Hii haipendezi hata kidogo,kwa Mtindo huu tutakuwa tunakaribisha Mambo yasiyo ya kistaarabu katika Uwanja huu,Forum hii ni kubwa na inasomwa na wengi kuliko tunavyofikiri,sasa kidogo tujaribu kuwa serious,na kutoa Ripoti zenye ukweli.Hata kama habari hii ina ukweli,lakini mtindo wa kuiripoti umekaa vibaya.Wakuu tufanye masahihisho kwa hili,kama kuna chochote kimemtokea ndugu yetu tupewe Taarifa iliyokamilika.....
Ndugu wa Karibu wa Nyani kama sio Nyani mwenyewe,liweke sawa hili,vinginevyo tutakuja kuwa tunapuuza mambo yanayotaka attention ya haraka.Wanachama mliopo humu lifuatilieni hili kwa ukaribu..