PreGE2025 No reforms, no election itakuwa kama UKAWA tu!

PreGE2025 No reforms, no election itakuwa kama UKAWA tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
You might be a little right but not okay.Ndiyo maana ya kupishana mitizamo.Ulitaka nimkubalie tu na kumpa "like"?Hell no!
Kupishana kimtazamo ni ubinadamu na yatupasa kuvumiliana katika tofauti zetu. Bali kutumia lugha ulotumia kuonesha kutokubaliana kwao na maoni ya Ngabu haikubaliki katika jamii ya watu waliostaarabika. Sorry if I’m rubbing you the wrong way
 
If history is any guide, this no reform, no election craze is headed down the path of doom, as did others such as UKAWA.

Watanzania hatuwezi kabisa ku sustain indignation.

Hii kampeni inaenda kufa tu kama ilivyokufa UKAWA.

Nani anaikumbuka UKAWA? Ilishasahaulika kabisa katika msamiati 🤣. Oh, na yale maandamano yao [ambayo hayakutokea] nani anayakumbuka?

Pia, wakati wa Magufuli kuna baadhi ya watu walianza kuzichoma kadi zao za CCM. Wengi wao walifanya hivyo kwenye mitandao ya kijamii.

Leo hii wako wapi hao watu? CCM ilipoteza wanachama wangapi kutokana na kadi zake kuchomwa?

Idadi kubwa sana ya Watanzania hata hawaelewi maana ya hiyo slogan ya NRNE.

Watanzania walio wengi wala hawaoni tatizo lolote lile lililopo katika uongozi wa nchi.

Wengi wao wanaamini kila kitu ni hisani ya Rais. Ujinga bado ni mwingi sana.

Vilevile, wengi hata hawajui kiini cha matatizo ni nini.

Hata wale wenye uelewa mdogo, nao wame stuck na mtu mmoja tu ambaye hata hayupo tena, kuwa yeye ndiye chanzo cha matatizo yote yaliyopo.

Naomba muikumbuke hii mada ili yakishatimia, tuje tukumbushane vizuri kwa rejea.

NRNE ni movement mfu!
No reform no election
 
Wanaodai NRNE wameona kuna tatizo la mfumo wa uchaguzi. Je unasadiki kuwa kuna tatizo ktk mfumo wa uchaguzi?
matatizo always yapo, lakini huwezi ku-solve kwa kususia uchaguzi, wakati majority wana acknowledge hizo changamoto na wanaendelea kuzipambania wakiwa ulingoni, yupi ni smart hapo?
 
Hii ya CHADEMA ya kutaka mabadiliko ktk mifumo yetu ya uchaguzi ili kuruhusu chaguzi HURU, za HAKI, za WAZI na za KUAMINIKA inayochagizwa na kauli mbiu ya NO REFORMS NO ELECTION ni kali na haiwezi kurudi au kufa bila kuzaa matunda...

Moja ya sababu kuwa hii ni kaa la moto na lazima liunguze, ni hoja zinazoibeba ambazo ni za kweli, wazi na zinazomgusa na zilizokwisha kumwathiri kila mmoja wetu kiasi ambacho watu wengine tulishaachaga muda mrefu kupiga kura kwa sababu tulishaona hata ukienda kupiga kura ni kupoteza muda wako na kujisumbua bure tu kwa kuwa si sanduku la kura wala kura za wapiga kura zinazoamua nani awe kiongozi...

Ndio maana movement hii imepokelewa na wananchi kwa mikono miwili na kuungwa mkono na kila mpenda haki...

Kwa upande wa pili, wa CCM (wanaoongoza serikali) ambao ni wanufaika wa mfumo huu mbovu na wa dhuluma, wanajua fika kwamba, hii kitu ni hatari kwao, inatishia maslahi yao kisiasa na inatishia uwepo wao madarakani...

They're using any possible means to make sure that it's not going anywhere. Hata kauli yako ya "HII NI KAMA UKAWA TU" lengo lake ni hilo tu...

