Nukuu za JK

Nukuu za JK

Vile vile, napata faraja kubwa kwamba tunalo Bunge makini,
lenye Wabunge wa mchanganyiko muafaka kwa maana ya vyama,
taaluma, fani, jinsia, umri na rika.

12th June 2006, ufunguzi wa jengo la bunge Dodoma
 
Ingekuwa ni mitambo ya kununua tu dukani tungefanya hivyo na kulimaliza mara moja tatizo hili. Tena lingeisha zamani na wala sisi tusingelikuta. Subira yavuta heri.

28 Februari 2011 Hotuba za mwisho wa mwezi
 
hivi sasa TANESCO wanaendelea na mchakato wa ukodishaji wa mitambo ya dharura ya kufua umeme wa megawati 260. Tayari zabuni imekwishatangazwa ili kumpata mkandarasi atakayekidhi viwango na mwenye gharama nafuu. TANESCO wameahidi kuwa ifikapo mwezi Julai uzalishaji wa umeme huo wa dharura utakuwa umeanza.

Hotuba ya mwezi machi 2011
 
Ndugu zangu na hata baraza la mawaziri wanajua mimi ni mropokaji!!!
 
SWALA LA MITAMBO YA UMEME SIYO KAMA HILO KOTI ULILOLIVAA LA MTUMBA ni ile ya Bbc huko bondeni
 
Mwandishi wa habari: Mheshimiwa rais ungependa watanzania wakukumbuke kwa lipi baada ya Uongozi wako?<br />
JK:Mh..ahaa...a,yah!,&quot;ningependa wanikumbuke kwamba niliwakuta hapa,ntawaacha hapa&quot;. Yalikuwa ni mahojiano ya moja kwa moja baina ya waandishi wa habari na mgombea urais CCM 2010,kupitia ITV.
<br />
<br />
alikuwa ni mwakilishi atn agape ndiye alempa hilo swali alivyo mjibu alipa hasira ilembaya
 
-Asiye na mjomba ajijombaze mwenyewe..
-"mimi sikinde pale ddc kondoa nilikua na kiti changu,hicho hakai mtu"-alisema siku ya bethdei yake aliyoandaliwa na clouds tv.
 
"Wanasema napenda kupanda ndege wakat nlvyokuwa waziri wa mambo ya nje nilisafiri mnoo.. Muwapuuzie hawana sera hao".
 
"Wanasema nafanyiwa kampeni na mtoto wangu, hayo ni mambo ya familia yangu hayawahusu"
 
Back
Top Bottom