johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,956
Sabato ya leo nimejikuta najikumbusha kizungumkuti cha Uchaguzi Mkuu wa 1995 katika jimbo la Iringa Mjini.
Wagombea wetu walikuwa Ben Mkapa ( CCM) vs Lyatonga Mrema ( NCCR mageuzi) kwa urais.
Mwalimu wa Kemia Mfalamagoha Kibassa ( NCCR mageuzi) vs Kachero mbobezi Dr Hassy Kitine ( CCM) kwa ubunge
Kwenye mkutano wa kampeni wa CCM katika uwanja wa Samora baba wa taifa mwalimu Nyerere alisema " watu wa Iringa nawaombeni sana mumvhague Mkapa kama Rais wa JMT ili nvhi ikapate maendeleo ya kweli kwa watanzania wote na kwa upande wa ubunge ni haki yenu kumchagua mgombea yoyote mnayemuona ana uwezo wa kulisaidia jimbo " mwisho wa kunukuu.
Na matokeo yakawa Mkapa Rais na mkemia Kibassa Mbunge.
Nawatakia sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Wagombea wetu walikuwa Ben Mkapa ( CCM) vs Lyatonga Mrema ( NCCR mageuzi) kwa urais.
Mwalimu wa Kemia Mfalamagoha Kibassa ( NCCR mageuzi) vs Kachero mbobezi Dr Hassy Kitine ( CCM) kwa ubunge
Kwenye mkutano wa kampeni wa CCM katika uwanja wa Samora baba wa taifa mwalimu Nyerere alisema " watu wa Iringa nawaombeni sana mumvhague Mkapa kama Rais wa JMT ili nvhi ikapate maendeleo ya kweli kwa watanzania wote na kwa upande wa ubunge ni haki yenu kumchagua mgombea yoyote mnayemuona ana uwezo wa kulisaidia jimbo " mwisho wa kunukuu.
Na matokeo yakawa Mkapa Rais na mkemia Kibassa Mbunge.
Nawatakia sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!