NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

Huwezi kuniita mwongo bila ushahidi. Kama hujui unapaswa kuuliza. Maneno haya aliyatamkwa na viongozi wa juu wa ccm na madia zlitangaza. Kila mtu alisikia kasoro wale hawatiliii manani.

Kama unabisha, wauliza Lukuvi na Wasira, kama hawakuweka sheria ya wanachama wao wote lazima wapigie kura ya ndiyo vinginvyo warudishe kadi.

Tafadhli usijifanye huelewi msimamo wa viongozi wa ccm.

Bado nakuita mwongo tu huna jipya wenzako wanaleta vifungu hapa, wakishindwa wanaleta screen shot au cutting za media ili kuverfy ukweli na zaidi ya yote wanaleta clip za sound sasa wewe unaleta hisia zako hatuzitaki!!!
 
Asante sana Professor, mwalimu wangu wa darasa la kwanza, kwa kugundua kuwa sijui kusoma na kuandika, hata hii post nimemwamba mtu anipostie baada ya kusikia kuwa unaninanga huku JF, baada ya kuwa umepewa hela na mafisadi wenzako ili uitetee katiba waliyopitisha kwa hila, ili kulinda ufisadi wao. Nakupongeza sana kwa hili, asante wewe uliyesoma na ukaninunulia na komputa na simu ukanipa tena ukanifundisha, ukaona sifundishiki hata simu ukaona nashindwa kuitumia. Nakushukuru sana kwa sababu hata kujua na kusoma pia umeona sijui.


Duuu kwa mchango huu hata sioni sababu ya kuendelea kubishana na wewe maana naona kama vile uelewa wako umeshikwa na watu fulani hivi, uko kama robbot ambayo mmiliki wake yuko nchi za ng'ambo ambaye anakua anakuandikia post na sio wewe duu kwa mwendo huu tutafika kweli??? Umefikia hatua hiyo ya kulipa watu wa kukupostia pumba zako kweli Mwakaboko umeadvance!!!!!
 
Asante Profesa kwa kutuhabarisha,msimamo wangu binafsi
wa kuipigia katiba hii kura ya hapana upo palepale,sababu yangu kubwa
ni kuendeleza mfumo wa viongozi kutowajibika kwa wananchi waliowapa madaraka
badala yake wananchi kuendelea kuwa watumwa wa kura zao wenyewe.
Namaanisha kama maadili ya viongozi wa umma,wabunge kuwajibishwa na waliowachagua,madaraka ya rais kupunguzwa hakuna katiba mpya hapo.Kama yataingizwa hayo
hapo tunaweza kusema mambo mengine yatajirekebisha kadri muda unavyokwenda.Kitendo cha watawala
kuondoa mambo hayo hasa maadili ya viongozi wa umma,kwangu kila kitu kwenye katiba kinakuwa kimeharibika.
Tumefika hapa tulipo si kwa sababu katiba haina haki za binadamu,haki ya kuishi,haki za vijana ,wanawake na mengine,
Tumefika hapa kwa sababu katiba hailitambui tena azimio la Arusha.
Ikumbukwe kwamba,Hakuna anayelazimishwa kuwa kiongozi wa umma,atakayeona masharti ya uongozi wa umma yanambana,afanye mengine,kama vile kuajiliwa kwenye makampuni au awe mkulima au mfanyabiashara,
atakayekubali kutumikia wananchi ,awatumikie sio wananchi wamtumikie
Na hili linaweza kufikiwa kwa kuweka maadili ya viongozi kwenye katiba na siyo sheria ndogo ndogo zinazotungwa na wabunge.
 
Last edited by a moderator:
Asante Profesa kwa kutuhabarisha,msimamo wangu binafsi
wa kuipigia katiba hii kura ya hapana upo palepale,sababu yangu kubwa
ni kuendeleza mfumo wa viongozi kutowajibika kwa wananchi waliowapa madaraka
badala yake wananchi kuendelea kuwa watumwa wa kura zao wenyewe.
Namaanisha kama maadili ya viongozi wa umma,wabunge kuwajibishwa na waliowachagua,madaraka ya rais kupunguzwa hakuna katiba mpya hapo.Kama yataingizwa hayo
hapo tunaweza kusema mambo mengine yatajirekebisha kadri muda unavyokwenda.Kitendo cha watawala
kuondoa mambo hayo hasa maadili ya viongozi wa umma,kwangu kila kitu kwenye katiba kinakuwa kimeharibika.
Tumefika hapa tulipo si kwa sababu katiba haina haki za binadamu,haki ya kuishi,haki za vijana ,wanawake na mengine,
Tumefika hapa kwa sababu katiba hailitambui tena azimio la Arusha.
Ikumbukwe kwamba,Hakuna anayelazimishwa kuwa kiongozi wa umma,atakayeona masharti ya uongozi wa umma yanambana,afanye mengine,kama vile kuajiliwa kwenye makampuni au awe mkulima au mfanyabiashara,
atakayekubali kutumikia wananchi ,awatumikie sio wananchi wamtumikie
Na hili linaweza kufikiwa kwa kuweka maadili ya viongozi kwenye katiba na siyo sheria ndogo ndogo zinazotungwa na wabunge.

