Wazee tukubaliane kuwa hakuna anyeweza ku-control mawazo ya wengine, tunaweza ku-control matusi lakini sio mawazo, sasa ninaomba niwaulize nyinyi mnaolilia mawazo ya wengine yafutwe ambayo sio matusi tofauti yenu na Mahita asiyetaka maandamano against CCM ni nini?
Tofauti yenu na huyu tajiri anayetaka kuifunga hii forum ni nini? Tofauti yenu na viongozi wa serikali yetu tunaowapiga mawe hapa kila siku ni nini? Wote mna mawazo sawa ila ni katika vitengo tofauti, wao serikalini, utajirini na nyinyi kwenye forum, Yes! kubalini kuwa hata mkipewa madaraka yatakuwa ni yale yale tu, hamtaheshimu haki za wananchi kusema yanayowakera, si hapa mnaonyesha udikteta wenu, kama wa akina Kingunge!
Siasa ni siasa, ni mchezo mchafu hata uuseme vipi ukweli unaendelea kuwa pale pale kuwa nyie ni madikteta sasa msishangae huyu tajiri akidaihii forum ifungwe maana hata mngekuwa nyinyi mngedai hivyo hivyo, WANAFIKI wakubwa, hebu niambieni mtu kama tafiti akipewa urais ataiacha hii forum? Kuuulizwa tu kidogo kuhusu RO basi imekuwa chuki tu na hasira na wala watu humu hawajui je angewajua siu atawaua huyo? Sasa akiwa rais au tajiri ingekuwaje? Sasa tunalalamika nini?
Tuache unafiki, kama tunalilia mada kufutwa humu kwa sababu zinasema ukweli kuhusu watu wanaotuhusu, basi tusishangae matajiri wakidai mada zinazo wahusu zifutwe, tabbia ni ile ile u-ARROGANT, Yes, arrogance na ushamba ndani yake, na ulimbukeni wa mtandao, hii ni burudani tu ndugu zangu kuna watu wanapafanya hapa ni mahali pa kugombea ubunge au urais, au mahakama, NO! hii ni bulogu tu ya burudani, ukimaliza kusoma yameisha, waacheni wanachi waandike wanavyotaka as long as hawatukani, uongo na ukweli wananchi hapa sio wajinga wanajua ukweli uko wapi na uongo uko wapi!
Halafu tumegundua kuwa kuna watu wanatumwa hapa kuja kuchafua hii forum, ili watu hapa wakahamie kwenye forum zao huko vichochoroni, wewe mzee tunakujua unayetumia majina mengi kumbe ni mpuuzi mkubwa wewe unafikiri unazo akili sana kuliko watu hapa? Ninakuonya uache ujinga wako tumekushitukia kuwa una bulogu yakko huko porini haina watu, kule una majina mengi na hapa unaingia na majin mengi mpuuzi mkubwa wewe, mimi nilikuwa ninaku-chek tu nikuone utaishia wapi, ulifikiri ukirusha maneno mengi ya Malecela ndio ninatatoka nije huko chooni, nyama mkubwa weee, sitoki ng'o na hatoki mtu hapa na usipoacha ujinga wako nitakusema wazi hapa wewe ni nani na nitatoa ushahidi hapa hapa, acha ujinga wako,
Wanachi waruhusiwe kuandika hapa, matusi hapana lakini mambo yajadiliwe bila huruma hata kama ni nani anajadiliwa, hata u-China Mao siku hizi anajadiliwa jinsi alivyokuwa hapendi kuoga, lijaama hukaa hata wiki mbili hlijaoga, sasa hiyo inampunguzia nini uwezo wake kikazi, kama huamini tafuta kitabu kilichoandikwa na daktari wake,
Wacheni burudani hii iendelee jamani! Ndio mimi ni Es the man ninasema watu waweke ukweli let the chips fall where they may, lakini hatutaki akili ya uniform hapa!