NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

Mwakaboko you look like having a corrupt mind that's why you keep telling others to receive their package as if you are the one who is paying them. Wahenga wanasema kuwa kimtokacho mtu ndicho kiujazao moyo wake. Sol if every time you keep repeating mshiko you are the one who is receiving that mshiko or rather you are fighting for it. Stop that remain in the topic. Vote YES for Katiba Inayopendekezwa and you will be safe.
mtu yeyote ambaye hana macho ya makengeza anajua, kuwa ninyi mko kwenye special project. I posted previously that it has already passed at the referendum, we do not need your campaign here, you are wasting your precious time. I know, you and your fellows are children of darkness and you think that everything is okay, because you think you have conquered the children of light, but you are not. The cry for people's constitution has started afresh, you can go and collect your package
 
mtu yeyote ambaye hana macho ya makengeza anajua, kuwa ninyi mko kwenye special project. I posted previously that it has already passed at the referendum, we do not need your campaign here, you are wasting your precious time. I know, you and your fellows are children of darkness and you think that everything is okay, because you think you have conquered the children of light, but you are not. The cry for people's constitution has started afresh, you can go and collect your package
Hahahaha jamaa kakuumiza hapo juu kwa maneno yenye ukweli, you always repeat same words of nonsense as you are! You must be sent by Ukawa to spoil the agenda of proposed constitution, sure am telling you that uwe umetumwa uwe ama umepewa hela ya kupinga hoja humu ndani katiba hii will pass with uncountable YES votes, I feel pity of you.
 
Hahahaha jamaa kakuumiza hapo juu kwa maneno yenye ukweli, you always repeat same words of nonsense as you are! You must be sent by Ukawa to spoil the agenda of proposed constitution, sure am telling you that uwe umetumwa uwe ama umepewa hela ya kupinga hoja humu ndani katiba hii will pass with uncountable YES votes, I feel pity of you.
mimi sio yai viza kama wewe
 
mtu yeyote ambaye hana macho ya makengeza anajua, kuwa ninyi mko kwenye special project. I posted previously that it has already passed at the referendum, we do not need your campaign here, you are wasting your precious time. I know, you and your fellows are children of darkness and you think that everything is okay, because you think you have conquered the children of light, but you are not. The cry for people's constitution has started afresh, you can go and collect your package

Asante mwakaboko kwa ujumbe wako ambao kila mara umekuwa ni wimbo wako kuwajulisha wana JF kuwa wewe uko “kwenye special project”. Siku zote binadamu anaasili ya kutoa alichonacho. Kama muda wako tayari, Hongera you can go and collect your package.


Na sii busara na hekima kusema “I know, you and your fellows are children of darkness” unless wewe ni mmoja wa hao. Waache wanaojali nchi yao, kama maana hao wanawajali Watanzania na hatma ya taifa lao.
 
Asante mwakaboko kwa ujumbe wako ambao kila mara umekuwa ni wimbo wako kuwajulisha wana JF kuwa wewe uko “kwenye special project”. Siku zote binadamu anaasili ya kutoa alichonacho. Kama muda wako tayari, Hongera you can go and collect your package. Na sii busara na hekima kusema “I know, you and your fellows are children of darkness” unless wewe ni mmoja wa hao. Waache wanaojali nchi yao, kama maana hao wanawajali Watanzania na hatma ya taifa lao.
ungekuwa kweli unawajali Watanzania usingeshabikia katiba inayoruhusu uchumi wa nchi yako kuhujumiwa na mafisadi, inawezekana kabisa ukawa ni mmoja wapo. Kama kweli unaipenda nchi yako kwanini unaogopa kuweka pesa benki zilizo ndani ya nchi yako. Pesa ambazo sio ya halali ndizo zinakimbizwa nje ya nchi. Ndiyo maana unatumia nguvu nyingi kujitetea na kutetea ujinga wako hapa, kwaheri, nchi yetu imebaki ukiwa.

Jifunzeni basi kwa waliofanikiwa sio waliofeli, rejea kauli za Mwalimu Nyerere (BABA WA TAIFA) wa Tanzania, rejea kauli za LEE wa Singapore na matendo yao, nasi tutoke. Tukiwafuata hao, TANZANIA WILL BE A RICHEST nation IN EAST AFRICA ila vinginevyo tutaendelea kakuwa katika route ya DRC. Vietnam wamepigana vita kubwa kuliko sisi na wanarasilimali kidogo kuliko sisi ila kwa sasa wametupita mbali kweli kimaendeleo, sababu ni uzalendo. Nyie na kundi lenu mko bize kung'oa mataruma ya uzalendo kwa kuruhusu uchumi wa nchi kuhujumiwa na wachache, kisa vipande thelathini, endeleeni, ila fahamu nchi inabaki ukiwa, kwaherini.
 
ungekuwa kweli unawajali Watanzania usingeshabikia katiba inayoruhusu uchumi wa nchi yako kuhujumiwa na mafisadi, inawezekana kabisa ukawa ni mmoja wapo. Kama kweli unaipenda nchi yako kwanini unaogopa kuweka pesa benki zilizo ndani ya nchi yako. Pesa ambazo sio ya halali ndizo zinakimbizwa nje ya nchi. Ndiyo maana unatumia nguvu nyingi kujitetea na kutetea ujinga wako hapa, kwaheri, nchi yetu imebaki ukiwa.

