Nyalandu amtimua Mkurugenzi Idara ya Wanyamapori

Nyalandu amtimua Mkurugenzi Idara ya Wanyamapori

Hawa ndiyo watanzania hata uwafanyie nini bado utaonekana haujafanya kitu.
 
Pole kaka yamgu ninachokiona sipendi kukiamini kwamba ukiwa MCHAGGA basi haki zako zote kama MTANZANIA zinakwisha,na mbaya zaidi ukawa MCHAGGA , MKATOLIKI halafu ukawa mwanachama wa CDM ndiyo hautakiwi hata kuishi ,inasikitisha labda tuwaulize wanaotunanga waCHAGGA nchi yetu ni ipi?
Naomba uwadharau kiongozi, kinachosumbua walio wengi wanaowasema vibaya wachaga ni wivu tu, hakuna kingine. They are loosers
 
Tunafanya kazi kama sinema za Holliwood...si mchezo.
Hili picha la MNRT halina tofauti na lile bab kubwa la "THE LAST KING OF SCOTLAND" . Nimelipenda maana yule Sterling (Baba Rizmoko) wetu hajatikisika na anaendelea kula raha ndani ya pipa tu.
 
Hv kwani tembo wanaouawa wapo kwnye mapori ya akiba peke ake mbona wakurugenzi wa mamlaka nyngne hawaguswi ,Siasa na uhfadhi haviend
 
Hv kwani tembo wanaouawa wapo kwnye mapori ya akiba peke ake mbona wakurugenzi wa mamlaka nyngne hawaguswi ,Siasa na uhfadhi haviend
Mkuu Prof. hakuwa mkurugenzi wa mapori ya akiba. Bali alikuwa mkurugenzi wa idara ya Wanyama pori (WILDLIFE DIVISION) Tanzania nzima.
 
Hivi inakuwaje kuajiriwa na Serikali na ufukuzwe na Waziri?

Mbona Pinda anawagwaya wateule wengine? Au wanafukuzwa wasio na Mizizi yao Magogoni?
Kwani waziri siyo sehemu ya serikali?
 
Hiki ni kichekesho cha mwaka, MKURUGENZI anatakiwa afanye kazi MBUGANI ya kudhibiti MAJANGILI wanaojulikana na mh.Rais
Ebu ficha ujinga wako mburula wewe,kwani kazi ya mkurugenzi ni nini? kama waziri amejiuzulu mkurugenzi anasubiri? Chadema wengi ni mbumbumbu wa masuala ya uongozi na utawala.
 
Safi sana Nyalandu

Kwani unafikiri dawa ni kufukuza Mkurugenzi. Mbona atafukuza kila anayeteuliwa. Elsie Eyakuze, writing in the East African, sort of summed it up - somewhat neatly: "At the end of the day, however, we need to talk about the elephant in the room. We issue people guns, fashion-defying colonial-era khaki outfits, low salaries and then ask them to guard millions of dollars worth of treasure that's just idling there, frolicking in waterholes and eating acacia leaves. And these folks are supposed to do this job out of what, the goodness of their hearts? That's is the story we I suspect we all really want to read about and talk about (my emphasis)"

Unafahamu mshahara wa Askari Wanyamapori? Unafahamu mazingira yao ya kazi? Vitendea kazi? Watu wengi hapa tunaojadili hili suala hatulielewi. Ni ushabiki tu. We are simply praising populist politicians for taking uninformed decisions. Sasa kumfukuza Mkurugenzi wa Wanyamapori ambaye amekuwa kwenye nafasi hiyo chini ya mwaka mmoja kutamaliza tatizo la ujangili. Au kutamaliza matatizo lukuki yanayoikabili Idara hii? Given the current set up, whoever is appointed Director of Wildlife is bound to fail. Kwanza Waziri hampi nafasi ya kutumia utaalamu wake. Maamuzi ya kitaalamu anafanaya Waziri who has zero knowledge of the matter.

Just so that you gain some more understanding of the issue at hand, here are the links (assuming that you will read before reacting): 17205IIED: The elephant in the room: sustainable use in the illegal wildlife trade debate - IIED Publications Database AND https://theconversation.com/prince-william-will-need-new-ideas-to-tackle-wildlife-crisis-23278

Notice that nobody is really talking about community-based and private based conservation. Why? This is what you get when you let mediocre run the show.

Na credibility ya Nyalandu iko wapi. Kwa wanaomfahamu Prof. Songorwa, angeelewana kweli na Nyalandu kweli? Siamini. Hawa ni watu tofauti. One is a no-nonsense expert with passion for conservation and the other is just a politician seeking to advance his personal interests. Songorwa asingeweza kufumbia macho selfish interests za Nyalandu. So, this is simply an obvious thing for Nyalandu to do: clear the way. Na anayekaimu sasa ni Sarakikya. Wengi hapa hatutakaa tuulewe huu mchezo unless an insider reveal the tug of war that took place behind the scene. This is a calculated move na lengo si kuongeza ufanisi.

