Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Surely will never die, some people can just modify them, so that it may looks like their ideas! This simply confirming the great ideas will never dies!

Obama is slowly proving this!!!!
 
Ni ajabu,Mr.Game Theory, kwamba unaweza kuupinga Ujamaa,now of all times,wakati Federal Reserve,Benki kuu ya Marekani ina bail -outkampuni zilisofilisika. Mpaka Marekani watu wameeiita,USSRA,[kwa utani],United States Socialist Republic of America. Siyo
tu America,this bailing out by the Central Banks is going on all over the world. Huu ni wakati wa kuwaomba msamaha Marx,Lenin,Mao,Castro,Nyerere and all such people.


Kuhusu kumtukuza Mwalimu,kumuona kama Mungu Mtu,sijui una maana gani.These are just empty words,kwa sababu familia ya Nyerere ipo pale Msasani inaishi maisha ya kimaskini.
Kuhusu man,myth and legend,kama wanavyosema mashabiki wa John F. Kennedy,kwamba Kennedy was great,and that was what caused the myth and the legend,not the other way round.
Hakuna mtu anamsifu Mwalimu too much,we haven't seen that.
Kennedy alisema,
To my fellow Americans I say,ask not what America can do for you,but ask what you can do for your country. Haya mambo Kennedy alisema katika inaugration speech.
In the next sentence of that same speech,he said,
To the citizens of the world I say.
If we Americans set a high standard for you to emulate,we ask that you request us to t behave according to those same high standards that we set on you.
Na haya ndiyo yalikuwa maisha ya Mwalimu. It is not for nothing that he is being praised.
 
Mkandara,

Nimesoma kwa makini yote uliyoandika kuhusu swala hili la Mwalimu, udini na ukabila.

Na nimelifikiria sana jambo hili. Tumaini langu ni kwamba utapata nafasi ya kuliongoza taifa letu kama raisi, makamu wa raisi au waziri mkuu.

Labda huko katika siasa, lakini ukiwa katika siasa - na hata kama hutaki kuwa mwana siasa - ombi langu kwa Mungu ni kwamba upate au upewe nafasi ya kungoza Tanzania pamoja na John Mashaka na watu wengine wenye mawazo yenu.

I AM SERIOUS!

Mungu awabariki na awape maisha marefu.



Mswahili,
Sintachoka kukupa DAWA!...na Inshaallah utakuja kubali maneno yangu.

Unasema makala hiyo umeipata toka gazeti la Mwananchi...nani kaandika hizo habari? achana na gazeti namtaka mtu aliyeandika hizo habari na pia nakuomba nipe sababu ya kukamatwa kwake!

Pili, Kisa chote cha Sheikh Kassim nakifahamu sii kwa kusimuliwa. hakuna mtu anayeweza kufahamu zaidi ya mwanae na labda hufahamu ya kuwa Nyerere aliwahi kumtembelea Sheikh Kassim akiwa mahtuti na sii Mwinyi muislaam mwenzie wala masheikh hawa wanaopiga maneno magazetini. Woote waliingia mitini utadhani wale wafuasi wa Yesu akina Yuda. Walionekana baada ya kufa kwake siku ya mazishi na kwa unafiki wao wakajitokeza kwa wingi. Walikuwa wapi alipokuwa kawekwa lumande akiteswa na kwa nini hakuna kati yao aliyesimama kutaka kufahamu ukweli wakati Nyerere akiwa hai...

Mwaka 1993 Nyerere alikuwa kesha mshindwa Mwinyi na Mwinyi alikuwa akisema wazi kuwa yeye ndiye rais na atachukua mkondo mwingine!...Mliyasema haya na kumsifia kwa kusimama kidede. Nyerere kafa kwa mengi, mchungu aliyokuwa nayo kwa hawa jamaa yalikuwa mazito na hakuwa na mtu nyuma yake tena. Ndio maana leo hii viongozi wote wezi tu hakuna anayekubali kufuata nyayo za Nyerere na wote hawa ni wanafiki tu wanaposimama majukwaani na kumsifu.