Jifunzeni basi kwa waliofanikiwa sio waliofeli, rejea kauli za Mwalimu Nyerere (BABA WA TAIFA) wa Tanzania, rejea kauli za LEE wa Singapore na matendo yao, nasi tutoke. Tukiwafuata hao, TANZANIA WILL BE A RICHEST nation IN EAST AFRICA ila vinginevyo tutaendelea kakuwa katika route ya DRC. Vietnam wamepigana vita kubwa kuliko sisi na wanarasilimali kidogo kuliko sisi ila kwa sasa wametupita mbali kweli kimaendeleo, sababu ni uzalendo. Nyie na kundi lenu mko bize kung'oa mataruma ya uzalendo kwa kuruhusu uchumi wa nchi kuhujumiwa na wachache, kisa vipande thelathini, endeleeni, ila fahamu nchi inabaki ukiwa, kwaherini.

mwakaboko ngonjera zako hizo si kazi bure, aliyekutuma kwahadaa Watanzania mwambie hatudanganyki na porojo zisizo na msingi. Watnzania tupo imara kuitetea nchi yetu na sii kufuata porojo za wenye kujitahidi kuzipaka rangi kuwahadaa Watanzania. Na nchi yetu haiwezi kubaki ukiwa ila iatendelea kuimarika kwa kuwa na misingi imara iliyojengwa kwa kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha ya Wanzania. Mungu Ibariki Tanzania.
 
Katiba mpyaa iwee na kipengelee kinacho sema. Raisi ahukumiwe kama aja timizaa asilimia kadhaa ya vitu alivo ahidi kwa wananchi
 
Katiba mpyaa iwee na kipengelee kinacho sema. Raisi ahukumiwe kama aja timizaa asilimia kadhaa ya vitu alivo ahidi kwa wananchi
Joseph95... kila rais atafungwa kwa mtazamo wako.. lakini ujue ahadi ni deni ambalo linalipwa kwa utekelezaji ambao unategemea mambo mengi sana na yote hayo yako nje ya uwezo wa Rais...
 
neno kulinda muungano limetumika kutetea na kulinda maslahi ya tabaka tawala mwananchi wa kawaida ataendelea kubakia fukara na maskini huku watawala wakiendelea kunufaika na rasilimali za taifa kupitia mgongo wa wawekezaji tegemeeni kusikia kashfa nyingine kama zile za richmond, epa, kagoda nk

Mkuu unausoma mchezo vizuri haikupita miaka ikatokea TEGETA ESCROW ACCOUNT jamaa wakapiga hela balaa benki 3 MKOMBOZI, STANDARD CHARTERED na UBA. Wadanganyika tukadanganyiwa na MKOMBOZI pale bungeni hela zile kiasi za wachache mapesa hasa ni kwenye benki hizo 2 ambazo mpaka leo wananchi hatujui. Jamaa wanafaidi wanawekeza tu wale raha mpaka mwisho yaani mtoto, mjukuu, kitukuu, kilembwe, kilembwekeza, kining'ina na wengineo wengi watakaofuata baada ya mababu kuwa wanakula udongo huko ardhini.
 
Mkuu unausoma mchezo vizuri haikupita miaka ikatokea TEGETA ESCROW ACCOUNT jamaa wakapiga hela balaa benki 3 MKOMBOZI, STANDARD CHARTERED na UBA. Wadanganyika tukadanganyiwa na MKOMBOZI pale bungeni hela zile kiasi za wachache mapesa hasa ni kwenye benki hizo 2 ambazo mpaka leo wananchi hatujui. Jamaa wanafaidi wanawekeza tu wale raha mpaka mwisho yaani mtoto, mjukuu, kitukuu, kilembwe, kilembwekeza, kining'ina na wengineo wengi watakaofuata baada ya mababu kuwa wanakula udongo huko ardhini.
IMG-20170217-WA0001.jpeg
IMG-20170217-WA0001.jpeg
bh
IMG-20170217-WA0001.jpeg
IMG-20170217-WA0001.jpeg
 
Kama ukiniuliza leo, ni kitu gani kinakwamisha maendeleo ya nchi yetu (Tanzania) basi nitakwambia ni Katiba ya nchi ambayo kiukweli imepitwa na wakati. Tupo karine ya 21 lakini bado tunatumia Katiba ya karne ya 20, ajabu iliyoje hii! Katiba iliyotungwa enzi za utawala wa chama kimoja tunaitumiaje kwenye zama za mfumo wa vyama vingi?