Lakini ukweli ni kuwa, hii si kama UKAWA. Hii ni kitu kingine kabisa kilichosukwa kikasukika. Hii ni lazima itoke na watu...

View: https://youtu.be/beHOFgVJLnk
 
Kupishana kimtazamo ni ubinadamu na yatupasa kuvumiliana katika tofauti zetu. Bali kutumia lugha ulotumia kuonesha kutokubaliana kwao na maoni ya Ngabu haikubaliki katika jamii ya watu waliostaarabika. Sorry if I’m rubbing you the wrong way
Una changamoto kwenye kichwa chako.Niamini.
 
Msimamo wangu haujawahi kubadilika hata siku moja.

Ngoja nikukumbushe huo msimamo: hakuna kushiriki chaguzi za maigizo chini ya mazingira ya katiba na sheria za sasa.

Huo ndo msimamo wangu.

Kama una akili hata kama ni chache tu, utaona kuwa msimamo wangu huo uko tofauti na ‘kuzuia’ uchaguzi usifanyike.

Kugomea kushiriki uchaguzi wa maigizo na kuuzuia huo uchaguzi usifanyike, wewe unaona hayo mawili kuwa ni sawa?
Mimi ambaye sina hata hizo akili chache za kukuelewa ninachoona ni CDM wamekwanda hatua tatu zaidi mbele zaidi ya hatua yako moja ya kugomea uchaguzi

CDM wanajua hata UKIGOMA PEKEE(msimamo wako)what is next? bado wakina ACT and the co watashiriki na uchaguzi utakuwepo kama kawaida
Ndio maana Wao wakaenda mbele zaidi kwa kutaka kwanza sheria zibadilishwe na kama hazibadilishwi wanagoma kushiriki na wakaenda mbele zaidi kuanzisha kampeni watu WAZUIE uchaguzi

Naona watu wanataka kuigeuza hii kampeni kama ni ya KUZUIA UCHAGUZI TU
Kuzuia ni hatua ya mwisho kabisa iwapo madai mengine hayata tekelezwa

Issue ya kufanikiwa au kushindwa ni matokeo...... huu ni mpambano kuna kushinda na kushindwa
But hii ni process mkuu

Unless otherwise una the best option
 
CDM wamesema watazuia uchaguzi, na slogan yao inajieleza "NRNE"
Kabla ya KUGOMEA wanataka kwanza MAREKEBISHO

Kwanini hujadili hoja ya msingi MABADILIKO

Au Unadhani CDM ni vichaa wanataka kuzuia uchaguzi from nowhere?
 
Mimi ambaye sina hata hizo akili chache za kukuelewa ninachoona ni CDM wamekwanda hatua tatu zaidi mbele zaidi ya hatua yako moja ya kugomea uchaguzi

CDM wanajua hata UKIGOMA PEKEE(msimamo wako)what is next? bado wakina ACT and the co watashiriki na uchaguzi utakuwepo kama kawaida
Ndio maana Wao wakaenda mbele zaidi kwa kutaka kwanza sheria zibadilishwe na kama hazibadilishwi wanagoma kushiriki na wakaenda mbele zaidi kuanzisha kampeni watu WAZUIE uchaguzi

Naona watu wanataka kuigeuza hii kampeni kama ni ya KUZUIA UCHAGUZI TU
Kuzuia ni hatua ya mwisho kabisa iwapo madai mengine hayata tekelezwa

Issue ya kufanikiwa au kushindwa ni matokeo...... huu ni mpambano kuna kushinda na kushindwa
But hii ni process mkuu

Unless otherwise una the best option
CHADEMA watazuiaje uchaguzi ?
 
Tofauti ya Ukawa na hii, No Reform, No Election watu hawatapiga kura.

Kwa haraka haraka ni kama kitu kidogo.
 