Hayo ya Kighoma Malima kauawa kwa sababu ya siasa kama alivyouawa Mwaikambo,Kombe na wengineo. Ukiwa against dira mpya ya CCM, kifo ni lazima. Viongozi wa ngazi ya juu kuondoka CCM ni Usaliti ambao hukumu yake ni kifo... Hawajali wewe dini gani ama gender ipi!

Nyerere kama angetaka kuwaua basi Kambona asingerudi, Mtei asingekuwepo hai na watu kama Fundikira wangekwisha long time.

Na sidhani kama unaweza kusema Mwaikambo aliuawa kwa sababu alikuwa mkristu.

Kama Nyerere angekuwa mdini asingewachukua wasomi wote wa chama cha hizbu na kuwatumia bara. Na ni haohao wasomi wenu waislaam wa hizbu waliompa intro (darasa) Nyerere kuhusu UJAMAA (socialism), mfumo ambao ulipingwa na wakristu wengi wasomi. na mbona sioni mkisema kuhusu kuchaguliwa kwa Mwinyi kama rais?... Kighoma kuna wakati kakosa kazi ama wadhifa?... mbona alikuwa juu miaka yote hali anachukiwa na Nyerere!

Na Tusivyokuwa aibu tunafikia kudai kwa takwimu ati waislaam walikuwa asilimia 80 shule za msingi miaka ya Nyerere!... jamani? sijui takwimu hizi mmezipata wapi ikiwa shule za msingi nyingi zilikuwa za wakristu. Sijawahi kuona wala kusikia shule yenye waislaam 80% unless shule hiyo ni ya kiislaam.

Hata hivyo..Je, sio sisi tuliokuwa tukililia uhuru kwa sababu watoto wetu walikuwa wakipelekwa Kenya na Uganda kupata elimu ya msingi?..Wewe na mimi na wengine kibao mswahili tumesoma wapi?...

Kisha basi, mwaka 1983 tulikuwa na shule za sekondari nchini zisizozidi 190, Je, kabla ya Nyerere zilikuwa ngapi ambazo wewe na mimi tungeweza kusoma... Ukweli almost zero!

Tazama basi waliokaa mtihani mwaka huohuo 1983 ni zaidi ya laki moja (150,000) only chini ya 10,000 walipata nafasi ya kwenda mbele!...yaani chini ya asilimia 10. Je, hamuwezi kuona kuwa tatizo hilo lilikuwa la kitaifa isipokuwa mnaliweka kuwa la waislaam pekee..Zaidi ya wanafunzi laki moja na arobaini walikosa nafasi ya kwenda mbele nyie mnatazama hesabu ya waislaam wangapi,ndio UDINI huo tunaouzungumzia.

Mbona hamsemi kuwa kila shule ya primary na sekondary za kiislaam asilimia 90 walikuwa watoto wa Kihindi?...Wahindi ni chini ya asilimia 5 ya waislaam wote nchini!...Hizi ndizo fact na usawa ikiwa unataka kutazama nje tazama kwanza kwako. wahindi na waarabu wamekutenga toka hujapata uhuru leo unataka kumsukumia mweusi mwenzako kwa sabau tu ni mkristu.

Mswahili, mwalimu alipokuwa akienda Bagamoyo alikuwa akimwona mzee mwenyewe marehemu mzee Juma bin Chewa!....Ramia alikuwa referal tu ikiwa ngoma nzito!..

By the way Umesema Maleysia waislaam walikuwa wakibaguliwa zamani... Na nani?
Je,unajua population ya waislaam Maleysia?.. Unajua kama Maleysia ni nchi iliyokuwa ikitawaliwa na Sultan wa kiislaam toka karne ya 12. Unazungumza kitu gani ndugu yangu!
 