Mimi natofautiana na wewe msimamo wangu ni kura ya ndiyooo!
 
Wee nae nani kakupa taarifa hiyo ya uongo?afu na wewe unakubali na unatuletea uongo hapa jamani sio vizuri, kula ya mtu ni siri bana kama huna mchango hapa sepa zako!

Kama kura ya mtu ni siri kwanini kulikuwa na mjadala mkali bungeni kuhusu upigaji kura, ambapo ccm wengi walitaka kura iwe ya wazi? au ulikuwa hujazaliwa mtoto mzuri.... halafu uwe na lugha ya staha kwa wenzio mtoto wa kike wewe!
 
Duuu kwa mchango huu hata sioni sababu ya kuendelea kubishana na wewe maana naona kama vile uelewa wako umeshikwa na watu fulani hivi, uko kama robbot ambayo mmiliki wake yuko nchi za ng'ambo ambaye anakua anakuandikia post na sio wewe duu kwa mwendo huu tutafika kweli??? Umefikia hatua hiyo ya kulipa watu wa kukupostia pumba zako kweli Mwakaboko umeadvance!!!!!
Asante Professor, mwalimu wangu wa darasa la kwanza ambaye umenishikia akili yangu,angalia usidondoshe chini na boss wako tayari ameona umepost post. Haya nenda kachukue pesa yako ya siku
 
Dogo huna jipya pumzisha akili yako kwanza ili upate mawazo mapya!
unauhakika ni mdogo wako, au umeamua kumdemean tu?. Katika watu ambao ni mzigo hapa Tanzania nawe umo. Ulistahili uwe mbugani tuwe tunakuja kukuangalia kama tunavyoenda kuwaangalia pundamilia na twiga kule Mikumi National Park. unashabikia vitu vya hov yo hovyo hivyo nawe ni wa hovyo hovyo tu
 
unauhakika ni mdogo wako, au umeamua kumdemean tu?. Katika watu ambao ni mzigo hapa Tanzania nawe umo. Ulistahili uwe mbugani tuwe tunakuja kukuangalia kama tunavyoenda kuwaangalia pundamilia na twiga kule Mikumi National Park. unashabikia vitu vya hov yo hovyo hivyo nawe ni wa hovyo hovyo tu


Unataja mbugani inaelekea ulikua muwindaji haramu wewe,usijifanye chaja ya kobe humu ndani kutaka kuchaji kila betri hata hujui unachangia nini unadandia tu mada dogo tu wewe ungekua na maana ungekua unajenga hoja sasa wewe husomeki uzito kama lumbesa,

Kidogo umesema mbugani nikaona kwa mara ya kwanza unatangaza utalii wako wa ndani, Katiba inayopendekezwa inaweka msisitizo wa matumizi ya maliasili kwa manufaa ya watanzania!!Nimeona kwenye mchango wako umechepuka najua ulimanisha hivi.
 
Asante Professor, mwalimu wangu wa darasa la kwanza ambaye umenishikia akili yangu,angalia usidondoshe chini na boss wako tayari ameona umepost post. Haya nenda kachukue pesa yako ya siku


Punguza kunywa viroba vingine havijathibitishwa na TBS ndio maana akili yako inawaza hela Kama Yuda Eskariote aliyemuuza Yesu kwa vipande 30,kwa uroho wako huu utapotea jisimamie mwenyewe na ueleweke unachangia nini saa zote unatimua vumbi tu husomeki.
 
Unataja mbugani inaelekea ulikua muwindaji haramu wewe,usijifanye chaja ya kobe humu ndani kutaka kuchaji kila betri hata hujui unachangia nini unadandia tu mada dogo tu wewe ungekua na maana ungekua unajenga hoja sasa wewe husomeki uzito kama lumbesa,Kidogo umesema mbugani nikaona kwa mara ya kwanza unatangaza utalii wako wa ndani, Katiba inayopendekezwa inaweka msisitizo wa matumizi ya maliasili kwa manufaa ya watanzania!!Nimeona kwenye mchango wako umechepuka najua ulimanisha hivi.
haya siku yako imeingia, nenda kampumzike, usitumie nguvu nyingi sana, kwa ajili ya Katiba pendekezwa ambayo tayari imepita
 
Punguza kunywa viroba vingine havijathibitishwa na TBS ndio maana akili yako inawaza hela Kama Yuda Eskariote aliyemuuza Yesu kwa vipande 30,kwa uroho wako huu utapotea jisimamie mwenyewe na ueleweke unachangia nini saa zote unatimua vumbi tu husomeki.
asante umenionesha unakoshinda, kumbe ndiyo sababu!!!!! mimi sio wa kiwango chako, nenda kwa wenzako mnaoshirikiana nao, after all, siku yako imeingia, kapumzike
 
Kunatetesi inaenea kwa kasi sana Uchaguzi mkuu mwaka huu hautafanyika hadi mwakani 2016.sababu ni mh..............,...............,hadi akabizi watanzania katiba MPYA.
 
Back
Top Bottom