Kabla ya KUGOMEA wanataka kwanza MAREKEBISHO

Kwanini hujadili hoja ya msingi MABADILIKO

Au Unadhani CDM ni vichaa wanataka kuzuia uchaguzi from nowhere?
Endeleeni kuka bench kusubiri mabadiliko, fight a fight within the system, ukiwa outsider unakosa uhalali, ruzuku ndyo ilikuwa rasilimali njema, sasa hiyo vita mtapigana kwa hiyo tonetone fund, against 18 political parties walioko ndani ya mfumo?? "Common sense is not common" hampambani ni sisiem, sasa mnapambana na vyama 18, one fractured party against all :DESKCHAN: hizo NrNe za mtandaoni ndyo mnaamini zitazuia uchaguzi ili muwe included???
 
CHADEMA watazuiajenuchaguzi?
Njia pekee iliyobakia kulazimisha MABADILIKO ni kama mbwai iwe mbwai

Walijaribu kwenye maandamano IKAFELI
Wanajaribu na kwenye kuzuia uchaguzi...... you never know mkuu inaweza ikawa ndio trigger watu wakaingia mtaani kikawaka

Ulitaka WAGOME, wamegoma

Haya ya baada ya kugoma waachie wenyewe sababu hakuna maana ya kugoma halafu unarudi nyumbani

Sielewi, ulitaka wafanyake baada ya kutokushiriki?
 
Njia pekee iliyobakia kulazimisha MABADILIKO ni kama mbwai iwe mbwai

Walijaribu kwenye maandamano IKAFELI
Wanajaribu na kwenye kuzuia uchaguzi...... you never know mkuu inaweza ikawa ndio trigger watu wakaingia mtaani kikawaka

Ulitaka WAGOME, wamegoma

Haya ya baada ya kugoma waachie wenyewe sababu hakuna maana ya kugoma halafu unarudi nyumbani

Sielewi, ulitaka wafanyake baada ya kutokushiriki?
Kukinukisha?? baada ya hapo so what?? MTUME wenu TAL ataenda Ubelgiji, nyie wamatumbi, warugaruga mtaenda wapi???
 
Mb
Endeleeni kuka bench kusubiri mabadiliko, fight a fight within the system, ukiwa outsider unakosa uhalali, ruzuku ndyo ilikuwa rasilimali njema, sasa hiyo vita mtapigana kwa hiyo tonetone fund, against 18 political parties walioko ndani ya mfumo?? "Common sense is not common" hampambani ni sisiem, sasa mnapambana na vyama 18, one fractured party against all :DESKCHAN: hizo NrNe za mtandaoni ndyo mnaamini zitazuia uchaguzi ili muwe included???
Unataka CDM wakwambie wataishije baada ya uchaguzi mkuu? 😂😂

CDM wala hawana Ugonvi na mbwa(vyama vingine)
Wao wana ugonvi na mwenye mbwa
Akiwatumia kumshambulia CDM hiyo ndio vita yenyewe muraa
 
Haiwi kama ukawa kwasababu ni agenda ya chama kimoja hao wengine ni washabiki tu hawabebi uzito wowote.

Ukawa ulikuwa muungano wa vyama.

Hiyo No Reforms No Election inapelekea CHADEMA kufutwa siyo agenda ndogo.

CCM wali jua wakiiua chadema pata poa, wakaanza kuingilia uchaguzi wakafanikiwa.

Wakamkamata LISU na kumuweka ndani kwa kesi zisizo na dhamana wakafanikiwa.

Sasa kwa kutumia wadhamini wameifungulia kesi na kusitisha shughuli zao za kisiasa.

Sasa hakuna wa kuineza no Reform na Election tena.

With high surgical precision, they have successfully disassembled CHADEMA.
 
Mb

Unataka CDM wakwambie wataishije baada ya uchaguzi mkuu? 😂😂

CDM wala hawana Ugonvi na mbwa(vyama vingine)
Wao wana ugonvi na mwenye mbwa
Akiwatumia kumshambulia CDM hiyo ndio vita yenyewe muraa
Common sense is not common
Mb

Unataka CDM wakwambie wataishije baada ya uchaguzi mkuu? 😂😂

CDM wala hawana Ugonvi na mbwa(vyama vingine)
Wao wana ugonvi na mwenye mbwa
Akiwatumia kumshambulia CDM hiyo ndio vita yenyewe muraa
😳
 
Back
Top Bottom