Wana JF heshima mbele. Tarehe 14. Oktoba. 2008 tutaadhimisha miaka 9 tangu kufariki Mwalimu Nyerere. Nimekuwa nikitafakari sana zama za utawala wa awamu ya kwanza wa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kwa mtazamo wangu najaribu kukumbuka miongoni mwa maamuzi ninayoaminikwa mtazamo wangu ni magumu mojawapo ni "Kuingiza Tanzania katika Vita ya Kumng'oa nduli Idd Amin Dada wa Uganda aliyeivamia Tanzania" Mwalimu alitangaza vita tarehe 27. Oktoba.1978. Najua kwa nchi kama Tanzania ambayo ni masikini iliyokuwa ikijaribu kujiamsha kutoka katika lindi la matatizo lukuki ya ujinga, maradhi na umasikini kiongozi wake kuwa na ujasiri wa kufanya uamuzi huo kwa kweli kwangu mimi binafsi nachukulia ni changamoto ya aina yake....Wana - JF tujadili kwa yale mnayodhani kuwa pia yalikuwa maamuzi magumu yaliyofanya na Nyerere.

Kwa upande wangu hiyo ilikuwa ni vita ya kidini, na ndio moja ya sababu kubwa ya nyerere kutaka kupewa utakatifu asiokuwa nao, kaa vile ilivyokuwa biafra, ambao wa enzi hizo watakumbuka jinsi nyerere alivyokuwa akiupigia debe upande mmoja tu, upi huo? guess!
 
Ni ajabu,Mr.Game Theory, kwamba unaweza kuupinga Ujamaa,now of all times,wakati Federal Reserve,Benki kuu ya Marekani ina bail -outkampuni zilisofilisika. Mpaka Marekani watu wameeiita,USSRA,[kwa utani],United States Socialist Republic of America. Siyo
tu America,this bailing out by the Central Banks is going on all over the world. Huu ni wakati wa kuwaomba msamaha Marx,Lenin,Mao,Castro,Nyerere and all such people.


Kuhusu kumtukuza Mwalimu,kumuona kama Mungu Mtu,sijui una maana gani.These are just empty words,kwa sababu familia ya Nyerere ipo pale Msasani inaishi maisha ya kimaskini.
Kuhusu man,myth and legend,kama wanavyosema mashabiki wa John F. Kennedy,kwamba Kennedy was great,and that was what caused the myth and the legend,not the other way round.
Hakuna mtu anamsifu Mwalimu too much,we haven't seen that.
Kennedy alisema,
To my fellow Americans I say,ask not what America can do for you,but ask what you can do for your country. Haya mambo Kennedy alisema katika inaugration speech.
In the next sentence of that same speech,he said,
To the citizens of the world I say.
If we Americans set a high standard for you to emulate,we ask that you request us to t behave according to those same high standards that we set on you.
Na haya ndiyo yalikuwa maisha ya Mwalimu. It is not for nothing that he is being praised.

Ujamaa? labda hujaishi wakati wa nyerere na kuona dhiki tuliyokuwa tukiipata wakati huo. Ujamaa, kuwahamisha watu kutoka vijiji vyao vya asili na kuwapeleka kwenye mapori yaliyojaa wanyama, majoka na wadudu wa kila aina na kusababisha watu wengi kufa kwa madhara ya hao, wanyama, majoka na wadudu? huo ndio ujamaa wa nyerere? jee huyajuwi hayo? na mengi maovu yasiyo mfano yaliyokuwa wakati wake, nikianza sasa hivi itanichukuwa muda mrefu sana kuya-list, lakini twende kidogo kidogo...
 
Yaani hii nostalgy with Ujamaa is dangerous, because we are romanticizing a very dark era in Tanzania! Socialism is DEAD! Saying that unbridled capitalism has its problems is one thing but Socialism does not work PERIOD!!!!!
The financial meltdown in the US and advanced economy may be scary and as immediate short term solution in order to avoid collapse that is why the government is bailing out, but this is nowhre near SOCIALISM!
Ujamaa was bad for Tanzania and we are just seeing the tip of the iceberg, all the side effects of it, including the mind set of our leaders who were proteges of Nyerere.
 
