Nikimkumbuka Nyerere nakumbuka;
Chakula kwa kaya
Usafiri popote wendapo tabu
Barabara mbovu
Nguo, viatu, sabuni, soda kilakitu havipatikani
Kodi ya kicha lazima
Ukifanya biashara unaitwa mlanguzi
Ukija mjini unakamatwa unarudisha Gezaulole
Nguvu kazi
Ukifeli shule uwezitene kujiendeleza
Kila mwaka makampuni yetu wana-bail-out na taxpayer
Justice; nipesa yako-ukiwa toto wa mkubwa you are above the law
Bendera ya CCM ikipandisha lazima usimame
No freedom of expression
upeo wa wa-TZ ulikua mdogo
Majireni wetu wote walikua maadui wetu
Namengine mengi
Kiufupi Nyerere alitawala maiti kama alivyosema J Kinyata, Nyerere afufuke leo hawezi kuwatawala wa tanzania wa leo hata kwa mwaka mmoja.
Chakula kwa kaya
Usafiri popote wendapo tabu
Barabara mbovu
Nguo, viatu, sabuni, soda kilakitu havipatikani
Kodi ya kicha lazima
Ukifanya biashara unaitwa mlanguzi
Ukija mjini unakamatwa unarudisha Gezaulole
Nguvu kazi
Ukifeli shule uwezitene kujiendeleza
Kila mwaka makampuni yetu wana-bail-out na taxpayer
Justice; nipesa yako-ukiwa toto wa mkubwa you are above the law
Bendera ya CCM ikipandisha lazima usimame
No freedom of expression
upeo wa wa-TZ ulikua mdogo
Majireni wetu wote walikua maadui wetu
Namengine mengi
Kiufupi Nyerere alitawala maiti kama alivyosema J Kinyata, Nyerere afufuke leo hawezi kuwatawala wa tanzania wa leo hata kwa mwaka mmoja.