Nyerere alisingiziwa mengi sana

Nyerere alisingiziwa mengi sana

Watu wakihamua kupmpenda mtu watampenda tu hata iweje, Nyerere atependwa tu, Mohammad mwenyewe pamoja na kuhubiri chuki, visasi, kuhubiri watu wanaomfuata yeye wapendane wao kwa wao. Pamoja kwamba matunda ya mahubiri yake ni Al shaabab, Boko haram, Suicide Bombers nk, lakini Mohammad ataendelea kuwa influential person hadi mwisho wa dunia
 
Mtu binafsi ukichukua kwa nguvu nyumba ya jirani yako tunaita dhulma au unyanganyi na kiongozi akichukua mali za Raia kwa nguvu sio kutaifisha pia ni wizi ns unyanganyi ... Nyerere alinyanganya raia wa nchii nyumba zao bila fidia huu ni wizi wala mbele ya mungu hata mungu gani hausameheki.
Kuna watu walikua wamekopa bank kujenga nyumba zile nalo wezi hawakujali.
Angali kila kona ya tanzania mwanza . Dar.Tanga .Arusha
Moshi
Morogoro
Mbeya
Iringa
Hakika dhambi kubwa sana sana....na ubaya wake nyumba zile Mkapa akaja kuzigawa kwa watu wengine.
Huu ni wizi na dhulma kubwa ambayo wenye kudhulumiwa hatukumsamehe.
 
Kwa style hii sasa naanza kuona umuhimu wa sheria aliyoisaini rais kikwete. Naomba ianze kufanya kazi haraka.Kuna watu wapo kwa ajili tu ya kutafuta umaarufu.
 
Nishasema siku nikikutana na wewe takuto....za halafu tukiingia ndani naanza kwenda kimgogo mgogo kama Twanga.
 
Haya, ngoja tuone kama jibu lako linakidhi maswali yangu.


"Wanachokipigania"? Umetoka kukataa kuwa Nyerere hakupigania uhuru halafu wakati huo huo unauliza hao watu fulani "wanachokipigania" ni nini? Kwani kuna watu wako vitani wanapigana?



Context please, ukianza kuchaguwa neno moja moja katika paragraph nzima niliyoandika na kuliongea hilo pekee ni kuni "quote out of context" kabisa.

"context" hapo imeenda zaidi ya paragraph moja.

Sitegemei kama uko finyu kiasi hicho.

Isitoshe, still hilo ni swali linalojirudia, soma point namba 1.
 
mimi sijawahi kusoma shuleni wala popote kuhusu historia ya NYERERE katika uhuru...ikaishia tu NYERERE kapigania uhuru, bila kufafanua hiyo kwa amani na pasipo kumwaga damu.....sasa hicho kisingizio kinanitatanisha labda ufafanue zaidi...

Tuwekee nukuu ya hicho kitabu ulichokisoma shuleni.

Na kama itakuwa vigumu kukipata basi nnaomba "google" "Nyerere alipigania Uhuru" utayakuta mengi sana ya kusingiziwa huko.

Ingekuwa ni haki kabisa kumwandika kuwa "kadai Uhuru" kisiasa na amani na hiyo ni sifa kubwa sana kwa muono wangu.

Ili tu, leo isiwe ni msamiati wa kawaida wa vyama vya kisiasa vinavyotupotosha kuwa ni "wapiganiaji" wa ukombozi wa Tanzzania na kufikia mpka kutisha watu (terrorism) kuwa "nchi haitatawalika".

Ukiwauliza watakwambia ni lugha tu, "kupigania" haimaanishi "kupigana". What a BS.
 