Yaani hii nostalgy with Ujamaa is dangerous, because we are romanticizing a very dark era in Tanzania! Socialism is DEAD! Saying that unbridled capitalism has its problems is one thing but Socialism does not work PERIOD!!!!!
The financial meltdown in the US and advanced economy may be scary and as immediate short term solution in order to avoid collapse that is why the government is bailing out, but this is nowhre near SOCIALISM!
Ujamaa was bad for Tanzania and we are just seeing the tip of the iceberg, all the side effects of it, including the mind set of our leaders who were proteges of Nyerere
.

- Mkulu Susuviri, saafi sana maana hapa tupo pamoja sana.
 
Mkandara,
Kama Nyerere angekuwa mdini asingewachukua wasomi wote wa chama cha hizbu na kuwatumia bara. Na ni haohao wasomi wenu waislaam wa hizbu waliompa intro (darasa) Nyerere kuhusu UJAMAA (socialism), mfumo ambao ulipingwa na wakristu wengi wasomi. na mbona sioni mkisema kuhusu kuchaguliwa kwa Mwinyi kama rais?... Kighoma kuna wakati kakosa kazi ama wadhifa?... mbona alikuwa juu miaka yote hali anachukiwa na Nyerere!

Mkandara unawataja hawa wachache walionusurika kifo huoni na kwa kauli yako nyerere kaplay part katika nusura yao,je unajua wangapi waliochinjwa kinyama katika yale mauaji(genocide)kule unguja na Architect wake si alikuwa yeye Nyerere ?

SAHIBA.
 
Sahiba,
Kama Nyerere angekuwa mdini asingewachukua wasomi wote wa chama cha hizbu na kuwatumia bara. Na ni haohao wasomi wenu waislaam wa whizbu aliompa intro (darasa) Nyerere kuhusu UJAMAA (socialism), mfumo ambao ulipingwa na wakristu wengi wasomi. na mbona sioni mkisema kuhusu kuchaguliwa kwa Mwinyi kama rais?... Kighoma kuna wakati kakosa kazi ama wadhifa?... mbona alikuwa juu miaka yote hali anachukiwa na Nyerere!
..
Hao hao wasomi wenu... una maana gani!..Mkuu hata sikuelewi unazungumza kitu gani hapa..kwani ukisoma hapo juu kisha ukasoma hoja inayofuata nashindwa kuelewa unachojaribu kucheza..
Mkandara unawataja hawa wachache walionusurika kifo huoni na kwa kauli yako nyerere kaplay part katika nusura yao,je unajua wangapi waliochinjwa kinyama katika yale mauaji(genocide)kule unguja na Architect wake si alikuwa yeye Nyerere ?
..
 
Sahiba,
..
Hao hao wasomi wenu... una maana gani!..Mkuu hata sikuelewi unazungumza kitu gani hapa..kwani ukisoma hapo juu kisha ukasoma hoja inayofuata nashindwa kuelewa unachojaribu kucheza..
..

hiyo ilikuwa ni post yako mkandara lkn siioni tena I don't know why.
 
Tunaoyafahamu MAZURI mengi ya MWALIMU kwa WATANZANIA na TANZANIA hatuna sababu ya kubishana na baadhi ya watu humu. HISTORIA itatusaidia sana.
 
Namshukuru mwndishi wa makala "Ubaya wa Nyerere" kwa kueleza alichoelewa na kujisikia kuhusu kiongozi huyo ambaye ni baba wa Taifa la Tanzania. Unaweza kujua Mgongo wa mtu bila kujua uso wake, ukamtambua hata akitembea mbali au usiku wa giza totoro. Lakini pia ni vema ukajua uso wake, Huenda uso wa mtu unatambulika zaidi kuliko kisogo cha mtu. Ulicho sema ni kweli, hakuna atakaye kukukatalia kuwa ni mgongo au kisogo cha Nyerere. Lakini usiyosema ndiyo wengine wasemayo kushusu uso wa Nyerere.
Ningependa pia kusikia au kusoma kutoka kwako kuhusu "Mazuri ya Nyerere" kama kweli unatambua uso wake na sio kisogo chake tu!
Ni kweli Nyerere alikuwa binadamu, na sifa zote za kibinadamu nzuri na mbaya. Lakini wema unapozidi ubaya ndipo anapotambulika kuwa ni mtu mwenye utu. Na ubaya unapozidi, mtu huyo anatambulika kwa kukosa utu. Na mtu atakumbukwa kwa yale mema au mabaya aliyoyatendayo na sio yale asiyoyatenda.
Nasubiri kutoka kwako " mazuri ya Nyerere".
Amani Nyoni.
 
