea kabla ajaipeleka radio enzi hizo nilikuwa mmoja kati ya watu wa kwanza kabisa kuisikiliza sikuamini kama ingekuwa kubwa kama ilivyokuja kumtoa mazima..

Na ile remix ya Clubbin aliyofanya kwa D-money inanikumbusha demu wangu wa udogoni haswa pale anapochana verse ya Joe Burden....RIP NGWEA hadi machozi yananitoka kama naisikia ile sauti yako unamaliza track unasema 'e bwana eeh niko around mazee'
 
Gheto langu bonge la ngoma, bonge la idea! Pamoja na gheto langu; kuna simu yangu....bonge la ngoma, bonge la idea! RIP Ngwair!

anakwambia yani gheto tu watu wanavyonipa heshima/sijui itakuwa vipi nikinunua na bima/linanukia mapafyum ya kinyamwezi/ ma air flesh utazani gheto la mase..........rip ngwair
 
Album ya Ngwair ya kwanza ndio ilikuwa kali kuliko album nyingi za bongo na iliuza sana ,tatizo wizi wa mapromota jamaa hakupata hela ya maana.Nakumbuka nyimbo kama
  • Dakika Moja
  • She Got A Gwan
  • Sikiliza
  • Ghetto Langu
Dunia tunapita,upumzike kwa amani Albert
 
Mi naikubali aliyoimba na jide.
"Kama ni demu sikiliza"

anakwambia mi mwenyewe naenda club kila wiki/aina maana nnafata tu muziki/ata vijijini asilimia tisini maskini/starehe yake ni pombe na nyinyi/
 
mapenzi gani, nipo juu, mikasi, ghetto langu, nipeni deal, speed 120 aisee ngwear kaacha ngoma kibao ambazo siku zote zitanikubusha uwepo wape
 
anakwambia mi mwenyewe naenda club kila wiki/aina maana nnafata tu muziki/ata vijijini asilimia tisini maskini/starehe yake ni pombe na nyinyi/

jamaa sijui nini kilimharibu, kilikua kichwa cha ukweli.!!
 
She got gwan, weekend na mtoto wa jah kaya! Hizi nyimbo ni nouma! He've gone so soon!
 
Mitungi,plant, mikasi oooh yeah kama ukitaka kuvinjari nasi basi mfuko mwako nawe uwe safi!. Psiii psiii, naita taxi njoo utupeleke mitaa ya kati....!!

She got a gwan & Wife

Pigo kwa East Zuu & Chemba Squad, unga mbaya sana vijana!!
 
Kati ya Wanafuzi wa MAZENGO sec sasa St.John University walioingia Form One(MwakaMmoja) na ALBERT,Alikuwa Mmoja ya Wanafunzi BRAVE na wenye marks nyingi sana katika ufaulu wa kuingia kidato cha kwanza. He was Genius..Though alikuja kuangukia katika Muziki..bt too was Genius katika Uso wangu.

a.k.a MIMI was HIT Ntayoikumbuka sana Coz tulikuwa tunagombana sana na Bro wangu..Kuhusu Sauti ya Music!!Na week hii Nilikuwa naisikiliza sana..Nakuanza Ku'reminisce zile fights zangu na Bro huku NIkicheka. Sikujua kwamba The Guy was.......Rip Albert.
 
Nilibahatika kununua albam ya aka mimi.ikiwa na nyimbo kama.a.k.a mimi. Na mademwangu.mademu wangu mimi nina wazimia nipeni namba zenu ntawapigia sijali zenu tabia bali uzuri wenu tu ndo unaonivutia'🙂s nampenda sana dem wangu wa kizaramo ila tatizo lake kila siku ngomani.nampenda dem wangu wa kihaya wala sito jali wanavyo muita ye malaya.......ila nilipenda ngoma moja

Ya bado nimo ambayo alimshilikisha tid.line kadha.
Nashangaa kwanini watu wengi hawanizimii.
Kama huyu mamaterry siju hanizimii
Kila siku ananiua kwenye magazeti radio sijui anadhani sim sikii
Anauwa jinalangu kwa jamii
Ila nashukuru wabongo wengi hawa sikii
Akafanya mpaka nikakosa dili yeye na hani wake kwa ataili hii
Na kilanikiwavizia wanabana wanatumia zana
Ila kesho nita mtimbia rehema na usipo angalia ujue naludi tena
Kwamakachaa badonimo ila ukinifumbia machotu ujue unajichimbia shimo.R.I.P ALBERT.corusTIDushaniskia kwenye radio bado nimoo nimoo
Usha niona kwenyevideo bado nimoo nimoo
Madawa mengi yanani shindwa mimi badonimoo nimooo.
 
Samahan dada naomba dakika moja ya tu,
natakakuongea nawe,
natamani nikueleze kiasi gani ambvyo mi moyoni napenda kuwa nawe......

Aisee Dakika moja ni bonge la ngoma.pia wimbo wa weekend ni mzuri sana.
 
Mi msela.kitugani unabana-
Usione tumepinda mingongo ukadhani ni vibiongo pengine ni ufupitu wamlango
Hey darkmasta nitembezee chata
Nipe kipaza niubili kama pastor
Au nelly wa xplastaz
Masela tumechoka usishangae ukija gheto kuna kipisi tu cha mkeka nkishakula mambo yangu nauweka
We chalii kapate bia mimi nipate gongo ili wote tuwe stimu hii ndo life ya kibongo....mimsela.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom