Nilibahatika kununua albam ya aka mimi.ikiwa na nyimbo kama.a.k.a mimi. Na mademwangu.mademu wangu mimi nina wazimia nipeni namba zenu ntawapigia sijali zenu tabia bali uzuri wenu tu ndo unaonivutia'🙂s nampenda sana dem wangu wa kizaramo ila tatizo lake kila siku ngomani.nampenda dem wangu wa kihaya wala sito jali wanavyo muita ye malaya.......ila nilipenda ngoma moja
Ya bado nimo ambayo alimshilikisha tid.line kadha.
Nashangaa kwanini watu wengi hawanizimii.
Kama huyu mamaterry siju hanizimii
Kila siku ananiua kwenye magazeti radio sijui anadhani sim sikii
Anauwa jinalangu kwa jamii
Ila nashukuru wabongo wengi hawa sikii
Akafanya mpaka nikakosa dili yeye na hani wake kwa ataili hii
Na kilanikiwavizia wanabana wanatumia zana
Ila kesho nita mtimbia rehema na usipo angalia ujue naludi tena
Kwamakachaa badonimo ila ukinifumbia machotu ujue unajichimbia shimo.R.I.P ALBERT.corusTIDushaniskia kwenye radio bado nimoo nimoo
Usha niona kwenyevideo bado nimoo nimoo
Madawa mengi yanani shindwa mimi badonimoo nimooo.
Ghetto langu ndo ngoma ilinifanya nianze kupenda bongo fleva ukiongezea na she get a gwan.
....................nami naapa kamwe sintomwacha, nina imani atanizalia mapacha, na hata kwa bahati mbaya akiwa tasa, mi najuwa sintaweza kumwacha na yote ni 7bu tu $h£ g@rr@ gw@n
jamaa sijui nini kilimharibu, kilikua kichwa cha ukweli.!!