DR VRM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 3,884
- 3,057
Common sense is not common
😳
Common sense is not common
😳
Watauzuiaje huo uchaguzi?Njia pekee iliyobakia kulazimisha MABADILIKO ni kama mbwai iwe mbwai
Walijaribu kwenye maandamano IKAFELI
Wanajaribu na kwenye kuzuia uchaguzi...... you never know mkuu inaweza ikawa ndio trigger watu wakaingia mtaani kikawaka
Ulitaka WAGOME, wamegoma
Haya ya baada ya kugoma waachie wenyewe sababu hakuna maana ya kugoma halafu unarudi nyumbani
Sielewi, ulitaka wafanyake baada ya kutokushiriki?
Hawana majibu, wanasubiri TAL awape SOPWatauzuiaje huo uchaguzi?
Watasimama barabarani na kuziba njia za kuelekea kwenye vituo vya kupigia kura?
Watazichana karatasi za kupigia kura?
Watawateka wasimamizi wa uchaguzi?
Watayachoma moto masanduku ya kura?
Naomba nielezee jinsi na namna watavyouzuia huo uchaguzi usifanyike.
Kwanza upo pamoja nao kwenye kuto kushiriki uchaguzi hewa?Watauzuiaje huo uchaguzi?
Watasimama barabarani na kuziba njia za kuelekea kwenye vituo vya kupigia kura?
Watazichana karatasi za kupigia kura?
Watawateka wasimamizi wa uchaguzi?
Watayachoma moto masanduku ya kura?
Naomba nielezee jinsi na namna watavyouzuia huo uchaguzi usifanyike.
Acha kukwepa maswali yangu bana.Kwanza upo pamoja nao kwenye kuto kushiriki uchaguzi hewa?
wewe una akili kweli? CHADEMA wanapita kwenye ofisi za hivyo vyama 18 kufanya mobilization ya NRNE? CHADEMA hawana mpango wa kuzuia uchaguzi kwa kupitia vyama vya siasa ambavyo asilimia 95 ni mali ya CCM. CHADEMA wanahamasisha wanachi wasishiriki uchaguzi kwasababu ambazo ziko very obvious. Kama watafanikiwa au lah hiyo ni ishu nyingine lakini NRNE inalenga kuhamasisha wanachi kutoshiriki uchaguzi sio vyama vya siasa. Vyama vishiriki tu vikitaka lakini wanachi wasipoenda kupiga kura hivyo vyama 18 vitashiriki uchaguzi gani? nani atavipigia kura?Pls tell us, CDM inawezaje zuia vyama 18 visishiriki uchaguzi, ukinielewesha hiyo methodology/majic mtayotumia na nikaielewa nitajiunga na hiyo NrNe. So far naona tu slogan za NRNE na process za uchaguzi zinaendekea smoooothly![]()
If history is any guide, this no reform, no election craze is headed down the path of doom, as did others such as UKAWA.
Watanzania hatuwezi kabisa ku sustain indignation.
Hii kampeni inaenda kufa tu kama ilivyokufa UKAWA.
Nani anaikumbuka UKAWA? Ilishasahaulika kabisa katika msamiati 🤣. Oh, na yale maandamano yao [ambayo hayakutokea] nani anayakumbuka?
Pia, wakati wa Magufuli kuna baadhi ya watu walianza kuzichoma kadi zao za CCM. Wengi wao walifanya hivyo kwenye mitandao ya kijamii.
Leo hii wako wapi hao watu? CCM ilipoteza wanachama wangapi kutokana na kadi zake kuchomwa?
Idadi kubwa sana ya Watanzania hata hawaelewi maana ya hiyo slogan ya NRNE.
Watanzania walio wengi wala hawaoni tatizo lolote lile lililopo katika uongozi wa nchi.
Wengi wao wanaamini kila kitu ni hisani ya Rais. Ujinga bado ni mwingi sana.
