Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania kuna foleni barabarani kwa sababu wananch wana maendeleo wamenunua magari mengi!Wana jf, naomba tuorodheshe nukuu mbali mbali kutoka kwa hotuba na mazungumzo ya rais wetu JK, nukuu hizi zitzsaidia kurejea siku zijazo, naanza na hizi chache: unaweza endeleza au kunikosoa pale nitakapo kosea.1. Urais wangu hauna ubia.2. Tatizo la umeme ni ukame, mimi siwezi kuilazimisha mvua inyeshe.3. Hawa wanaopata mimba ni kiherehere chao.4. Kama hawa watuhumiwa wa EPA wanasema fedha hizo walizitumia katika uchaguzi, watuenyeshe walizitumiaje(stakabadhi).5...................................... Tafhadhari endleza.
Wana jf, naomba tuorodheshe nukuu mbali mbali kutoka kwa hotuba na mazungumzo ya rais wetu JK, nukuu hizi zitzsaidia kurejea siku zijazo, naanza na hizi chache: unaweza endeleza au kunikosoa pale nitakapo kosea.
1. Urais wangu hauna ubia.
2. Tatizo la umeme ni ukame, mimi siwezi kuilazimisha mvua inyeshe.
3. Hawa wanaopata mimba ni kiherehere chao.
4. Kama hawa watuhumiwa wa EPA wanasema fedha hizo walizitumia katika uchaguzi, watuenyeshe walizitumiaje(stakabadhi).
5......................................
Tafhadhari endleza.
Wana jf, naomba tuorodheshe nukuu mbali mbali kutoka kwa hotuba na mazungumzo ya rais wetu JK, nukuu hizi zitzsaidia kurejea siku zijazo, naanza na hizi chache: unaweza endeleza au kunikosoa pale nitakapo kosea.
1. Urais wangu hauna ubia.
2. Tatizo la umeme ni ukame, mimi siwezi kuilazimisha mvua inyeshe.
3. Hawa wanaopata mimba ni kiherehere chao.
4. Kama hawa watuhumiwa wa EPA wanasema fedha hizo walizitumia katika uchaguzi, watuenyeshe walizitumiaje(stakabadhi).
5......................................
Tafhadhari endleza.
(10+10+5+5)=30 wote hawa ni wa magamba"mzee mwinyi alikaa miaka 10 hakuyamalza, mzee Nkapa miaka 10 hakuyamalza, mie miaka 5 sijayamalza na mingne 5 sitayamalza, hvyo basi (kicheko) matatzo hayawezi kwisha" JK
hii anaitoa kila siku hadi kwenye misiba akihojiwa tu lazima aitoeTeheteheteheteheteheeeeeeeee
yap.. Na hii inatuonyesha kwamba jeikei matatzo hayamuumizi kchwa since kwa7bu tu aliyakuta(10+10+5+5)=30 wote hawa ni wa magamba
Tanzania kuna foleni barabarani kwa sababu wananch wana maendeleo wamenunua magari mengi!