In January 1964 Nyerere had to face the most serious crisis of his political career. The Tanganyikan army mutinied, demanding higher pay and the full Africanization of the officer corps. Nyerere was forced into hiding, and stability was regained only when British forces were called in to restore order.
 
kweli Nyerere alikuwa Mdini Maana nimesikia kwenye BBC swahili, kwamba aliomba Fedha kwa Gadaffi ili kujenga Msikiti Butiama.nawasilisha Hoja
 
Mwalimu hakuwa muwazi katika mambo mengi ijapokuwa ameonesha uimara katika uongozi wake
 
kweli Nyerere alikuwa Mdini Maana nimesikia kwenye BBC swahili, kwamba aliomba Fedha kwa Gadaffi ili kujenga Msikiti Butiama.nawasilisha Hoja

Mwalim alikuwa ana cheza mchezo kukidhi mambo yake kufanya hilo ni moja ya mbinu zake kuonesha ulimwengu anajali dini zote lakini kumbe alikuwa ni kama panya anakutafuna huku anakupuliza hata ukimuangalia wakati waislamu wanamchukuwa katika kupigania nchi bila ya kujali uislam wao mwalim alitumia ujanja na kufika kuvaa mavazi ya kislam ili aonekani kuwa yupo pamoja nao na hasa ukiangalia kwa wakati ule waislamu walikuwa na nguvu pale bara na mapenzi kwa kila tu hakukuwa na udini lakini mara tu baada ya mwali kutia madaraka katika makucha yake alianza kuwafyeka mmoja baada ya mwingie kwa kutumia mbinu zake tusijifanye tumesahau Mwali kati ya watu aliwatendea maovu ambayo hata kwa mmungu hatasameheka Alikuwa Bititi Mmungu muweke katika daraja kubwa ndani ya pepo yako alimtesa na kudhalilisha mwisho akampeleka zanzibar kwa karume kuendelea na mateso hakuna asie lijuwa hilo lakini tuekuwa tunaweka pamba masikioni Dua ya mwenye kudhulumiwa hairudi ikiwa muisalma au kristina hilo amelitamka mmmungu ukweli utatoka siku moja na hauko mbali kama ulivyotoka ukweli wa muembe chai maovu ya kambarage yatatoka siku moja kama ilivyotoa roho na kurdi kwa muumba basi maovu yake yatatoka huko yalikojificha na kujulikana na kila kiumbe katika kona ya ulimwengu
 
Mwalim alikuwa ana cheza mchezo kukidhi mambo yake kufanya hilo ni moja ya mbinu zake kuonesha ulimwengu anajali dini zote lakini kumbe alikuwa ni kama panya anakutafuna huku anakupuliza hata ukimuangalia wakati waislamu wanamchukuwa katika kupigania nchi bila ya kujali uislam wao mwalim alitumia ujanja na kufika kuvaa mavazi ya kislam ili aonekani kuwa yupo pamoja nao na hasa ukiangalia kwa wakati ule waislamu walikuwa na nguvu pale bara na mapenzi kwa kila tu hakukuwa na udini lakini mara tu baada ya mwali kutia madaraka katika makucha yake alianza kuwafyeka mmoja baada ya mwingie kwa kutumia mbinu zake tusijifanye tumesahau Mwali kati ya watu aliwatendea maovu ambayo hata kwa mmungu hatasameheka Alikuwa Bititi Mmungu muweke katika daraja kubwa ndani ya pepo yako alimtesa na kudhalilisha mwisho akampeleka zanzibar kwa karume kuendelea na mateso hakuna asie lijuwa hilo lakini tuekuwa tunaweka pamba masikioni Dua ya mwenye kudhulumiwa hairudi ikiwa muisalma au kristina hilo amelitamka mmmungu ukweli utatoka siku moja na hauko mbali kama ulivyotoka ukweli wa muembe chai maovu ya kambarage yatatoka siku moja kama ilivyotoa roho na kurdi kwa muumba basi maovu yake yatatoka huko yalikojificha na kujulikana na kila kiumbe katika kona ya ulimwengu
?????????????????????????????????????????????
 