Tunahitaji Katiba ambayo ina wapa mamlaka wananchi siyo katiba inayompa mtu mmoja (Rais) mamlaka. Tunahitaji katiba ambayo itakuwa imeeleza kinaga ubaga juu ya vipaumbele vya taifa siyo kila mtu anayeshika hatamu ndiyo aje na vipaumbele vyake.

Tunahitaji katiba ambayo Rais akimteua Waziri yoyote yule lazima Waziri huyo athibitishwe na Bunge siyo Waziri anateuliwa leo kesho anakwenda kuapa Ikulu! Bunge likijiridhisha kuwa mtu huyo hafai kuwa Waziri, basi hatoapa kushika wadhifa huo hata kama Rais anamwona mtu huyo anafaa kwa kiasi gani!

Tunahitaji katiba ambayo itapunguza matumizi ya serikali kwa kufuta baadhi ya vyeo kama Ukuu wa Mkoa na Ukuu wa Wilaya. Tunahitaji katiba ambayo Mkurugenzi wa Halimashauri, Wilaya na Jiji wawe awe anaomba kazi kwa Halimashauri/Wilaya ama Jiji husika siyo ateuliwe na Rais. DED ndiyo awe Mtendaji Mkuu wa shughuli zote akishirikiana na Mbunge/Wabunge na maafisa walio katika Idara mbalimbali katika eneo hilo!

Tunahitaji Tume huru ya Uchaguzi (Ili tuwe na uchaguzi huru na wa haki) ambayo, Mwenyekiti na Mkurugenzi wake watakuwa ni watu huru, hawa waombe kazi kupitia Bunge, Bunge ndiyo liwathibitishe kwa niaba ya wananchi siyo wateuliwe na mtu mmoja (Rais) ambaye ana masilahi makubwa na chama chake!

Tunahitaji katiba ambayo tutapinga matokeo ya Urais pale tunapoona yana ukakasi. Tunahitaji Katiba ambayo sifa ya mtu kuwa Mbunge ni lazima awe na elimu kwanzia shahada (Digrii) siyo ajue kusoma na kuandika, hizi siyo zama za kujua kusoma na kuandika. Hatupo zama za mawe za kati, tupo kwenye Ulimwenguni wa kidigitali unakua kwa kasi zaidi ya kusoma na kuandika, tunahitaji Mbunge anayeona kwa jicho la tatu siyo maneno maneno tu!

Tunahitaji katiba ambayo Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na viongozi wengine wakuu wakistaafu ama wakiwa bado madarakani washitakiwe ikiwa watakiuka sheria katika kuongoza ama watajihusisha na ufisadi/rushwa ya aina yoyote ile! Tunahitaji katiba inayomtaka kila Kiongozi wa nchi atekeleze vipaumbele vya taifa siyo ILANI ya chama chake, Ilani ya chama siyo kipaumbele chetu!

Tunahitaji katiba inayolipa Bunge nguvu kumwondoa Rais madarakani bila ya yeye kuvunja Bunge ikiwa anakiuka sheria za nchi. Tunahitaji Katiba ambayo Spika/Naibu Spika Bunge anatakiwa kugombea nafasi hiyo yeye mwenyewe siyo kwa kuletewa jina na Kiongozi wa chama chake ama Kiongozi yoyote wa Serikali, pia Katibu wa Bunge awe ni mtu huru (asiye na chama) na aombe kazi kwa Bunge wala asiteuliwe na mtu yoyote yule.

Tunahitaji Katiba ambayo Jaji Mkuu baada ya kuteuliwa na Rais athibitishwe na Bunge, na kama Bunge litamwona Jaji huyo hafai basi Jaji huyo asiape kushika wadhifa huo. Tunahitaji katiba ambayo vyombo vya Ulinzi na usalama havitalinda masilahi ya mtawala yoyote yule bali masilahi ya nchi na wananchi!

Kwa kifupi, tunahitaji Katiba Mpya. Kama taifa tunalotaka kupiga hatua ni lazima tupate katiba mpya ambayo itatoa msingi/dira ya taifa. Tusiwe kama taifa lililo karne ya 17, taifa linalojiendea tu bila kujilikana linakwenda wapi!

#Mwenda ND,
FB_IMG_1564293116283.jpeg
 
Back
Top Bottom