Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Wana jf, naomba tuorodheshe nukuu mbali mbali kutoka kwa hotuba na mazungumzo ya rais wetu JK, nukuu hizi zitzsaidia kurejea siku zijazo, naanza na hizi chache: unaweza endeleza au kunikosoa pale nitakapo kosea.
1. Urais wangu hauna ubia.
2. Tatizo la umeme ni ukame, mimi siwezi kuilazimisha mvua inyeshe.
3. Hawa wanaopata mimba ni kiherehere chao.
4. Kama hawa watuhumiwa wa EPA wanasema fedha hizo walizitumia katika uchaguzi, watuenyeshe walizitumiaje(stakabadhi).
5......................................
Tafhadhari endleza.
1. Urais wangu hauna ubia.
2. Tatizo la umeme ni ukame, mimi siwezi kuilazimisha mvua inyeshe.
3. Hawa wanaopata mimba ni kiherehere chao.
4. Kama hawa watuhumiwa wa EPA wanasema fedha hizo walizitumia katika uchaguzi, watuenyeshe walizitumiaje(stakabadhi).
5......................................
Tafhadhari endleza.