niliupenda sana huu wimbo,nilikua na-rewind tape hata 10x,unanihuzunisha unansononesha unapoleat we habar zile,unanihuzunisha unapoleta we habari zile,amani moyoni sinaaa,amani moyoni sinaaa,amani moyon aman moyon,watu wote wanajuaaa,sio tu braza chua,east zuu wanajua kama we ndo unanzingua,samahan dada anomba dk yako moja tu,mi nataka kuongea na wewe
me too nlkua naipenda sana hii nymbo nakumbka enzi za o level watu wanaipaform album nzima but this was ma best song!!!