Mtu binafsi ukichukua kwa nguvu nyumba ya jirani yako tunaita dhulma au unyanganyi na kiongozi akichukua mali za Raia kwa nguvu sio kutaifisha pia ni wizi ns unyanganyi ... Nyerere alinyanganya raia wa nchii nyumba zao bila fidia huu ni wizi wala mbele ya mungu hata mungu gani hausameheki.
Kuna watu walikua wamekopa bank kujenga nyumba zile nalo wezi hawakujali.
Angali kila kona ya tanzania mwanza . Dar.Tanga .Arusha
Moshi
Morogoro
Mbeya
Iringa
Hakika dhambi kubwa sana sana....na ubaya wake nyumba zile Mkapa akaja kuzigawa kwa watu wengine.
Huu ni wizi na dhulma kubwa ambayo wenye kudhulumiwa hatukumsamehe.

Wewe mzenji tuanajua kwanini unamchukia Nyerere.
Kwa vile umeaminishwa na Mo'Said na mwenzake Ghassany kuwa Nyerere alimsaidia Karume kuchinja waarabu koko wa kule zenji.

Ila ujue kuwa Serikali ya Zanzibar ilitangulia kufanya utaifishaji mwaka 1964-65, wakati huku bara utaifishaji ulifanywa kuanzia 1967.
Pande zote mbili, utaifishaji ulifanywa na serikali na sio na Nyerere au Karume kama watu binafsi.
 
Huyu ndie mwenyekiti wa udini jf mod tufungulieni jukwaa la udini tupandikize mbegu chafu
 
kwa style hii sasa naanza kuona umuhimu wa sheria aliyoisaini rais kikwete. Naomba ianze kufanya kazi haraka.kuna watu wapo kwa ajili tu ya kutafuta umaarufu.

itabidi jf ifungiwe sasa kwa ujinga wa itikadi kali, huyu anatetea hata ugaid yupo huru sana
 
jee unalifahamu jumba la ips ? Lipo kona ya samora na azikiwe linaangali sanamu ya askari pale round about.
Lile jumba lilijengwa na akha khan foundation na wakalifungua pamoja nyerere na agha khan . Sasa sijui ni uchoyo wivu ama wizi lakini nyerere alili taifisha wiki ile ile.
Gazeti la nation likiandika wizi huu uitwao kutaifisha liliandika heading kubwa daylight robbery by nyerere.

majumba mengi na taasisi zilibinafsishwa na serekali je ni jumba gani alijimilikisha nyerere hata taasisi za kikatoliki ameziweka serekalini kwa faida ya mleta mada na enzake
 
Ni dhahiri kuwa FaizaFoxy hana lolote. She is just pretending to have an argument. Kinachoshangaza, people still take FaizaFoxy seriously. I know she can be super annoying but she really doesn't deserve all this attention and respect. She is just a source of distractions and nothing else. It is indeed a wastage of precious time to engage FaizaFoxy in a debate about anything. And this thread is a good example.
 
sasa BoT ilipoungua na hakuna senti moja iliyobakia inawezekana zote ziliungua kwenye moto? au unafikiria nini? Na sidhani kama "hakuna senti moja iliyobakia"... Umejuaje?

Kwa sababu bwana Mtei katika maandiko yake ameelezea jinsi hata picha na dhahabu aliyopewa ilivyounguwa mpaka kugeuka jivu.

The point is, uchunguzi upi uliofanyika? jee na zile strong room pia ziliyeyuka na kuunguza kila kitu.

Kama wewe unajuwa kuwa kuna pesa zilisalimika inabidi uelezee hilo, mimi baada ya kumsoma Mtei kuwa kila kitu kiligeuka jivu, ni dhahiri humo ndani hakuna kilichobaki.

Nimeelezea juu huko labda hukunisoma, ikiwa leo akaunti moja tu ya benki hiyohiyo zimetolewa fedha mtu aliyelipwa fedha zake kwa kutoa huduma uchunguzi unaendelea hadi hii leo, kumbuka huyo huyo anendelea kutowa huduma na analipwa. Leo iweje benki nzima iunguwe na hatujuwi uchunguzi uliofanyika? au wewe unajuwa?
 
Hivi kitabia kati ya Nyerere na Mwamedi nani alikuwa na matendo mema?
 