Vilevile, wengi hata hawajui kiini cha matatizo ni nini.
Hata wale wenye uelewa mdogo, nao wame stuck na mtu mmoja tu ambaye hata hayupo tena, kuwa yeye ndiye chanzo cha matatizo yote yaliyopo.
Naomba muikumbuke hii mada ili yakishatimia, tuje tukumbushane vizuri kwa rejea.
NRNE ni movement mfu!
Kujadili CDM na NrNe unahitaji kutumia akilia?, kama unatumia akili labda Kb16 tu ya brain, ili kufanya dialogue na imbeciles kama wewe haihitaji akili nyingi, acha matusi na dharau, tufanye dialogue tuitendee haki JF, tufanye debate kistaarabuwewe una akili kweli? CHADEMA wanapita kwenye ofisi za hivyo vyama 18 kufanya mobilization ya NRNE? CHADEMA hawana mpango wa kuzuia uchaguzi kwa kupitia vyama vya siasa ambavyo asilimia 95 ni mali ya CCM. CHADEMA wanahamasisha wanachi wasishiriki uchaguzi kwasababu ambazo ziko very obvious. Kama watafanikiwa au lah hiyo ni ishu nyingine lakini NRNE inalenga kuhamasisha wanachi kutoshiriki uchaguzi sio vyama vya siasa. Vyama vishiriki tu vikitaka lakini wanachi wasipoenda kupiga kura hivyo vyama 18 vitashiriki uchaguzi gani? nani atavipigia kura?
wewe una akili kweli? CHADEMA wanapita kwenye ofisi za hivyo vyama 18 kufanya mobilization ya NRNE? CHADEMA hawana mpango wa kuzuia uchaguzi kwa kupitia vyama vya siasa ambavyo asilimia 95 ni mali ya CCM. CHADEMA wanahamasisha wanachi wasishiriki uchaguzi kwasababu ambazo ziko very obvious. Kama watafanikiwa au lah hiyo ni ishu nyingine lakini NRNE inalenga kuhamasisha wanachi kutoshiriki uchaguzi sio vyama vya siasa. Vyama vishiriki tu vikitaka lakini wanachi wasipoenda kupiga kura hivyo vyama 18 vitashiriki uchaguzi gani? nani atavipigia kura?
Chadema hana mbinu na uwezo wa kushinda CCM kwa mazingila ya sasa.So unashauri nini? chadema ishiriki hata kama itashindwa majimbo yote?. Maana nakumbuka ulitusema sana humu 2024 kwamba tunashiriki vipi uchaguzi ambao tunajua tutashindwa.
WaTanzania hata sijui mnataka nini
huna akili, mwanzo lilikua swali sasa nimeconfirm. Ulivyo mjinga unadhani ukijaza viingereza ulivyokariri ndio utaonekana ‘mtu’. Unless wewe ni shabiki tu wa kisiasa, ila kama kweli akili yako ndio inakutuma NRNE inahusu vyama vya siasa 18 kugomea uchaguzi basi umewaabisha sana waliokuzaa.Kujadili CDM na NrNe unahitaji kutumia akilia?, kama unatumia akili labda Kb16 tu ya brain, ili kufanya dialogue na imbeciles kama wewe haihitaji akili nyingi, acha matusi na dharau, tufanye dialogue tuitendee haki JF, tufanye debate kistaarabu
We ndyo imbecile unapata degedege kwa ushabiki wa chama cha siasa, ziro kabisa wewe mapovu yote hayo kwa kukipigania chama cha siasa??? Hujapenda comments zangu si unapita tu kimyakimya kuliko trauma unayojipa bila sababuhuna akili, mwanzo lilikua swali sasa nimeconfirm. Ulivyo mjinga unadhani ukijaza viingereza ulivyokariri ndio utaonekana ‘mtu’. Unless wewe ni shabiki tu wa kisiasa, ila kama kweli akili yako ndio inakutuma NRNE inahusu vyama vya siasa 18 kugomea uchaguzi basi umewaabisha sana waliokuzaa.