Sahiba,
Alaa kumbe umechukua ujumbe wangu mwaka mzima uliopita na kuuweka hapa.. ndio maana sikukuelewa..
Sikiliza Sahiba, hata siku moja usitake sana kusikiliza porojo za watu ambao wao wenyewe hawajamkubali Mungu kwa sababu siasa za Afrika ni Unafiki.. Kumsema mtu bila hata kujali kuwa amefikwa na mauti ni unafiki na dhambi kubwa sana kama hukuwahi kuyasema haya wakati wa Uhai wake..Mkuu siku zote mimi nitasema kilicho rohoni mwangu na sintampendelea mtu kwa sababu ni Muislaam au Mkerewe, mshenzi ni mshenzi tu hata akibadili dini bado mshenzi..Ushenzi huisha akimkubali Mungu wake iwe ktk Uislaam au Ukristu!..Tofauti zetu ni hukumu ya mbinguni sio hapa duniani..

Mapinduzi ya Zanzibar hayakufanywa na Nyerere hata kidogo isipokuwa yule mpasua mawe pale Pemba, John Okello ambaye alikuwa akiishi hapo - A Permanent resident chini ya mpango wa chama cha Umma party kina Abdul Rahman Babu..chama ambacho kiliwaunganisha watu wa Hizbu wasiokubalinana na mrengo wa chama hicho na wengine toka Afro Shiraz wasiokubali mrengo wa chama hicho - Kifupi Ukabila..UMMa party kilikuwa chama cha mjumuiko wa rangi zote wenye imani ya kujenga umoja wa Wazanzibar bila kujali asili..Na ajabu hawakupendwa na wananchi, Utawala ama wanasiasa wa Zanzibar..

Mapinduzi haya yalidumu miezi wmiwili tu kabla Nyerere na Baraza la mapinduzi hawaja Hijack serikali hiyo na kumweka Karume..Na katika Muda huo nenda bara uone ni familia ngapi za visiwani zilihamia (kimbilia) bara, tena waislaam, waarabu kwa wahindi na wengine walifika hadi deep countryside na kutia nanga..angekuwa na udini huyu Nyerere si angewatoa mkuku mrudi kwenu huko mlikotoka!..kwa nini mlete usiku bara ambako tayari kisha control..

Sasa naomba unifahamishe hayo mauaji unayozungumzia ni yapi na wakati gani kwani ktk Mapinduzi watu walikufa, alipoingia Karume naye aliodoa wengi wa Hizbu na Umma party..Hivi ni vita vya ndani unaweza kurudi nyuma toka kuwepo kwa vyama vya siasa visiwani tena basi naweza kusema wamekuwa wakiuana kabla hata bara hatujafikiria kutafuta Uhuru wetu, wala huyo Nyerere hajulikani..

Nakuhakikishia kwamba ktk swala la Zanzibar na waislaam, Nyerere kazinusuru roiho nyingi za watu, Yale Mapinduzi kama sio Nyerere sidhani kama ngebakia mtu kwani John Okello hakuwa na jeshi isipokuwa wahuni tu ambao kwa miezi hiyo miwili Unguja waliipata..na kama Wazanzibar wangegundua hilo mapema kabla Nyerere hajaingilia kati na kumwondoa Okello sijui kingefuatia nini na nani angekuwa mbele kati ya AfroShiraz, Hizbu au Umma party! - Hakika Mwenyezi Mungu ndiye mjuzi zaidi.
 
Back
Top Bottom