stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 36,033
- 34,776
so far this is what the citizens have decidedLet the citizens decide their own leaders, not your appetite to remain in power.
so far this is what the citizens have decidedLet the citizens decide their own leaders, not your appetite to remain in power.
What they have decided is NRNEso far this is what the citizens have decided
learn to accept not everyone you want might win any post, if 10m say yes and 20k say no, learn to respect the majorityWhat they have decided is NRNE
That is a lesson you CCM people should learn. Citizens no longer want you, the only thing you can use now is force, killing, abducting, ndo maana mnaogopa kuwa na tume hurulearn to accept not everyone you want might win any post, if 10m say yes and 20k say no, learn to respect the majority
Hata hao watu 10 wanatosha zitahesabiwa hizohizoNatamani watu wasiende kupiga kura kabisaa,yaani hyo siku iwe kama Nchi iko kizani yaani vituo vya kura vifunguliwe ila asitokee mtu hata mmoja,mfano sehemu yenyewe wakazi elf 20,wakapige kura watu 10 au wasizidi hata 50 ,yaani Nchi nzima watakopiga kura wasizidi million 1
siku wananchi wakiamua basi ccm itaondoka, as of now endelea kukaa na kikundi chenuThat is a lesson you CCM people should learn. Citizens no longer want you, the only thing you can use now is force, killing, abducting, ndo maana mnaogopa kuwa na tume huru
If history is any guide, this no reform, no election craze is headed down the path of doom, as did others such as UKAWA.
Watanzania hatuwezi kabisa ku sustain indignation.
Hii kampeni inaenda kufa tu kama ilivyokufa UKAWA.
Nani anaikumbuka UKAWA? Ilishasahaulika kabisa katika msamiati 🤣. Oh, na yale maandamano yao [ambayo hayakutokea] nani anayakumbuka?
Pia, wakati wa Magufuli kuna baadhi ya watu walianza kuzichoma kadi zao za CCM. Wengi wao walifanya hivyo kwenye mitandao ya kijamii.
Leo hii wako wapi hao watu? CCM ilipoteza wanachama wangapi kutokana na kadi zake kuchomwa?
Idadi kubwa sana ya Watanzania hata hawaelewi maana ya hiyo slogan ya NRNE.
Watanzania walio wengi wala hawaoni tatizo lolote lile lililopo katika uongozi wa nchi.
Wengi wao wanaamini kila kitu ni hisani ya Rais. Ujinga bado ni mwingi sana.
Vilevile, wengi hata hawajui kiini cha matatizo ni nini.
Hata wale wenye uelewa mdogo, nao wame stuck na mtu mmoja tu ambaye hata hayupo tena, kuwa yeye ndiye chanzo cha matatizo yote yaliyopo.
Naomba muikumbuke hii mada ili yakishatimia, tuje tukumbushane vizuri kwa rejea.
NRNE ni movement mfu!
KAKA MWENZIO KIZUNGU KIDOGO TU KIMEMCHANGANYA HAJAELEWA HATA KIDOGO HAPO KAAMBULIA YA KISWAHILI MACHACHE TU NDIYO ANAUNGAUNGA MSAMEHE BURE NDIVYO CHADEMA TULIVYO NA AKILI ZETU MBOVUNimesema inakoelekea ni kulekule ilipoishia UKAWA.
What part of that is hard to understand?