Wewe naona unajitafutia maradhi sugu.. kwa kujichosha kujenga chuki na kuchochea jamii hadi kujawa na chuki kuu ..inayobeba msururu wa magonjwa. tena usinibishie kuwa hutaugua ukiendelea na huu uhayawani wako.. . tubu jirudi .. uzima sio lelemama. Hakika utaugua na kujuta.

Ungekuwa wewe ndiyo mtia maradhi saa hizi mimi ni taabani lakini bahati mbaya sana kwako, huna uwezo huo.
 
Mkuu naona umepanga hoja zako vizuri, sasa tusaidie please weka nodo kwa kueleza in details unayo yafahamu maanake mpangilio huu si bure, utakuwa umeufanyia utafiti siku nyingi tu - tusaidie FAIZA kututoa matongo tongo machoni - watu wana kiu ya kujua mengi kuhusu Ndugu yetu huyu ambayo yalikuwa yamefungiwa kwenye closet.

Pitia tu hii nyuzi, mengi yatajitokeza.

Unajuwa sababu kubwa ya kuuweka huu uzi ni double standard iliyopo sasa hivi.

Namba 1.

Nyerere hakupigania Uhuru na alidai Uhuru tena akiwa si peke yake, wazee wa Dar walimpokea na akashirikiana nao kwa hali na mali katika kutimiza hilo, wazee wa Dar walifurahi sana kupata kijana msomi aliyesoma hukohuko kwa wazungu kuwa kaja kuwatafuta na kuwanao bega kwa bega, walimheshimi sana Nyerere. Rejea kitabu cha Mohamed Said, The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-68). Utaona jinsi Nyerere alivyoishi na hao watu wa Dar., na mikakati yao iliyofanyika ya kudai Uhuru.

Cha kushangaza hao wazee aliowatafuta mwenyewe Nyerere Dar., na waliompokea na waliokuwa naye bega kwa bega kudai Uhuru, leo wamesahauliwa kabisa katika historia na ili ionekane ni jitihada za Nyerere pekee basi limtungwa neno "kapigania Uhuru" na si "kadai Uhuru".

Leo neno hili linazuwa mapya, sasa kuna chama cha kisiasa kina sera za "wapiganaji", ukiwauliza mnapigania nini? majibu ni "kuikomboa Tanzania". Kuikomboa kutoka kwa nani?

Cha kushangaza zaidi, wale waliopigania kujiweka huru na utawala wa kikoloni na waliomwaga damu zao, rejea vita ya majimaji, vita ya Mkwawa, vita ya Bushiri. Hao wote hawatajwi kupigania na hata majina yao hayajulikani na walipoteza roho zao kwa kutaka wasitawaliwe. Kulikoni?

Tunataka historia iwe ya ukweli na vizazi vijavyo viuelewe ukweli na si historia ya kupindishwa pindishwa.

Ntakuja na maelezo mafupi kwa mengine. Kila tunavyoendelea.

Hizo point nimeziweka makusudi ili watu waje wafunguke. Kuna wachache waliokwenda sshule wameliona hilo na wanafunguka ki aina yao, lakini "majority" wanaacha hoja wananishambulia binafsi, nilitegemea hilo pia lakini nnawaona ni misukule wasiojuwa walinenalo na zinawashika hasira mpaka povu linawatoka na wanasahau kuwa hata Nyereree mwenye alisema, yeye si malaika na yale aliyokosea tuyaache.

Sasa hapa waje na yale ambayo si makosa ya Nyerere tuyashike na yale tunayoona kuwa ni makosa tuyazungumze ili tuyaache tusiyarudie.
 
Hata Idd Amin kasingiziwa mengi sana.
1. Kwamba alikuwa anakula nyama za watu na sikweli.
2. Alikuwa dikteta wala sikweli.
3. Kwamba alikuwa akiona mwanamke akampenda anamchukuwa kumfanya mke wake wala sikweli.

alhaji ustaadh alshaabab Sheikh Idd Amin Dada
 
Back
Top Bottom