TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,870
- 5,755
we mchagga ficha upumbavu wako
teh teh. Na kweli anaongea kichagga kichagga.
we mchagga ficha upumbavu wako
mkurugenzi ndio anatakiwa awajibike kulinda wanyamapori wake, hao majangiri ndio anatakiwa awajue zaidi kupita rais. we bongolala ni mwehu
we uko nyuma ya keyboard unajua nini kuhusu wanyamapori? labda wewe ni mmojawapo wa majangiri kwa sababu jina lako tu linaonyesha wewe ni mroho sana wa pesa na utajiri uko tayari kuiba au kuua wanyama pori wetu ili mradi tu upate pesa
Jangili mkuu wa wanyama pori ni bosi wa Lumumba. Mkamateni huyo, wanyama wetu watapona. Msiwatese Watanzania wengine.
we uko nyuma ya keyboard unajua nini kuhusu wanyamapori? labda wewe ni mmojawapo wa majangiri kwa sababu jina lako tu linaonyesha wewe ni mroho sana wa pesa na utajiri uko tayari kuiba au kuua wanyama pori wetu ili mradi tu upate pesa
Hivi inakuwaje kuajiriwa na Serikali na ufukuzwe na Waziri?
Mbona Pinda anawagwaya wateule wengine? Au wanafukuzwa wasio na Mizizi yao Magogoni?
ufuska unaofanyika BILCANAS, MBOWE naye ni fuska?
Rais yeye aliyajuaje majangili, alikwenda mbugani?Hiki ni kichekesho cha mwaka, MKURUGENZI anatakiwa afanye kazi MBUGANI ya kudhibiti MAJANGILI wanaojulikana na mh.Rais
kama ameruhusu ufuska kwenye jumba lake kwanini tusimwite fuska?
tena hakuna jina hatari la kichagga kama LYIMO.
iweje waziri mkuu ashindwe kumtimua mkurugenzi (ref. Jailo) lakini waziri wa kawaida awe na uwezo huo? Kutakuwa kuna maelezo ya ziada
kwa hiyo ni fuska? au ndiyo anakwenda ku-practice kule DUBAI?
Rais yeye aliyajuaje majangili, alikwenda mbugani?
Pinda alishindwa kumtimua mkurugenzi au Katibu Mkuu wa Wizara.?
Waziri wa Maliasili na Utalii, lazaro Nyalandu, amemtimua Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Profesa Songorwa; kwa utendaji kazi mbovu na kushindwa kudhibiti vitendo vya ujangili. Amekaa kwenye nafasi hiyo kwa muda usiozidi mwaka mmoja akiwa amechukua nafasi ya Obeid Mbangwa. Hii Wizara ni mwiba wenye sumu!
Hili suala lina utata. Bado tunakumbuka namna Waziri Anthony Diallo (mwaka 2006), alivyohangaika kumng'oa Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Severre. Mkurugenzi huyo aligoma kwa maelezo kwamba aliteuliwa na Rais na kwa sababu hiyo Waziri hana mamlaka ya kumwondoa. Katika hili ngoja tujiridhishe kama aliyeamtimua ni Nyalandu kweli au ni Rais mwenyewe.