Hakuna mtoto wa maskin atakaekosa elimu kwa umaskin wake
'nataman siku moja watanzania wanikumbuke kwa KUWAFIKISHA PALE'
<br />Ukitaka kula lazima uliwe.
Kabla hajawa raisi wa kupewa na NEC for the second round tulikufa na njaa??? akawaeleze nduguze hii kauli.."Wapo watu wanaobeza safari zangu, nawaambia hv bila safari hz watanzania wangekufa na njaa"
<br />wapi hapo?