Fungua thread tumjadili Kikwete, hapa tunamjadili Mwenye Heri Dr. Julius K. Nyerere
Mkuu Mwalimu hakuhitaji hata kuitwa Dr.!
Unajua mtu anakuitwa kwa jina au hadhi isiyo rasmi ujue huyo ni mpambe mbaya sana katika maisha!
Fungua thread tumjadili Kikwete, hapa tunamjadili Mwenye Heri Dr. Julius K. Nyerere
Ooh, vyema kabisa, kwa hiyo Nyerere hakusingiziwa Udaktari, ni kweli kabisa ni Daktari na umedhihirisa hilo bila ya shaka yoyote. Ukweli kabisa nimeridhika na data ulizoshusha na Nyerere alipewa u Daktari wa heshima na ndiyo maana ni Dr. Nyerere.
Ajabu ni pale watu wanapokejeli u Daktari wa Kikwete. Hauoni kuwa ni "double standard" wakati wote wametunukiwa u Daktari wa heshima?
Upo hapo ulipo?
Awali ya yote heshima hii ya U-Dr kwenye eneo lipi -ili nijitambue kama ni saizi yangu au lah!
Swali la msingi nani kamsingizia?. Huyo anayemsingizia ndiye atakuwa na majibu!
Mkuu hata Mkapa hakutaka kuitwa Dr. Hata Mzee Mugabe kabla ya withdrawer ya PhD zake hakupendelea kuitwa Dr.
Hapo penye red umeharibu maana ya ulichokusudia kukileta. Jaribu kurudia upya
Yooooooooooooooooote haya ya nini?????, Nyerere hatunae tena, alifanya aliyofanya, alitutoa alipotukuta nakutufikisha alipotuacha,
NADHANI HAYA YOTE YANALETWA NA JAMBO MOJA KUBWA TU
'Nyerere hakuwaendekeza waislam walete mambo yao'....,
STUPID,acha nipigwe ban lakini wewe mwanamke ni MPUMBAVU,huna sifa nyingine zaidi ya hiyo
FaizaFoxy hujui wabongo tulivyo? Ukiwa na digrii moja ya Gentleman Pass, ukapata madaraka, Wachina wakikupa PhD ya heshima ya Kichina china LAZIMA ushinikize uitwe Dokta!Kuitwa mtu Dr. Si kuwa yeye anajiita Dr. bali wapambe wanamuita Dr. Hususan akiwa Daktari wa heshima.
Naam,Nyerere alikemea sana Udini kwa hiyo wale waliopenda kulialia na kudai kuonewa kwa kila Jambo walimwona Nyerere kama adui yao Mkuu.Kuna Mzee Mmoja wa Kariakoo naye ni kulialia tu kila siku na kumlaumu Nyererekama huyu Bibi.
Ulishamsikia Nyerere akiitwa dokta hadi amekufa. Cha ajabu mwenzetu mmoja analazimisha kuitwa profesa kwa kuwapa wachina gesi bure
Nyerere was reported as saying that he was a "schoolmaster by choice and a politician by accident"
Hapana sijuwi, tuelezee.
Are you of "that level"?
Mkuu hata Mkapa hakutaka kuitwa Dr. Hata Mzee Mugabe kabla ya withdrawer ya PhD zake hakupendelea kuitwa Dr.
Hapo penye red umeharibu maana ya ulichokusudia kukileta. Jaribu kurudia upya
Unajua mtu anayekuita kwa jina au hadhi isiyo rasmi ujue huyo ni mpambe mbaya sana katika maisha!
faizafoxy japo ni kada mwenzagu Wa ccm inaonekana kina Mohammed said mpo wengi sana kwenye hii nchi na behind the scene kuna agenda mbeba. mtu mzima ndio najua ila akili ya kisichana.
Kabwela kanasa kwenye mtego kirahisi sana.Ooh, vyema kabisa, kwa hiyo Nyerere hakusingiziwa Udaktari, ni kweli kabisa ni Daktari na umedhihirisa hilo bila ya shaka yoyote. Ukweli kabisa nimeridhika na data ulizoshusha na Nyerere alipewa u Daktari wa heshima na ndiyo maana ni Dr. Nyerere.
Ajabu ni pale watu wanapokejeli u Daktari wa Kikwete. Hauoni kuwa ni "double standard" wakati wote wametunukiwa u Daktari wa heshima?
Upo hapo ulipo?