By the way, Nyalandu ni known tour operator (I have been in this business for a while to know my stuff well). Wakati huohuo ni Waziri wa Maliasili na Utalii. Whatever happened to our senses. Have we totally forgotten the concept of conflict of interest? The damage can be far reaching than anyone can imagine.
 
Mtatimuana sana. Badala ya kukabiliana na kiini cha tatizo nyie mnakabiliana na majina ya watu!

Pigeni vita uwindaji wa kitalii (haramisheni hii shughuli)!
Imarisheni adhabu za kisheria kwa wawindaji haràmu!
Imarisheni jeshi la wanyamapori!

Kama mna akili mngefanya hayo matatu kwanza; la sivyo hata akija malaika kuwa waziri au Mkurugenzi kwenye wizara hiyo ataonekana tapeli tu!

Palipo na hela kuna mengi!
 
Wengi wasiojua ndo wanaoropoka humu ndani. You real don't know what is going on. Idara ya Wanyamapori inajulikana kwa kuchotea pesa zake na zinatumika na CCM kwenye uchaguzi. Every one know that. Prof. Songorwa a man of integrity cannot allow that. I know him, he has taught me and his conservativeness coupled with patriotism ndo umemuondoa hapo. Kadhalika na Kideghesho. Haiwezekani mtu anayeweza kusimamia international projects tena akapata kazi kwenye serikali ya Obama ila uteuzi wa raisi ukafanya aiache hiyo kazi akashindwa kusimamia idara ya wanyama pori ambayo ameanzia hapo kazi na kupara PhD akiwa hapo idarani. They are preparing to squander money from it and all animals will perish with no time. You wait and see.
 
Wewe unayesema Mkurugenzi alikuwa anakaimu unajua unachokisema au ? Yeye na Prof. mwenzake Jafari waliteuliwa na Rais !
Huyu jangili ndiyo maana bosi wake Kaghasheki alikuwa anamshit maana alishamshitukia ni wakala. Lakini kwa vile wale majangili 40 wanajuana, akapewa uwaziri kamili. Huyu labda wizara ya wamama ili ajichubue vizuri lkn huyu atamaliza wote hadi ngiri...!!
 
  • Thanks
Reactions: mku
Naomba uwadharau kiongozi, kinachosumbua walio wengi wanaowasema vibaya wachaga ni wivu tu, hakuna kingine. They are loosers

Tunaweza kuwadharau lakini viongozi wetu ndiyo wameshindwa kabisa kukemea jambo hili.Vita vya Rwanda na Burundi vilianza kwa maneno na kubaguana kwa kuitana majina ya dharau kama mende nk.Hatutakiwi kufika huko.JK anatakiwa awaambie wanachama wake kuwa vyama vya upinzani si uadui,kwa nini isiwe kama Simba na Yanga tu?Leo ameshinda Simba kesho Yanga maisha yanaendelea.Kwa nini tubaguane?Kwa nini itumike nguvu kubwa kuhodhi madaraka?

Mbona njia mbadala ipo?Ni CCM kubadilika tu ndiyo fimbo ya kuwachapia wapinzani,wala si matusi,vurugu,vita vya maneno,utumiaji wa nguvu usiovumilika,CCM ibadilike,ikemee vitendo vya rushwa,ufisadi nk.na ionekane inakemea na watuhumiwa wapelekwe mahakamani.
 
du! inashangaza sana mbôna tuhuma za kínana na mjomba jk kuhusu tembô wetu mlikana???,yawekana haó wanakwamisha dil.mccm hatari!!!
 
kwa jinsi ninavyomjua huyu Nyalandu ni mpenda sifa sana halafu anapenda kujitukuza sana,sasa Muheshimiwa nafikiri una nafasi ya kubadilika na kusonga mbele,jaribu kubadilisha tabia zako hasa za kujikweza na kujiona maarufu,nchi hii tumeangushwa na watu kama nyie,sipendi kuweka mengi hadharani lakini huo ndio ushauri wangu!
 
Ndo maana huwa nasema watanzania tuna matatizo sana hata wewe ni miongoni mwao, badala ya kuandika ueleweke unalalamika sasa sisi tutachangia nini hapa, kama unaona hafanyi kazi vizuri anika hapa na toa vielelezo au maelezo ya kutosha badala ya kumlaumu.

kwa jinsi ninavyomjua huyu Nyalandu ni mpenda sifa sana halafu anapenda kujitukuza sana,sasa Muheshimiwa nafikiri una nafasi ya kubadilika na kusonga mbele,jaribu kubadilisha tabia zako hasa za kujikweza na kujiona maarufu,nchi hii tumeangushwa na watu kama nyie,sipendi kuweka mengi hadharani lakini huo ndio ushauri wangu!
 
Back
Top Bottom