Hapo ndipo tatizo lilipo!speak citizen problems and the solutions, not your appetite for votes
Kama vijana yatupasa tukae chini tutulie na tuchore ramani na tuje na jambo kivyetuvyetu bila kutegemea Hawa wanasiasa waroho wa madaraka...What should be done?
#OktobatunatikinaSamiaIf history is any guide, this no reform, no election craze is headed down the path of doom, as did others such as UKAWA.
Watanzania hatuwezi kabisa ku sustain indignation.
Hii kampeni inaenda kufa tu kama ilivyokufa UKAWA.
Nani anaikumbuka UKAWA? Ilishasahaulika kabisa katika msamiati 🤣. Oh, na yale maandamano yao [ambayo hayakutokea] nani anayakumbuka?
Pia, wakati wa Magufuli kuna baadhi ya watu walianza kuzichoma kadi zao za CCM. Wengi wao walifanya hivyo kwenye mitandao ya kijamii.
Leo hii wako wapi hao watu? CCM ilipoteza wanachama wangapi kutokana na kadi zake kuchomwa?
Idadi kubwa sana ya Watanzania hata hawaelewi maana ya hiyo slogan ya NRNE.
Watanzania walio wengi wala hawaoni tatizo lolote lile lililopo katika uongozi wa nchi.
Wengi wao wanaamini kila kitu ni hisani ya Rais. Ujinga bado ni mwingi sana.
Vilevile, wengi hata hawajui kiini cha matatizo ni nini.
Hata wale wenye uelewa mdogo, nao wame stuck na mtu mmoja tu ambaye hata hayupo tena, kuwa yeye ndiye chanzo cha matatizo yote yaliyopo.
Naomba muikumbuke hii mada ili yakishatimia, tuje tukumbushane vizuri kwa rejea.
NRNE ni movement mfu!
Imeshajitoa itashiriki kivp tena. Isubiri 2030 ibuni mikakati ya kisayansi, you cannot make changes by the brutal means. CCM wajanja tangia ikiwa TANU kwa huku bara walijitwalia chama cha wafanyakazi kiongozi wao akajua kuwa waziri mkuu(Rashid Mfaume Kawawa), chama cha wafanyakazi ikafanywa jumuiya ya CCM. Sasa Chadema taasisi au jumuiya ipi iko nyuma yao, CCM wajanja sana yale makundi muhimu ktk jamii wanayashikilia.So unashauri nini? chadema ishiriki hata kama itashindwa majimbo yote?. Maana nakumbuka ulitusema sana humu 2024 kwamba tunashiriki vipi uchaguzi ambao tunajua tutashindwa.
WaTanzania hata sijui mnataka nini
We hujawahi kuwa na akili watu km wewe ndio mnaizika chadema.Umechanganya mambo mawili tofauti kabisa, ni wapi hiyo kampeni inafanana na Ukawa? Ni wapi Kinana , Januari na Nape wanaweza kufungua ofisi kama ile ya Masaki ya kubadili matokeo kwa Ajili ya No Reforms No Election, huku wakimshirikisha Kapilimba?
NRNE haijaanzishiwa kwenye social media, sehemu inayoonekana kwenye social media is just a fractional of the whole thing. Hivyo vyama 18 unavyovizungumzia ni vipi whilst it only CCM and it's branches, CCM hii ya Kizimkazi haiko tayari kuona kukiwa na chama cha upinzani na uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliiua project yao ya kukigeuza pia CHADEMA kuwa moja ya jumuia zake kama vilivyo vyama vingine vyote ambavyo kwa masikitiko makubwa eti vinahesabika kama opposition parties.NRNE ni imbecilic fracas ya social media, ukiwauliza, kwa njia gani chama kimoja kutazuia vyama 18 visishiriki uchaguzi, wanajibu "we utaona tu siku ikifika"![]()