MPAKA WAJE WAAMUE NI 2090siku wananchi wakiamua basi ccm itaondoka, as of now endelea kukaa na kikundi chenu
Kuamua vipi mzeee?!!Mimi kama raia wa Tanzania niseme kweli 2005,nilipigua CCM,2010 CCM,2015, Chadema ,2020 CCM,mwaka huu sitapiga kura abadani asilani,na kipindi nilikua nachukua mpk wadogo zangu mfano 2020 wote tulipigia CCM,mwaka huu mimi na familia yetu yenye watu 10 tunaostahiki kupiga kura hatutapiga kura wote...I swear maana naona ushubwada tu,kura akapige yule IGP anaeweka hisa za 1B ndani ya mwezi,wakapige wasanii mnawalipa kila siku kwenda na kurudi dodoma kujiuza ,na wale waonaofanya shoo na bado niko kutia sumu watu kimya kimyaso far this is what the citizens have decided
Mnufaika wa CCM huyu endeleeni tu ila one day yes kama sio duniani kesho kwa Mungu.MPAKA WAJE WAAMUE NI 2090
🤣 🤣 🤣 🤣 sipigi kura kwa sababu ATCL haijai, aiseeKuamua vipi mzeee?!!Mimi kama raia wa Tanzania niseme kweli 2005,nilipigua CCM,2010 CCM,2015, Chadema ,2020 CCM,mwaka huu sitapiga kura abadani asilani,na kipindi nilikua nachukua mpk wadogo zangu mfano 2020 wote tulipigia CCM,mwaka huu mimi na familia yetu yenye watu 10 tunaostahiki kupiga kura hatutapiga kura wote...I swear maana naona ushubwada tu,kura akapige yule IGP anaeweka hisa za 1B ndani ya mwezi,wakapige wasanii mnawalipa kila siku kwenda na kurudi dodoma kujiuza ,na wale waonaofanya shoo na bado niko kutia sumu watu kimya kimya
Hapo naenda kijijini kumchukua mamkubwa nae asipige kura kabisa mwaka huu!!
Viongozi gani hawana huruma na sisi hao mwendo kasi tu imewashinda ,ATCL kila siku haijai,ndege ndani siti kama gari za bonyokwa,mwaka huu kura atapiga waziri salumu na mkewe na familia zao maana ndo wanaufaika.
Sawa ila watajua kabisa hawatakiwiHata hao watu 10 wanatosha zitahesabiwa hizohizo
Iwe kama Ukawa ama isiwe kama uka lkn msg imepenya kwa kuonyesha kwamba watanzania sio mambumbu tena na kilichobaki ni mabavu tu lkn sio sheria wala utawala bora, PERIOD
Msimamo wangu haujawahi kubadilika hata siku moja.Kama kumbu kumbu zangu zipo sawa sawa..... Wewe ni mtu ulikua unahoji sana kwanini CDM inakubali kushiriki chaguzi ambazo inajua sheria zinaibana na kuwafanya watawala kuamua nani mshindi
Na walipo anzisha ukaunga mkono kwa juhudi zote
Lakini sasa ni kama UNASHANGAA as if ulikua hujui kitakachokuja kutokea
Mkuu this is a process...... tunaweza kuwa tunataka njia za matokeo ya haraka kama “wengine” waliofanikiwa lakini tukumbuke tabia za watu(tamaduni) zina akisi kwa kiasi kikubwa namna wanaweza kutimiza hili
I still trust the process
wala ata, wananchi wakiamua kwel ata leo ccm inaondoka, ccm imejiwekeza kuongelea miradi zaidi ndo kitu kizuri zaidi ila chadema imekomaa kuongelea viongozi wao hawajachaguliwa, hakuna uwiano apoMPAKA WAJE WAAMUE NI 2090
Ukawa ilikuwa mpango wa kushiriki uchaguzi, Hii No Reforms No Election ni Mpango wa kubadili mifumo ya Uchaguzi, ina misheni fupi na ndefu, huu si ushirika wa kugombea madaraka kama ilivyokuwa UKAWA.Nimesema inakoelekea ni kulekule ilipoishia UKAWA.
What part of that is hard to understand?
Wameshaamua, ninyi na kikundi chenu kinachouza na kufaidi rasilimali za nchi ndo mnatakiwa mkae kando. Muda wa danganyadanganya ulishapita, wananchi wanataka nchi yao.siku wananchi wakiamua basi ccm itaondoka, as of now endelea kukaa na kikundi chenu